thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,556
Umeona wadada wenzako wa kikenya..[emoji23][emoji23][emoji23] mbona unasound kama vile tukiwa watoto tulikua tunashangilia wazungu wakija kutalii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona wadada wenzako wa kikenya..[emoji23][emoji23][emoji23] mbona unasound kama vile tukiwa watoto tulikua tunashangilia wazungu wakija kutalii
Umeona wadada wenzako wa kikenya..
Sasa kushangilia wazungu wakija kutalii ni jambo jema tu, siyo vile nyinyi mnashangilia wazungu na wachina wa kija kununua nchi yenu, yani nyinyi pimbi mnauza nchi yenu kisha mnajisifia!!! Stupid nugu[emoji23][emoji23][emoji23] mbona unasound kama vile tukiwa watoto tulikua tunashangilia wazungu wakija kutalii
Kumbe mlipokuwa Watoto mlikuwa na akili ila sasa mmekuwa watu wazima mmekuwa wapumbaaafu!!!!?[emoji23][emoji23][emoji23] mbona unasound kama vile tukiwa watoto tulikua tunashangilia wazungu wakija kutalii
Umeongea tu kishabiki.Sio soon mkuu, yaani Tanga ni nzuri na kubwa kuliko Mombasa, Tanga ipo Well planned kuliko mji wowote wa Kenya
Kumbe mlipokuwa Watoto mlikuwa na akili ila sasa mmekuwa watu wazima mmekuwa wapumbaaafu!!!!?
Mlipokuwa Watoto mlishangilia watalii wakija Kenya sasa mmekuwa watu wazima mnashangilia mzungu na mchina Kwa kuinunua nchi yenu !.
Ngoja kwanza tujifunze kung fu na mazoezi ya kichefuchefu ndiyo tutakuja Kenya maana kila pahali pananuka mavii na jiji lenu ni LA majambazi ukitembea mitaani SAA 4 usiku ujue unachungulia kaburiYes nmeawaona but sijaona watz wakija kutalii apa Kenya. Shida n gani mkuu?
Mavii inanuka kichwani mwako ndio maana unainusa kila mahali unaendaNgoja kwanza tujifunze kung fu na mazoezi ya kichefuchefu ndiyo tutakuja Kenya maana kila pahali pananuka mavii na jiji lenu ni LA majambazi ukitembea mitaani SAA 4 usiku ujue unachungulia kaburi