Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
JibuKaongee nao vizuri, watakupa siri ya urembo.
Sidhani kama kuna jibu zaidi ya hiliWcb ni kampuni ya kibiashara
Hapo nimekupatawasanii wengine wameridhika na kidogo walichopata awathubutu kuinvest
Ukweli mdauWasome na wao Nyakati
Kama wenzao walivyosoma,
Zama za kubembelezana na kunyanyasana ili urushwe redioni zilishapitwa na wakati[emoji1321]
FactWcb ni kampuni ya kibiashara
UmenenaWanajua wanafanya nini.
Malengoo
Wasanii wa Bongo flavor majina makubwa kichwani hamna kituNimewaza sana hivi nini hawa wasanii wengine hawana ambacho wcb wanavyo peke yao,yani licha ya kubaniwa na media but ndo habari ya mjini,yaani you tube yote wameikamata hadI huruma nyimbo zao ndo trending kinoma daaah, wasaini (AMKENI) maoni jamani wana Jf OK
Ungeambiwa kundi la kina GKKutesa kwa zamu. Hata juma natute aliwika sana enzi zake. Bila kusahau kundi la akina GK etc
PAMBANA NA HALI YAKO KAKANimewaza sana hivi nini hawa wasanii wengine hawana ambacho wcb wanavyo peke yao,yani licha ya kubaniwa na media but ndo habari ya mjini,yaani you tube yote wameikamata hadI huruma nyimbo zao ndo trending kinoma daaah, wasaini (AMKENI) maoni jamani wana Jf OK