Kweli Wakenya wana pesa, wazidi kutalii Tanzania

Kweli Wakenya wana pesa, wazidi kutalii Tanzania

[emoji23][emoji23][emoji23] mbona unasound kama vile tukiwa watoto tulikua tunashangilia wazungu wakija kutalii
Sasa kushangilia wazungu wakija kutalii ni jambo jema tu, siyo vile nyinyi mnashangilia wazungu na wachina wa kija kununua nchi yenu, yani nyinyi pimbi mnauza nchi yenu kisha mnajisifia!!! Stupid nugu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona unasound kama vile tukiwa watoto tulikua tunashangilia wazungu wakija kutalii
Kumbe mlipokuwa Watoto mlikuwa na akili ila sasa mmekuwa watu wazima mmekuwa wapumbaaafu!!!!?
Mlipokuwa Watoto mlishangilia watalii wakija Kenya sasa mmekuwa watu wazima mnashangilia mzungu na mchina Kwa kuinunua nchi yenu !.
 
Hawana hela ya kutembea wacha matusi
Kumbe mlipokuwa Watoto mlikuwa na akili ila sasa mmekuwa watu wazima mmekuwa wapumbaaafu!!!!?
Mlipokuwa Watoto mlishangilia watalii wakija Kenya sasa mmekuwa watu wazima mnashangilia mzungu na mchina Kwa kuinunua nchi yenu !.
 
Yes nmeawaona but sijaona watz wakija kutalii apa Kenya. Shida n gani mkuu?
Ngoja kwanza tujifunze kung fu na mazoezi ya kichefuchefu ndiyo tutakuja Kenya maana kila pahali pananuka mavii na jiji lenu ni LA majambazi ukitembea mitaani SAA 4 usiku ujue unachungulia kaburi
 
Ngoja kwanza tujifunze kung fu na mazoezi ya kichefuchefu ndiyo tutakuja Kenya maana kila pahali pananuka mavii na jiji lenu ni LA majambazi ukitembea mitaani SAA 4 usiku ujue unachungulia kaburi
Mavii inanuka kichwani mwako ndio maana unainusa kila mahali unaenda
 
Back
Top Bottom