Kweli umalaya ni gharama

Kweli umalaya ni gharama

Usilinganishe Papuchi na vigharama viidogo vidogo kama hako Kalaki! Laki mbele ya mbunye? What is it by the way?
 
Hiyo sunk cost umeitumia kimakosa hujaielewa naona inatumikaje, mengine yote upo sawa...

Sent using Jamii Forums mobile app
Sunk cost are the costs which are irrevelant to the production...
Sasa demu anakwambia ""naomba buku nijiunge na kifurushi nimpigie mama kwanza"" how is this relevant to the uchakataji wa papuchi?

#YNWA
 
Y

Yaani a man,upo hapa unajadili gharama za upigaji pussy kweli?

Sasa ulitaka upigie migombani au njiani au kwenye magari?

Maana hata kama utapigia kwako,gharama zingine zipo pale pale..

Naona watu watafute hela aisee,tuache haya malalamiko!

Kama uchumi wako haujafika popote,usijishughulishe na haya mambo,hela ikifika then ufanye!
Let's invest our income and stop papuchi business..!!!

#YNWA
 
Y

Yaani a man,upo hapa unajadili gharama za upigaji pussy kweli?

Sasa ulitaka upigie migombani au njiani au kwenye magari?

Maana hata kama utapigia kwako,gharama zingine zipo pale pale..

Naona watu watafute hela aisee,tuache haya malalamiko!

Kama uchumi wako haujafika popote,usijishughulishe na haya mambo,hela ikifika then ufanye!
Umeelewa point yangu?

#YNWA
 
Mm natumia 7000 tu kwa siku....demu namleta getho,Kama halali nanunua samaki wa 2000 +viungo vya 500,nauli ya kuja anajilipia,sema 1000 ya bodaboda mpk kwangu....then unga au mchele na mafuta vinakuwepo getho,tunapika then show....nauli ya kuondoka nikimpa kubwa n 3000....hyo zawad ya game simpi maana hatujauziana.....hajardhika asepe moja kwa zote....situnzi mwanamke ambaye sijamuoa...


Kama analala,nusu kilo ya 3000 ya nyama inatosha mchana na usiku plus 1000 ya viungo,unga na mchele vipo.......


Sipeleki demu guest mm....marufuku
 
Uzinzi siku zote ni gharama wala sio wa kuuendekeza!
 
Hebu tuongee in minimalist ways

Unakutana na mtoto mzuri ana D tatu, Toto jeupeee, miguu ya bia Kifupi TOTO LIMEUMBIKA.

Kichwa cha chini kinakuongoza na unaona uombe namba, siku zinapita unaomba game...

Unapewa chance ya kuchakata from morning until night.
Hakuna kulala, kila mtu akalale kwake.
Na playing ground isiwe kwako au kwake.

Sasa hebu cheki hii bajeti japo ""in minimalist way"

1. Guest room = 15,000/=
2. Nauli ya kumleta na kumrudisha = 20,000/=
3. Chakula whole day = 30,000/=
4. Asante kwa game = 30,000/=
5. Other Sunk Cost..!! = 20,000/=
TOTAL = 115,000/=

Yaani mwamba umetumia laki na sababu ya mbunye tu??
Yaani unaamka asubuhi kufika usiku unarudi ghetto kulala umechoma laki na kise eti mbunyee tu hii nyama tu ambayo hata ukipewa uondoki nayo

Point sio kwamba sijui ndogo tuu.
Au sijui kula ujana ila point ni
"HIVI KWELI HIZI MBUNYE ZINA LINGANA NA HIZI PESA TUNAZOCHOMA?"
Mbona pesa nyingi na service yenyewe ni "KUTOA MATE TU MAZITO BASI?"

Mabaharia hata kama unahonga buku hebu jaribu ku SAVE hela zotee unazohonga kwa mwaka kwenye financial institution yoyote halafu mwisho wa mwaka nenda bank kacheka THE SAVED AMOUNT, yaani unaweza nunua hata BOEING...!!

kuna mwaka nilifanya hivyo nikakuta BONUS AACCOUNT (saved amount) ina nunua ofisi ya HAZINA YA serikali ya CCM..!!!

Ila tatizo sasa usipohonga na ukiwa bahiri ""NANI ATAKUPA MBUNYE MJINI HAPA?"

Hapa ndipo linapokuja swala la OPPORTUNITY COST.

Hongereni sana madada woteee ambao tunashare nao cost tukienda kufanyana.

HIVI NI KWELI...
Kwamba first figure ka Huck simu ya mchepuko akakuta mnyia wa Mbozi ambae alimteua yeye ana kula vyombo?
Jamaa kwa hasiraa KAMTUMBUA.

just image first figure anamiliki mchepuko kama ule, kweli DUNIA HAINA HAKI, kuna watu WANAFAIDI DUNIANI HAPA.

#YNWA
Hiyo shs 115,000 inakaribia ile pesa aliyokuwa anatumia Laizer kulipua miamba kwa siku huko Mererani. Kasoro 85,000 tu ifike 200,000 kiwango alichikuwa akitumia.

Kupanga ni kuchagua, unaweza kuwekeza kwa starehe au maisha.
 
Hapo kuna shida, sehemu ya kulala ya buku 15, misosi yake haizidi buku 5, so Kwenye chakula uta save pamoja na hizo other costs
Mtoto mwenye mzuriii kama Financial Institution.... Utamlishaje wali maharage??
 
Hiyo shs 115,000 inakaribia ile pesa aliyokuwa anatumia Laizer kulipua miamba kwa siku huko Mererani. Kasoro 85,000 tu ifike 200,000 kiwango alichikuwa akitumia.

Kupanga ni kuchagua, unaweza kuwekeza kwa starehe au maisha.
We should start thinking in the opportunity cost way...!!!

#YNWA
 
Huna point...tumbo mbona tulilisha kila siku na linatoa uchafu tu?
Siku zote tunagharamia furaha tu mkuu.
Nikiwa vizuri hata 2m sijutii
Bro umeelewa.... "" REFER TO THE OPPORTUNITY COST....""

#YNWA
 
Hakuna tatizo lisilo na majibu, ila pia mkeo unakula bure utaanza mchoka japo mtengezee utaratibu wa kumpa zawadi ili umuone mpya kila siku, ukimchoka utarudi kwenye utaratibu wa kutoka nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Life is two way reaction...
Nanunua Mimi tu zawadi NACHOKA BANAAA...

#YNWA
 
Back
Top Bottom