Kweme ni matunda ya aina gani?

Kweme ni matunda ya aina gani?

yana limwa pia mkoa wa songwe wilaya ya ileje ya kikoma hudondoka yenyewe
Pia yapo Mwakaleli, wilayani Rungwe. Yanatambaa kwenye miti mikubwa. Wanyakyusa.tunayaita matando. Hubanikwa motoni au kwenye majivu ya moto.

Ukikosea kubandua matabaka (layers) ya nje ili kupata tabaka la katikati linaloliwa, utapata uchungu mkali sana, si utamu.
 
tunda lake likianguka baada ya kukomaa, chukua zile mbegu zioshe (zimezungukwa na vitu vichungu). Anika mbegu kwa muda wa siku 7 na zaidi inategemea na hali ya jua.

Chukua kisu menya ngozi ya nje iliyo kama nyavu, ili ikupe nafasi ya kuvunja vifuniko viwili vilivyoshikilia chakula kizuri kama karanga hivi.

Kweme ina mafuta sana, tulitumia kama mboga ya ugali au kuungia ndizi baada ya kukosa mafuta
 
tunda lake likianguka baada ya kukomaa, chukua zile mbegu zioshe (zimezungukwa na vitu vichungu). Anika mbegu kwa muda wa siku 7 na zaidi inategemea na hali ya jua.

Chukua kisu menya ngozi ya nje iliyo kama nyavu, ili ikupe nafasi ya kuvunja vifuniko viwili vilivyoshikilia chakula kizuri kama karanga hivi.

Kweme ina mafuta sana, tulitumia kama mboga ya ugali au kuungia ndizi baada ya kukosa mafuta
Zinaweza kulimwa na kuwa mbadala wa alizeti na mawese?
 
tunda lake likianguka baada ya kukomaa, chukua zile mbegu zioshe (zimezungukwa na vitu vichungu). Anika mbegu kwa muda wa siku 7 na zaidi inategemea na hali ya jua.

Chukua kisu menya ngozi ya nje iliyo kama nyavu, ili ikupe nafasi ya kuvunja vifuniko viwili vilivyoshikilia chakula kizuri kama karanga hivi.

Kweme ina mafuta sana, tulitumia kama mboga ya ugali au kuungia ndizi baada ya kukosa mafuta
Nimeyala sana kijijini

Sisi yalikua yakianguka tunachukua hayo makungu tunaweka jikoni kwenye majivu yanaiva taratibu. Baadae tunayatoa tunavunja katikati tunakula cha ndani.
 
changamoto hatuna watafiti, mafuta yake yanaweza kuwa dili kama yalivyo ya olive oil.
 
kuchakata kwake itakuwa garama, pia zinahitaji miti au chanja kwa ajili ya kujishikiza kama ilivyo mimea mingine inayotambaa
Siyo shida, hata zabibu zinalimwa kwenye chanja. Labda uzalishaji wake wa mafuta uwe kiwango kidogo sana.
 
Nataka kupanda haya, hapa home. Na mapambika sijui yapo yanazaa kwenye miti pia, ndani ya njano. Sijayaona kitambo yale.
 
Back
Top Bottom