Kweli Wakenya wana pesa, wazidi kutalii Tanzania

Kweli Wakenya wana pesa, wazidi kutalii Tanzania

Acheni kupost tu maghorofa ya mijini...


Mkumbuke pia dar Kuna maeneo lukuki ya aina hii.View attachment 1255301
IMG_20191106_094530.jpeg
 
Hivi kwanini Dar huwa mnazunguka tu kwenye hayo majengo matatu, yaani zaidi ya hapo Dar umeimaliza, mnafaa mjenge mji usambae maghorofa kote, sio eneo moja tu unapiga piga mapicha kwenye pembe/angle tofauti. Yaani hiyo Dar inafaa ishindane na eneo moja la Nairobi, kama vile Westlands ndiko kuna majengo machache marefu ambayo unaweza kucheza cheza na mapicha kama mnavyofanya Dar.

Majengo yanafaa yazagae hivi, hebu cheki Nairobi mjini kati, na hapa bado sijahusisha KICC na kwengine kati, ni vigumu kupiga picha moja ya Nairobi CBD kama mnavyofanya Dar.

nairobi-county.jpeg
Wewe hujaaangalia video unajump into conclusion unazeeka vibaya sana
 
Hadi nimecheka hapa kwa sauti, yaani hizo ghorofa tatu ndio umezizunguka kama nilivyosema, huwa mnazipiga picha kwenye angle tofauti tofauti, huko kwengine ni kiwango cha apartments ambazo kwetu hapa zipo nje ya mjini.

Unajua mwanamke ni Lazima kwanza Awe mzuri ndio make up inamkubali, sasa Demu akiwa na sura ya Kikenya hata apake poda kopo zima ndio kwanza anafanana na babu yake,
the same thing, Hapo kuna Sky-creepers za Maana ndio maana kila angle inatoka mchicha, sasa Nairobi kwanza CBD imejaa majengo ya kizee na ya mkoloni, haina Mvuto halafu ukigeuza tu Camera unakutana na Slum kubwa Duniani yenye wakazi milioni mbili unusu (60% ya Population ya Nairobi) na Ukigeuka huku tena ni slums nyingine za Dondora, Huruma, Mathare nk.
Dar haina Mpinzani Hapa East Africa
 
Wewe unaijua westlands kwa mdomo tu kule vijiweni.Lakini kiukweli Westland ina ukubwa zaidi ya Posta,Upanga,Kariokoo na Ilala combined
Ok CBD kwa CBD, Hebu fananisha ulichokituma na hii Dar,
Ni wazi Nairobi ni Nzee, Haivutiii majengo mafupi ya Mkoloni, toka amejenga mkoloni nyie mmefanikowa kuongeza uwezo wa kuiba . Nairobi haina Mvuto, Naijui vema Hiyo westlands unayosema iko sawa na Nusu ya Kariakoo, achana na Kijitonyama, Mlimani, Ilala au Upanga, unajitoa ufahamu japo unajua ukweli ni Kuwa Dar ni Sawa na Nairobi+ Mombasa+ Nakuru + Kisumu.


View attachment 1255282View attachment 1255284View attachment 1255290
tapatalk_1564499065299.jpeg
tapatalk_1566899774453.jpeg
 
Wewe unaijua westlands kwa mdomo tu kule vijiweni.Lakini kiukweli Westland ina ukubwa zaidi ya Posta,Upanga,Kariokoo na Ilala combined View attachment 1255355View attachment 1255356

Nimefikia Ibis Hotel twice in my trips to Nairobi, Nimekunywa bia pale kwenye bar (rooftop) na kupiga picha the whole of Westlands,
Tena Nikatembea kwa Mguu toka Hotelini mpaka shopping mall moja iko oposite na Oracle, Harufu tupu kule, Wakenya ni Wachafu sana, Ni aibu mno mji ulio juu ya usawa wa bahari, wenye baridi kali kuwa na harufu nzito na mafuriko..I can assure you The whole Westlands is half of Kariakoo.
 
