Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
mkuu, ibambasi. afrika tumeachiwa msala. waliotuletea uislamu wanawatumia waliotuletea ukristo kufanya mambo yao karibu yote huko kwao. waleta ukristo ndo wanaendesha karibu kila kitu uarabuni. ukafiri si hoja hapo na wala ugaidi wa waislam hauonekani. wanakuwa kitu kimoja
 

Waislamu wa Tz mimi huwa nathubutu hata kuwaita majununi. Kila siku wanajisikitikia kuwa wananyanyaswa kwa nia tu ya kuficha kuwa ni wezi, wahuni na wauza unga. Padri Sivalon eti awe ndiyo kilio cha Mwislamu mpaka leo, kama si uongo ni nini? Biashhara ya unga ilikuwa himaya ya Marehemu Shekh Yahya Hussein lakini baada ya Mufti Bin Jumaa Bin Hemed kumfukuza kutoka BAKWATA kwa sababu ya tabia mbaya ya kutumia dini kufanya biashara haramu mpaka ya mihadarati, ndipo wakatokea Waislamu wakubwa tu kusuluhisha. Nakumbuka Rais Mstaafu Mzee Rukhsa alishiriki kusuluhisha na alitangaza wazi kabisa hivi" Waislamu tusiumbuane, kuna mengine mazuri sana na yanatufaa sote waislamu na tunatakiwa kutoanikana hadharani". Sijui huyu Mzee hakujua kuwa mwenzie alikuwa amefukuzwa BAKWATA kwa sababu ya kuuza mihadarati? Haya vyovyote vile, baada ya suluhu hiyo biashara ya Yahya ikawa ya Waislamu wote na ndipo hata kina Hussein Mwinyi wakapata majimbo ya Uchaguzi Mkuranga. Sasa hivi biashara imekomaa na kushikwa na wenyewe mpaka wameandika magari yao: " Imekuwa Kama Idara. Hatuhitaji marafiki tena"'

Halafu unaambiwa kuwa baada ya kukomaa kwa biashara yao Waislamu sasa wana WATUMWA wao ambao dini yao imewapa na kuwaruhusu (Wailsmu) kuwalisha (WATUMWA wao) takataka kwa kuwauzia chakula kichafu na sumu. Na wakati Waislamu wanadai haki ya kuchinja kitoweo wao (waislamu) wanakula chakula kutoka peponi huku wakiwachinjia Wakristo mizoga na nyama zisizoliwa na binadamu.

Pita mitaani uone majigambo yalivyo hata katika vifodi. Watoto wao wamepewa kiburi cha kwenda bila woga kwa ahadi kemkem zikiwemo za kuandika vifodi: "Heshima yako Inalindwa". Wakikusanyika kuuwa kwa majini hapo ndipo utawaelewa wanachoita JEURI YAO.

La Waislamu kuonewa na kubaguliwa katika Tanzania limeanza lini tena kama si unafiki na kibri ya kutokuwa na elimu ya kutosha kujua ustaarabu wa kuishi na dini zingine ni nini?
 

let's habari ya maendeleo acha huu upuuzi, Hakuna dini hapa.
 
Hii mada uku sio mahala pake

We vipi? unataka wafufuliwe akina Padri Sivalon na Nyerere kwa kuwazulia uongo lakini Shekh Yahya asifufuliwe katika ukweli wa kila mmoja wetu kuushuhudia kwa macho? Kubali tu yaishe, lakini kama ni hadithi zipo tele!
 
Niwapongeze Wakristu kwa kutuvumilia. Hebu angalia katika Tanzania Marais ni wangapi? Wapo Kikwete, Bilal, Shein, Seif na Makamo wa pili. Wote ni WAISLAM wenzangu. Kama tunataka haki ni kuwa inatakiwa wawe nusu kwa nusu!!! MS acha kutuletea matatizo waislam wenzako. Angalia pia katika CC ya CCM zaidi ya 80 percent ni waislam. Jamani acha huu upuuzi wa dini. Naomba msamaha kwa hilo. Karibu Njinjo
 

ha ha ha ha! you are there, arab skunk!
 

wewe ni tatizo kubwa nchi hii! rais wa nchi ni muislamu, makamu wake ni muislamu, mkuu wa usalama wa taifa ni muislamu, IGP ni muislamu, katibu mkuu wa chama tawala ni muislamu, mkuu wa mkoa wa tanga ni muislamu sasa aliyewatuma hao askari wakawatese waislamu ni nani!? au ni waziri mkuu pinda!
na wewe una akili za kipunda punda kama kahtaan, Ritz, FaizaFoxy!
 

Hakuna anayetakiwa kumvumilia mtu hapa. Kama kulitumika mbinu chafu ni kesi kwa aliyetumia mbinu hiyo. Siku Mtikila alipoingia MAHAKAMANI kupinga Waislamu kuidai Serikali iwape mahakama ya kadhi gari lake liligongwa, akakamatwa kwa kubambikizwa kesi na vibaka (waislamu), akazuliwa mambo kibao mpaka karibu siasa imemshinda sasa.

