Kweli Ukikua Utaacha.....

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nikikuambia mm ni staff utafanyaje dogo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sitashangaa kabisa mkuu,
Hata house boy naye ni Staff!
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hongera sana my kaka.
 
Ushajaribu? Ukikutana na alienda shule kidoogo hutajuta.

Ebwana kuna kipindi nilienda Pwani kikazi kama miezi mitatu,
Tukatengeneza Camp kubwa sana sasa wakawa wanakuja kuuza vyakula na vitu pale.
Wale wazungu walichofanywa hawaji kusahau kabisaa.
Wanawake wa pwani sina hamu nao ahahahaha!
 
Ebwana kuna kipindi nilienda Pwani kikazi kama miezi mitatu,
Tukatengeneza Camp kubwa sana sasa wakawa wanakuja kuuza vyakula na vitu pale.
Wale wazungu walichofanywa hawaji kusahau kabisaa.
Wanawake wa pwani sina hamu nao ahahahaha!
Unategemea nini mtoto 'kawekwa ndani' halafu 'anachezwa' baada ya 'kuvunja ungo' ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…