Wapi tena?
Hata hajui thread hii ni kuwa hayo mambo tushayaacha....Hahahaha,
Haya mamboz nimeyafanya wakati nabalehe miaka kama 15 iliyopita!
Fanya yote lakini jitahidi uwahi kumfungulia shemeji yako geti, la sivyo hatakulipia ada ya muhula huu.
😀😀😀😀😀
Watoto wa Kwamtogole wakisikia mdundiko wanaweza kutokea dirishaniMdhibiti vizuri kabisa...nasikia vigoma kama mtaa wa tatu hujahudhuria?
Aiseee piga picha iyo laki tatu tuioneSaa hizi saa 2237 EAT nipo nyumbani naangalia tv,muziki kwa mbali...nje gari ipo garage ina half tank,mfukoni nina cash 300,000 na still sina mzuka wa kujirusha...miaka kadhaa nyuma saa hizi inawezekana ningekuwa mji mwingine! Ama kweli UKIKUA UTAACHA!
Unategemea nini mtoto 'kawekwa ndani' halafu 'anachezwa' baada ya 'kuvunja ungo' ?
Utanivunjia ndoa weweNgoja nije...
Aiseee piga picha iyo laki tatu tuione
Pole sana dogo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaha,
Haya mamboz nimeyafanya wakati nabalehe miaka kama 15 iliyopita!
Fanya yote lakini jitahidi uwahi kumfungulia shemeji yako geti, la sivyo hatakulipia ada ya muhula huu.
😀😀😀😀😀
Malizia hii stori mkuu...kinachokera kwenye hizi ngoma mpiga ngoma ndio star! Akimtaka mwanamke yeyote lazima apewe, anasusa kupiga ngoma inabidi demu abembelezwe ampoze ngoma iendelee!Wajerumani wana hulka ya Ubahiri lakini kule walijenga hadi nyumba nakwambia!
Mimi kuna kitoto cha form two kilinizoea sana, kilikuwa kikija nanua vitu kwake nakiachia chenji kinaenda.
Kumbe kinaenda kuwaambia dada zake, siku usiku wale jamaa zangu wakasena niwasindikize wakaangalie kigoro na miduara. Kufika kule nakikuta kikaviaa mwilini kipo na dela tupu sijui hakikuvaaa kitu ndani!
teh teh teh teh teh teh ile siku sitaki hata kukumbuka!
Umemuuliza na shemeji ako anaekuhudumia hapo kwake[emoji23] [emoji23] [emoji23] ??Kwani ndio wapi hapo? Wote niliowauliza hawapajui.
Una experience eehhMalizia hii stori mkuu...kinachokera kwenye hizi ngoma mpiga ngoma ndio star! Akimtaka mwanamke yeyote lazima apewe, anasusa kupiga ngoma inabidi demu abembelezwe ampoze ngoma iendelee!
Pole sana dogo[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpaka uje uishi hayo maisha labda umgeuze msukule ndugu yako[emoji23] [emoji23]
Apo nimekuonyesha view ya nilipo dogoHahahaha dogo unahisi hela za shemeji ni zako eeh ???
Huyo amemuoa dada yako siyo wewe, hebu wahi kamfungulie geti bwana!
Malizia hii stori mkuu...kinachokera kwenye hizi ngoma mpiga ngoma ndio star! Akimtaka mwanamke yeyote lazima apewe, anasusa kupiga ngoma inabidi demu abembelezwe ampoze ngoma iendelee!
Ha ha ha ha ha miduara haijawahi kumuacha mtu salama! Umenikumbusha mbali sana kuna mtu alinifanyia fujo kwenye mduara balaa! Halafu ilijuwa house party...Hahahaha!
Jamaa walibambia ile misambwanda wakarudi wamejichafua sana.
Kuna dingi moja Mjerumai ana PhD alikaliwa na hicho kitoto alipiga kelele kama antoa roho.
Alichafua kadeti yake na alitoa hela kibao yani.