Kweli umalaya ni gharama

Mwenyewe nilihisi ipo namna, kumbe mkulungwa aligongewa na Deiwaka aliemkabidhi kitengo yeye mwenyewe. 🤣🤣🤣

Lile Toto la kibantu rangi ya ndizi kisukari! Lazma ulinzi uwe mkali chakula ya Muzee!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] lengo la thread yako ni hapo chini ulipomalizia, ila kule juu n mbwembwe tyuuuuh.
 
Hivi hizo paragraph mbili za mwisho zinaukweli wowote!!! 115,000/= ni sawa na tofali 96 hapo kwenye opportunity cost bora kujenga tu, hizo nyingine tutatafuta substitute product Sinza
 
Hatari saana aisee! Ndiyo pale unarudi getho unaiwazia laki yako ilivyokwenda kishamba, unajipiga kifuani unasema mimi ni fala sana ila nitapata nyingine!

La muhimu ikija suala la burudani ya papuchi spare no expense. Ndio starehe ya dunia. Ebu imagine unamihela alafu huwezi kugegeda sasa maisha yana raha gani hapo
 
Unazungumzia "lakionea"?? Kuna mtu imemkosti kazi yaani kamwagiwa ugali na mboga
 
Y
Yaani a man,upo hapa unajadili gharama za upigaji pussy kweli?

Sasa ulitaka upigie migombani au njiani au kwenye magari?

Maana hata kama utapigia kwako,gharama zingine zipo pale pale..

Naona watu watafute hela aisee,tuache haya malalamiko!

Kama uchumi wako haujafika popote,usijishughulishe na haya mambo,hela ikifika then ufanye!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…