Hiyo ndiyo tabia ya Waislamu, ni majambazi wanaojificha kizani kupiga na kuhujumu washindani hata ambao wanakuja bayana.

Twambie Bwana Mkubwa, mpaka Waislamu wakawa wengi namna hiyo ndani ya Kaserikali kenu hakuna walioumia na kuondolewa katika mapambano?

Nakumbuka tu wakulima wa korosho walipata stakabadhi ghalani kwa mapesa ambayo hayakupitishwa na Bunge! Usitamanishe watu wakasemasema maneno, utasababisha watu wengine kuchukizwa!

Kubali Waislamu ni waongo na kila kitu wanapata kwa udanganyifu, hivyo hakuna la kuvumiliana hapa. Tukiona magari yameandikwa :"TATU BILA" tunakuchungulia mwislamu kupitia chini ya kiganja, kumbe mwenzetu uko bize unafunga magoli. Na hiyo Timu nyingine mbona hatuioni uwanjani?
 
ni kweli imefika hatua aidha umwabudu mungu wa kweli na uteseke au umwabudu muasi ili unusurike tuchague kimoja.
 

Mtoto wa zinaa hawezi kujificha!
Mnapewa elimu za bure, badala ya kutoa shukranj kwa mwalimu Mohamed said. Mnamwaga uharo wenu.

Halafu hasa nyie wenye menu ya kuungua! Ni kabila lenye laana!
Nimeskia asili yenu ni ile kabila kutoka congo ya wala mavi na vibudu.!!

Wakati wasomi wanafundisha hapa jukwaani kuhusiana na how the system works along with MFUMO KRISTO we ulikuwa unabatizwa??

Au ulikuwa.nyuma ya madhabahu unasamehewa.dhambi na mchungwaji??

Nchi hii inaangamia kila siku kwa sababu ya misukule kama wewe!
Halafu siku za nyuma ulijigamba kuwa wewe ni mwanasheria!!😕😕
Sasa kama mwanasheria ana akili.mbivu kiasi hiki!
Sijui hao wahalifu watakuwa.na akili namna gani!!
Teh teh teh teh!
 
Naam umenena.Akapata nini??
 
kwanini wayahudi hawatumii agano jipya?.ukipata hilo jibu utajua kwanini wakristo hawatumii quran.
 

Wacha kuanika kama umekali kitu kigumu wewe!

We unaweza kuamua kumuita mwanao baba??
Mnfnsssssss!
Sasa vipi Mungu aamue kumuita kiumbe mwingine Mungu??
Au umevuta bangi nini wewe!
Huna adabu kabisa!

Ndio tukawaita magalatia!.akili ndogo domo kuuuuuubwa linalonuka!
Hebu kaoge kwanza halafu rudi hapa.
 

We msukuma naona umebanwa mavi!
Hebu nenda kakeme kwanza halafu urudi hapa.
Mihogo iliyochacha na midahalo kama hii haviendani!
Eti "tuke tu sili twetu!

We unafikiri hapa tuko kwenye "CHAGULAGA MAYO".
OLE GONDA MAKALIO mwanawane?..!

Kudadeki!
 

Adam hana baba wala mama. Mbona hamumuiti MUNGU!
Basi kuropoka tu!

Ohhh mwana wa bikira ohhh hana baba!

Nguruwe inaharibu akili. Wacheni.
 
Kuna mapungufu ktk swala la Unabii!

Mamlaka zote duniani ziko na mafungano na MUASI Kwa Hiyo kuilaumu serikali ya Tz Kwa mfumo huu si sahihi!

Ni wajibu Wa kila mmoja Kwa Imani Yake kumuabudu na kumcha Mungu Kwa Hali zote bila kutegemea serikali ktk baadhi ya mambo kikubwa uhuru Wa kuabudu Bado Upo ni kujiweka Kwa Mungu Zaidi ili kuingia peponi na si kupata ya hapa ulimwenguni!
 
Dini zote zinazohubiri kwamba kuna moto baada ya kufa zinahubiri ugaidi.

Huu ni uvivu wa kufikiri na umbumbu usio ni mipaka and out of context. Mada ni kwamba kuna ukiukwaji wa haki za binaadam, wewe unaongelea suala la ugaidi. Polisi wanajichukulia sharia mkononi kama ilivyokuwa operation tokomeza ujangili au kwa kuwa hawa waliotendewa ni waislam, basi wamekuwa ninmagaidi. Hivi ni maidi gani wanaoishi katika nymba za udongo maskini wenye kipato chini ya dola moja kwa siku? Mawazo hasa ni sawa na mawazo ya Bush na jamaa zake ya kuhalalisha mauaji ya wanawake na watoto kwa kisingizio cha ugaidi.
Everyone will exist eternally either in heaven or hell (Daniel 12:2,3; Matthew 25:46; John 5:28; Revelation 20:14,15).
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…