Kweli Wakenya wana pesa, wazidi kutalii Tanzania

Kweli Wakenya wana pesa, wazidi kutalii Tanzania

Video mbalimbali za vloggers wa Kenya wakiwa Tanzania




Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app


Wana disposable income ya kutumia kwenda vacation!

Ndio uzuri wa nchi inayoenda middle income status!

Njoo kwa bwana mawe sasa,bure kabisa halafu linasena “we are on ze raiti traki”,mbuzi mee kabisa!

Watanzania tuna hasara ya karne!
 
Sio soon mkuu, yaani Tanga ni nzuri na kubwa kuliko Mombasa, Tanga ipo Well planned kuliko mji wowote wa Kenya
Nikweli ukizingstia hiyo video ni ya miaka mitano nyuma
 
Wakenya wazidi kuja tz
 
Cheki wadada wenzako wakikenya wanazidi kuja kushangaa dar na kuvuta hewa safi ya bahari , siyo wewe unaendelea kuvuta hewa chafu ya mavii Kwa slums huko kenya
Kwhyo hku watu hawatalii katika miji yetu..
 
Hayo malori ya mafuta yakiingia Kenya Haimaanishi yanauza mafuta Yao Kenya, mafuta yote ambayo yanauzwa Kenya yanasambazwa na Kenya pipeline ukitaka kujua ukweli Nenda mpaka wetu na Uganda utajua hayo magari yote yanaelekea Rwanda na DRC Congo yanapita Kenya cause ruti ni ya karibu kuliko kutumia ruti ya ndani ya Tanzania kama huamini Nenda mpakani busia au malaba utaona magari ya mafuta mengi yenye usajili wa Tanzania yakiingia Uganda kwelekea zao Congo democratic republic na Rwanda.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wadada wenzako wa kikenya wanakuja dar kula raha ya dunia siyo wewe unashinda Kenya kunuka mavii ya slums
 
Cheki wadada wenzako wakikenya wanazidi kuja kushangaa dar na kuvuta hewa safi ya bahari , siyo wewe unaendelea kuvuta hewa chafu ya mavii Kwa slums huko kenya
Duh!!si kenya inakuumiza sana..pole sana jombaaaa
 
Wakenya wa JF wa post toka turkana ,korogocho,kibera,mathare

Wakenya wa JF hamna kitu kabisa

Real Kenyan wakija bongo hawataki kurudi kwao Kenya
True kuna huyu MK254 alitelekeza mke na Watoto kenya Kwa miaka 10 kajificha dar huku kajitangazia kuwa amefariki huko kwao Kenya ,hadi magu alipo chukua nchi ikuwa mbinde kumuondoa Tanzania
 
Hivi kwanini Dar huwa mnazunguka tu kwenye hayo majengo matatu, yaani zaidi ya hapo Dar umeimaliza, mnafaa mjenge mji usambae maghorofa kote, sio eneo moja tu unapiga piga mapicha kwenye pembe/angle tofauti. Yaani hiyo Dar inafaa ishindane na eneo moja la Nairobi, kama vile Westlands ndiko kuna majengo machache marefu ambayo unaweza kucheza cheza na mapicha kama mnavyofanya Dar.

Majengo yanafaa yazagae hivi, hebu cheki Nairobi mjini kati, na hapa bado sijahusisha KICC na kwengine kati, ni vigumu kupiga picha moja ya Nairobi CBD kama mnavyofanya Dar.

nairobi-county.jpeg
The new york of east Africa dar es salaam
 
True kuna huyu MK254 alitelekeza mke na Watoto kenya Kwa miaka 10 kajificha dar huku kajitangazia kuwa amefariki huko kwao Kenya ,hadi magu alipo chukua nchi ikuwa mbinde kumuondoa Tanzania
Mi binafsi namfahamy mkenya mmoja niliwahi kaa nae mtaa mmoja dar anaitwa Sam enzi hizo alikuwa anafanya kazi voda na gari alipewa Nissan hardbody ya voda
 
Cheki wadada wenzako wakikenya wanazidi kuja kushangaa dar na kuvuta hewa safi ya bahari , siyo wewe unaendelea kuvuta hewa chafu ya mavii Kwa slums huko kenya
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona unasound kama vile tukiwa watoto tulikua tunashangilia wazungu wakija kutalii
 
Back
Top Bottom