Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
ππππ Ilo jicho ulivyoweka juu na jua hili huku kigamboni walahi unaniita hamu πππTajiri wa kigamboni Mimi Dodoma mhamiaji tu.ππ
Nayapenda sanaWakuu kweme ni matunda gani? Yana faida gani na wapi yanalimwa Tanzania?
View attachment 3194970
Inakuaje tajiri jua linakushenyenta.? π Kuna kitu hakijakaa sawa mahaliππππ Ilo jicho ulivyoweka juu na jua hili huku kigamboni walahi unaniita hamu πππ
Nipo baharini huku napunga upepo jicho lako nimelipenda sana ππInakuaje tajiri jua linakushenyenta.? π Kuna kitu hakijakaa sawa mahali
Bandari kwioo.Nipo baharini huku napunga upepo jicho lako nimelipenda sana ππ
Kweme zinalimwa Kilimanjaro na hutumika kutengeneza mafuta ya kula kama ya karanga.
πππBandari kwioo.
Haya upo wapi 78, Stop center, Rolo Yard, kipindupindu, Majahazini, mitaa ya Bargage. π€£π€£ Umejichanganya
SahihiNi aina ya nuts
Yanalimwa sana huko upareni
Yanatumika kama kiungo cha mboga kama unavyotumia karanga
Nzuri sana kuungia samaki