Kweli wa Tanzania tumeshindwa hata kujenga bara bara za mwendo kasi wenyewe ? Bwawa sawa ni Complex project ila hata BRT roads hatuwezi

Kweli wa Tanzania tumeshindwa hata kujenga bara bara za mwendo kasi wenyewe ? Bwawa sawa ni Complex project ila hata BRT roads hatuwezi

Nakumbuka kulikuwa na tatizo kubwa sana la foleni ubungo.

Wachina waliopewa tenda ya kujenga flyover walivyofika ubungo walitucheka sana na kutudharau kwamba hatuna akili baada ya kufika site ubungo.

Maana walijua shida iko wapi. Na hakukuwa na ulazima wa gharama za flyover, Tatizo la foleni ubungo wakalifuta kabla hata hawajaanza kujenga Flyover iliyowaleta ubungo
Dah kweli hatuna uwezo wa ku think.
 
Ishu ni kwamba bara zima hamna hata nchi moja ambayo ina bajeti ya maana inayokwenda kwenye utafiti na ubunifu (research & development)
Hatuhitaji mainjinia wetu wajenge barabara tu bali tungependa wajenge zilizo in tune na mazingira yetu
Kama kujenga barabara kilomita moja ni tshs bilioni moja basi waje na solution ya kujenga barabara yenye ubora kama hiyo kwa milioni 300 na kadhalika na kadhalika
 
Msiwanange graduates na walimu wao. Tatizo liko kwenye Fursat za kuwachukua na kuwajenga graduates kazini Ili wafikie level ya kufanya au kusimamia kazi.
Graduates anakua Bado anahitaji kupikwa vizuri kwenye mafunzo kazi au on the job training.
 
Back
Top Bottom