Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Mkuu ndio maana huwa nadharau watu humu, kwa styles hiyo ,ndio ma GT wa Tanzania ndio hao?Uzi kama Huu ni KUIDHALILISHA Jamii Forum.
Active TAFADHALI Nyuzi za kitoto kama hizi zinaichafua JF
Lini tumejaza wasanii kama fiestaKwahiyo miaka yote mnaojazaga wasanii inakuaga ni fiesta sio tamasha la soka?
Achana nae huyo utoWe kweli utopolo,, uliona wapi shughuli ya kimpira ikajaza wasanii. Mfano mzuri ni ufunguzi wa kombe la dunia msanii anaweza kuwa mmoja tu..
Nimeona na meja kunta yupoSimba day imetapakaa list ndefu ya madj kuliko wasanii, nadhani hilo linatokana na kuyumba kwa mahesabu ya kukokotoa.
Hadi sasa wasanii ambao confirmed kuwa wata perform ni Ali Kiba, Tunda man, na John Makini.
Wale ambao kinachowapeleka ni wasanii basi imekula kwao, kiingilio chako hakitoshi.
Hao ma dj wengi mbona hajawaorozesha mwehu huyuSasa huoni madj watapiga ngoma tuwe tunaruka majoka kusubiri game? Badala ya kuambiwa "mikono juu"
Usitupangie maisha. Umeamka na hang'over ya k Vant ya offer hata hela ya supu huna unakuja kupiga miayo humuSimba day imetapakaa list ndefu ya madj kuliko wasanii, nadhani hilo linatokana na kuyumba kwa mahesabu ya kukokotoa.
Hadi sasa wasanii ambao confirmed kuwa wata perform ni Ali Kiba, Tunda man, na John Makini.
Wale ambao kinachowapeleka ni wasanii basi imekula kwao, kiingilio chako hakitoshi.
Kuwa tu mkweli. Karibia Wasanii wote ambao wapo kwenye form kwa sasa, ni wananchi. Kwa upande wenu kuna Zuchu na Tundaman tu ndiyo waliobakia. Na huyo Tundaman mwenyewe siku hizi anaimba Qaswida.We kweli utopolo,, uliona wapi shughuli ya kimpira ikajaza wasanii. Mfano mzuri ni ufunguzi wa kombe la dunia msanii anaweza kuwa mmoja tu..
Kila mwaka huwa mnasema maneno ya aina hii. Halafu mwisho wa msimu waliobakia Avic Town wanabeba makombe yote! Halafu nyinyi wazee wa Uturuki na Dubai mnaambulia patupu.Mngekuwa na pesa msingefanyia preseason uani kwenu (Avic)
Hivi Tundaman anaimbaga nini?🤣Simba day imetapakaa list ndefu ya madj kuliko wasanii, nadhani hilo linatokana na kuyumba kwa mahesabu ya kukokotoa.
Hadi sasa wasanii ambao confirmed kuwa wata perform ni Ali Kiba, Tunda man, na John Makini.
Wale ambao kinachowapeleka ni wasanii basi imekula kwao, kiingilio chako hakitoshi.
UsikaririKila mwaka huwa mnasema maneno ya aina hii. Halafu mwisho wa msimu waliobakia Avic Town wanabeba makombe yote! Halafu nyinyi wazee wa Uturuki na Dubai mnaambulia patupu.
Kiufupi tu Wasanii wote wakali wapo Yanga.Hivi Tundaman anaimbaga nini?🤣
Unaweza kunisaidia...Tundamani naye anaimba nini?Kiufupi tu Wasanii wote wakali wapo Yanga.