BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Labda km utakuwa siyo mfuatiliaji. Unakumbuka issue ya Chama, hivi unadhan km siyo mashaabiki asingemla kichwa ( kumpiga benchi). Sasa km kwenye mazoez Hana Cha ku offer kwa nini abaki na kuendelea Kula mshahara tena mnono bila kufanya kazi. Kocha wa Simba anamazoea ya kukariri wachezaji na tabia hii itamgarim labda km hawajui wabongo.Watu wanalalamika utadhani mazoezini wanaenda,kocha hawezi kumuacha mchezaji nje bila sababu
Msimu uliopita Mosses Phiri mechi nyingi amecheza kama no 9Moses Phiri ni namba 10 na ana weza kucheza winga zote mbili kushoto na kulia.
Baleke ni namba 9 sasa mjadala uwe Moses Phiri na Saido
Beleke Amna kitu lilee,mtaniiambia Bada ya mechi 10.
Na hili niliona jana chama alipoteza mpira kocha alilala balaaHata chama hamtaki sema mashabiki walimkazia
Chama anazingua sana sometimes,ni vile anapendwa tu na mashabiki lasivyo angekuwa ashapewa thank yuuuNa hili niliona jana chama alipoteza mpira kocha alilala balaa
Baleke ni mchezaji wa viwango kabisa kama angekua anabahatisha asingefanya alio yafanya kwa muda mchache alio cheza msimu ulio malizika, na msimu huu ndio tunaenda kushudia ubora wake vizuri sasaBeleke Amna kitu lilee,mtaniiambia Bada ya mechi 10.
Sawa kabisa. Huu na mimi ndio mtazamo wangu. Robertino ni kocha wa hovyo sana. Kwanza anakariri ndio maana kufanya sub kwake ni mzito sana. We mechi ya bonanza unasubiri hadi dk 70 kweli? Robertino ni mbaguzi na sio mlezi wa wachezaji na vipaji vyao hasa vijana. Kwa nini husiwe unawaingiza walau dk 20 za mwisho kuwapa uzoefu badala yake unangangania Saido hali ameshachoka?Robatinyo hana maisha marefu simba. Kwanza ana chuki sana . Amemchongea mgunda mpaka akachomolewa pale, yan mm ningependa simba wamuamini Juma mgunda na kumpa hichi kikosi tena mgunda kila game alikuwa anampanga Phiri na performance yake ilikuwa juu sana ila hii punda sijui ina shida gani
Kocha wa Simba SC bwege sanaLicha ya magoli ambayo Jean Baleke amefunga msimu uliopita katika premier league kiuchezaji Mosses Phiri ni mchezaji wa class ya juu zaid kuliko Baleke, Sijui kwanini kocha hataki kumuamin huyu mwamba (Phiri) labda uwanja wa mazoezi hamshawishi kocha lakini sisi mashabiki wa Simba balaa la huyu mwamba tunalijua vizuri sana uwezo wake wa kufunga, kukaa na mipira, ni mkubwa kuliko Baleke. Kweli uchawi upo Duniani
Anaingia Boko na Phiri anakaa bench, hatari sana hii.Unashangaa Baleke vip kibu kuwaweka nje Baleke na phiri? Kama hata frend metch kocha hakupangi basi ujue kuna shida kubwa.
Ha ha ha ha ha haKwa kweli suala la kumuweka Benchi Phiri hata Kwenye mechi kama ya Leo linafikirisha na kusikitisha sana,ukichukulia ukweli jinsi alivyotubeba mwaka Jana.Inabidi ifike Sehemu Robertino adhibitiwe
Ha ha ha ha ha ha haHuyu chiba angekuwa anaishi korea kaskazini ni wa kunyongwa yeye na vizazi vyake
Mchukueni kwani nani amewakataza pigeni hodi Simba mfanye biasharaTungempata phili sisi yanga ilikuwa hatari Phil ni mzuri sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Chiba si huyo kigulu robertinho?Ha ha ha ha ha ha ha
Mkuu Chiba ni nani?
Duh hapa umekosea hakuna centre forward wa kumzidi baleke Africa hiiGeneral ni foward ambae anashuka chini kuchukua mali asubiri tuuu kweny box kama ile punda na pia phiri ni target man yan shots nying za phiri ni on target ata conversion rate yake kwa chances anazozipata ni kubwa sn tofauti na mkongo
Unasema?Beleke Amna kitu lilee,mtaniiambia Bada ya mechi 10.
Bado unaamini hivyo?Licha ya magoli ambayo Jean Baleke amefunga msimu uliopita katika premier league kiuchezaji Mosses Phiri ni mchezaji wa class ya juu zaid kuliko Baleke, Sijui kwanini kocha hataki kumuamin huyu mwamba (Phiri) labda uwanja wa mazoezi hamshawishi kocha lakini sisi mashabiki wa Simba balaa la huyu mwamba tunalijua vizuri sana uwezo wake wa kufunga, kukaa na mipira, ni mkubwa kuliko Baleke. Kweli uchawi upo Duniani