Kweli wasanii wamekubali WBC itawale muziki wa Tanzania peke yao?

Kweli wasanii wamekubali WBC itawale muziki wa Tanzania peke yao?

Acha watawale cz hakuna namna nyingine zaidi ya kujielewa na kujituma katika kazi zao
 
Kutesa kwa zamu. Hata juma natute aliwika sana enzi zake. Bila kusahau kundi la akina GK etc
 
wasanii wengine wameridhika na kidogo walichopata awathubutu kuinvest
 
Nimewaza sana hivi nini hawa wasanii wengine hawana ambacho wcb wanavyo peke yao,yani licha ya kubaniwa na media but ndo habari ya mjini,yaani you tube yote wameikamata hadI huruma nyimbo zao ndo trending kinoma daaah, wasaini (AMKENI) maoni jamani wana Jf OK
Wasanii wa Bongo flavor majina makubwa kichwani hamna kitu
 
Nimewaza sana hivi nini hawa wasanii wengine hawana ambacho wcb wanavyo peke yao,yani licha ya kubaniwa na media but ndo habari ya mjini,yaani you tube yote wameikamata hadI huruma nyimbo zao ndo trending kinoma daaah, wasaini (AMKENI) maoni jamani wana Jf OK
PAMBANA NA HALI YAKO KAKA
 
Back
Top Bottom