Ibis Hotel twice in my trips to Nairobi, Nimekunywa bia pale kwenye bar (rooftop) na kupiga picha the whole of Westlands,
Tena Nikatembea kwa Mguu toka Hotelini mpaka shopping mall moja iko oposite na Oracle, Harufu tupu kule. I can assure you The whole Westlands is half of Kariakoo.
Wewe hadi picha zenyewe zinakupa tabuu kuangalia
tapatalk_1564499065299.jpeg
tapatalk_1566899774453.jpeg
 
Ok CBD kwa CBD, Hebu fananisha ulichokituma na hii Dar,
Ni wazi Nairobi ni Nzee, Haivutiii majengo mafupi ya Mkoloni, toka amejenga mkoloni nyie mmefanikowa kuongeza uwezo wa kuiba . Nairobi haina Mvuto, Naijui vema Hiyo westlands unayosema iko sawa na Nusu ya Kariakoo, achana na Kijitonyama, Mlimani, Ilala au Upanga, unajitoa ufahamu japo unajua ukweli ni Kuwa Dar ni Sawa na Nairobi+ Mombasa+ Nakuru + Kisumu.


View attachment 1255282View attachment 1255284View attachment 1255290
Hayo majengo hayakujengwa na mkoloni. Yalijengwa 1970s na 80s. KICC, Times Towers, Teleposter towers na mengine yalijengwa 1970s na 1980s. Halafu najua hujafika westlands mwaka huu. Kuja ujionee mambo.
 
May be ulifika Westlands kwa ndoto
Nimefikia Ibis Hotel twice in my trips to Nairobi, Nimekunywa bia pale kwenye bar (rooftop) na kupiga picha the whole of Westlands,
Tena Nikatembea kwa Mguu toka Hotelini mpaka shopping mall moja iko oposite na Oracle, Harufu tupu kule, Wakenya ni Wachafu sana, Ni aibu mno mji ulio juu ya usawa wa bahari, wenye baridi kali kuwa na harufu nzito na mafuriko..I can assure you The whole Westlands is half of Kariakoo.
tapatalk_1565775836103.jpeg
tapatalk_1564499056869.jpeg
 
Siku ingine isifananishe Westlands na hicho kijiji chenu
Nimefikia Ibis Hotel twice in my trips to Nairobi, Nimekunywa bia pale kwenye bar (rooftop) na kupiga picha the whole of Westlands,
Tena Nikatembea kwa Mguu toka Hotelini mpaka shopping mall moja iko oposite na Oracle, Harufu tupu kule, Wakenya ni Wachafu sana, Ni aibu mno mji ulio juu ya usawa wa bahari, wenye baridi kali kuwa na harufu nzito na mafuriko..I can assure you The whole Westlands is half of Kariakoo.
tapatalk_1571155968833.jpeg
tapatalk_1568912698786.jpeg
tapatalk_1570784534699.jpeg
tapatalk_1567625331961.jpeg
tapatalk_1563099619161.jpeg
tapatalk_1563714452668.jpeg
 
Kumbe hata hawa kwenu mnawahesabu kwamba ni watalii?, ndio sababu inaonyesha Kenya hupokea watalii wengi lakini kwa mapato Tanzania inapata Mara mbili zaidi ya Kenya. Tanzania hawa hawawekwi katika kundi la watalii, hawa tunaweka katika kundi la" hustlers", wanatafuta wanaume wa watanzania ili wapate uraia wa Bongo.
Kama sio watalii ni nini? Kwani wakija huko hawatumii hela zao au mnawapa makau na vyakula?. You are so amusing.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Hayo majengo hayakujengwa na mkoloni. Yalijengwa 1970s na 80s. KICC, Times Towers, Teleposter towers na mengine yalijengwa 1970s na 1980s. Halafu najua hujafika westlands mwaka huu. Kuja ujionee mambo.
Hivi haya majina ya tony bado wanapewa Watoto wa kiume
Kule marekani wanapewa Watoto wa kike na wakiume wenye maumbo ya kike **** mwanamusiki alikuwa anaitwa tony bra.... son sijui kama nimepatia jina lake ni mwanamke
 
Back
Top Bottom