Chakwale
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 1,080
- 1,585
Nilikuwa siamini Ile kauli ya Vyama vya Upinzani kulambishwa Asali Ili wakae Kimya, lakini kwa namna mambo yanavyoenda naamini kabisa kuwa Wamelamba.
Haiwezekani Umeme ukatike hovyo hovyo bila sababu za msingi,yaani wanakata kata tu wanavyojisikia.Mwanzoni walikuwa wanasema Maji yamepungua kwenye mabwawa lakini Mwenyezi Mungu anawaumbua Mvua inanyesha hadi mafuriko lakini Bado umeme ni tatizo.
Sasa hivi Wafanyabiashara wa vyombo vya Usafiri wameamua kupandisha bei ya nauli watakavyo,watu wako Kimya tu Ili hali bei ya mafuta kwenye Soko la dunia bado Iko pale pale.
Sasa najiuliza Hivi Vyama vya Upinzani KAZI yao hasa ni IPI? Kama kwenye mambo nyeti kama haya yanayogusa maisha ya mtanzania wa chini kabisa hadi wa juu wako Kimya bila kuwasemea chochote wao Wana umuhimu Gani kwenye hii Nchi?
Ni bora Upinzani ufutwe tu usiwepo tujue Moja kuwa tunapambana n'a mkoloni Mmoja CCM tujue tutamalizana nae VP kuliko kuwapa Ruzuku za bure ilihali hawana wafanyacho.
Yaan Walambe Asali,halafu tena wapewe Ruzuku wanatafuna hukuhuku bila sababu yeyote île Uwajibikaji wao una madhaifu makubwa.
Baada ya Ongezeko hili la Nauli tutarajie mfumuko mkubwa wa bei kwenye Bidhaa mbalimbali Pia kwenye Vyakula mbalimbali sababu ya hili Ongezeko la Nauli.
Yaani pamoja n'a kwamba Maisha magumu lakini Bado Mwananchi wa kawaida anatafutia Njia za kuendelea kumnyonga badala ya kumsadia kujinasua Ktk ukali wa Maisha unaomkabili.Viongozi wetu wameamua kuwa wanyonyaji kama mdudu kupe kwa raia wanao waongoza bila kujali udhaifu wa afya Zao.
Enewei Acha niishie hapa.
Haiwezekani Umeme ukatike hovyo hovyo bila sababu za msingi,yaani wanakata kata tu wanavyojisikia.Mwanzoni walikuwa wanasema Maji yamepungua kwenye mabwawa lakini Mwenyezi Mungu anawaumbua Mvua inanyesha hadi mafuriko lakini Bado umeme ni tatizo.
Sasa hivi Wafanyabiashara wa vyombo vya Usafiri wameamua kupandisha bei ya nauli watakavyo,watu wako Kimya tu Ili hali bei ya mafuta kwenye Soko la dunia bado Iko pale pale.
Sasa najiuliza Hivi Vyama vya Upinzani KAZI yao hasa ni IPI? Kama kwenye mambo nyeti kama haya yanayogusa maisha ya mtanzania wa chini kabisa hadi wa juu wako Kimya bila kuwasemea chochote wao Wana umuhimu Gani kwenye hii Nchi?
Ni bora Upinzani ufutwe tu usiwepo tujue Moja kuwa tunapambana n'a mkoloni Mmoja CCM tujue tutamalizana nae VP kuliko kuwapa Ruzuku za bure ilihali hawana wafanyacho.
Yaan Walambe Asali,halafu tena wapewe Ruzuku wanatafuna hukuhuku bila sababu yeyote île Uwajibikaji wao una madhaifu makubwa.
Baada ya Ongezeko hili la Nauli tutarajie mfumuko mkubwa wa bei kwenye Bidhaa mbalimbali Pia kwenye Vyakula mbalimbali sababu ya hili Ongezeko la Nauli.
Yaani pamoja n'a kwamba Maisha magumu lakini Bado Mwananchi wa kawaida anatafutia Njia za kuendelea kumnyonga badala ya kumsadia kujinasua Ktk ukali wa Maisha unaomkabili.Viongozi wetu wameamua kuwa wanyonyaji kama mdudu kupe kwa raia wanao waongoza bila kujali udhaifu wa afya Zao.
Enewei Acha niishie hapa.