Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewee!Arusha Tech wana Bachelor Degree in Civil and Highway Engineering. Sijui wanawafundisha nini? Au kupaka rangi za zebra?
Wanaenda chuo kukamia mtihani tu.Arusha Tech wana Bachelor Degree in Civil and Highway Engineering. Sijui wanawafundisha nini? Au kupaka rangi za zebra?
Bro kuwa serious kama vyoo vya public tu hakuna itakua barabara sheikh?this is dark continent achana na mikwara ya wanasiasa hatuna lolote la maana ndio maana machawa kila kona ili wapaze sauti kwa niabaHili limeniumiza sana
Kweli karne hii bado wazawa tumeshindwa kabisa kusuka nondo na kumwaga zege kwa ajili ya kujenga barabara ili ma bus ya mwendokasi yapite.
Wageni tunaowapa tenda wanatudharau sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utasikia ni a G.P.A ya 4.. hata barabara ya km 1 hawezj jenga akipewa vitendea vyote
Nyie vijana wa COET ndio siwaelewagi kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wewee!
🤣🤣🤣kupaka rangi za zebra?
Nakumbuka ile round-about ilifanya mapinduzi kinoma. Flyover ikawa kwaajili ya Mwendokasi labda.Nakumbuka kulikuwa na tatizo kubwa sana la foleni ubungo.
Wachina waliopewa tenda ya kujenga flyover walivyofika ubungo walitucheka sana na kutudharau kwamba hatuna akili baada ya kufika site ubungo.
Maana walijua shida iko wapi. Na hakukuwa na ulazima wa gharama za flyover, Tatizo la foleni ubungo wakalifuta kabla hata hawajaanza kujenga Flyover iliyowaleta ubungo