Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kuwakumbusha kuwa kuna masimango sometimes!Ukioa,unapata bureeeeee.....welcome to the club
You'll never walk aloneHivi hii maana yake nini?
Ooh ahsanteYou'll never walk alone
U r welkamOoh ahsante
Hatari saana aisee! Ndiyo pale unarudi getho unaiwazia laki yako ilivyokwenda kishamba, unajipiga kifuani unasema mimi ni fala sana ila nitapata nyingine!
Tuendelee kutafuta hela....Iyo ni nature mkuu
Mda mwingine ni hamasa ya kutafuta zaidi
Pale kati PATAMU...Mi nafikiri point yako ni kuwa unavurugwa wanawake wafupi,warembo,weupe wenye miguu ya Champaigne😊😊✨✨✨
Sasa kupunguza uzito je..!???Mambo mengine mnajitakiaga wenyewe tu. Zei a noti nesesare [emoji2221][emoji2221][emoji2221][emoji2221]
With no money we face bullshit problems..Mo money we get, mo problems we face
..... ila pia Tumia kwa umakini.Tumia pesa ikuzoee
Nimemaliza na YNWA..Hayo ya hela yamesindikizia bandiko ila mada husika ni uliyomalizia nayo.
Yaani a man,upo hapa unajadili gharama za upigaji pussy kweli?Hebu tuongee in minimalist ways
Unakutana na mtoto mzuri ana D tatu, Toto jeupeee, miguu ya bia Kifupi TOTO LIMEUMBIKA.
Kichwa cha chini kinakuongoza na unaona uombe namba, siku zinapita unaomba game...
Unapewa chance ya kuchakata from morning until night.
Hakuna kulala, kila mtu akalale kwake.
Na playing ground isiwe kwako au kwake.
Sasa hebu cheki hii bajeti japo ""in minimalist way"
1. Guest room = 15,000/=
2. Nauli ya kumleta na kumrudisha = 20,000/=
3. Chakula whole day = 30,000/=
4. Asante kwa game = 30,000/=
5. Other Sunk Cost..!! = 20,000/=
TOTAL = 115,000/=
Yaani mwamba umetumia laki na sababu ya mbunye tu??
Yaani unaamka asubuhi kufika usiku unarudi ghetto kulala umechoma laki na kise eti mbunyee tu hii nyama tu ambayo hata ukipewa uondoki nayo
Point sio kwamba sijui ndogo tuu.
Au sijui kula ujana ila point ni
"HIVI KWELI HIZI MBUNYE ZINA LINGANA NA HIZI PESA TUNAZOCHOMA?"
Mbona pesa nyingi na service yenyewe ni "KUTOA MATE TU MAZITO BASI?"
Mabaharia hata kama unahonga buku hebu jaribu ku SAVE hela zotee unazohonga kwa mwaka kwenye financial institution yoyote halafu mwisho wa mwaka nenda bank kacheka THE SAVED AMOUNT, yaani unaweza nunua hata BOEING...!!
kuna mwaka nilifanya hivyo nikakuta BONUS AACCOUNT (saved amount) ina nunua ofisi ya HAZINA YA serikali ya CCM..!!!
Ila tatizo sasa usipohonga na ukiwa bahiri ""NANI ATAKUPA MBUNYE MJINI HAPA?"
Hapa ndipo linapokuja swala la OPPORTUNITY COST.
Hongereni sana madada woteee ambao tunashare nao cost tukienda kufanyana.
HIVI NI KWELI...
Kwamba first figure ka Huck simu ya mchepuko akakuta mnyia wa Mbozi ambae alimteua yeye ana kula vyombo?
Jamaa kwa hasiraa KAMTUMBUA.
just image first figure anamiliki mchepuko kama ule, kweli DUNIA HAINA HAKI, kuna watu WANAFAIDI DUNIANI HAPA.
#YNWA
Mbunye hiyohiyo kila Siku...!!!Ukioa,unapata bureeeeee.....welcome to the club
Tatizo ukioa unalala na mbunye moja tuu kila siku.Starehe/anasa gharama.
Fanya uoe mkuu.😀