Kweli vizuri gharama, MaDJ ni wengi kuliko Wasanii waimbaji kwenye tamasha la Simba Day 2023

Kweli vizuri gharama, MaDJ ni wengi kuliko Wasanii waimbaji kwenye tamasha la Simba Day 2023

Mngekuwa na pesa msingefanyia preseason uani kwenu (Avic)
Kikubwa kuchukua makombe, haijalishi unaenda wapi kufanyia pre season. Preseason yenu ya ng'ambo imewaletea makombe gani misimu miwili hiyo?
 
Kikubwa kuchukua makombe, haijalishi unaenda wapi kufanyia pre season. Preseason yenu ya ng'ambo imewaletea makombe gani misimu miwili hiyo?
Kwa miaka yote minne mfululizo ya kuchukua makombe, pre season tulikua tuna kwenda wapi ?
 

Attachments

  • IMG_20230805_222958.jpg
    IMG_20230805_222958.jpg
    104.7 KB · Views: 3
We kweli utopolo,, uliona wapi shughuli ya kimpira ikajaza wasanii. Mfano mzuri ni ufunguzi wa kombe la dunia msanii anaweza kuwa mmoja tu..
Ni JK na Sunday Manara tu, wengine wote hamnazo
 
Kwa miaka yote minne mfululizo ya kuchukua makombe, pre season tulikua tuna kwenda wapi ?
Mbona unaenda huko huko na unazidiwa na anayebakia bongo shida ni nini?
 
Shida ni penati za nje ya box mnazopewa na marefa
Zilikuwa penati ngapi za nje ya box ili tuzitoe? Hivi Azam nae alikutoa kwa penati ya nje ya box? Ama kweli mnaonewa sijui kwavile ni mambumbumbu, yaani kila timu inapewa penati nje ya box. Sio haki kabisa, muache kuwa mambumbumbu pengine uonevu utaisha.
 
Ni wasanii,embu pitia coment ya juu. Hoja ni kujaza waimbaji au kujaza wasanii?
Mkuu naona umeamua kujidhalilisha mwenyewe, sasa kama wame nunua tiketi zao kwenda kushuhudia simba day kama watu wengine wa kawaida kuna ubaya gani ?
 
Zilikuwa penati ngapi za nje ya box ili tuzitoe? Hivi Azam nae alikutoa kwa penati ya nje ya box? Ama kweli mnaonewa sijui kwavile ni mambumbumbu, yaani kila timu inapewa penati nje ya box. Sio haki kabisa, muache kuwa mambumbumbu pengine uonevu utaisha.
Vipi na wale waamuzi wanne waliofungiwa baada ya kuchezesha mechi zenu ilikua ni kwaajili ya nn ?
 
Simba day imetapakaa list ndefu ya madj kuliko wasanii, nadhani hilo linatokana na kuyumba kwa mahesabu ya kukokotoa.

Hadi sasa wasanii ambao confirmed kuwa wata perform ni Ali Kiba, Tunda man, na John Makini.

Wale ambao kinachowapeleka ni wasanii basi imekula kwao, kiingilio chako hakitoshi.
Burudani itakuwa hafifu au sio na Msaga sumu hajatajwa kabisa kwenye list
 
Vipi na wale waamuzi wanne waliofungiwa baada ya kuchezesha mechi zenu ilikua ni kwaajili ya nn ?
Ndio unataka kusema hao ndio waliosababisha mtolewe na Azam?
 
Hapana ila walitaka kuzuia msikandwe na KIBU DEE
Lakini haikuzuia kubeba kombe la ligi kuu, kombe Azam na medali ya CAF. Nyie na Kibu wenu mkabeba Mangungu cup kama alivyowaahidi.
 
Lakini haikuzuia kubeba kombe la ligi kuu, kombe Azam na medali ya CAF. Nyie na Kibu wenu mkabeba Mangungu cup kama alivyowaahidi.
Kuvaa Medali ya Kombe la luza hakuna tofauti na kuvaa shanga au hirizi
 
Back
Top Bottom