Kwenda chuo kuna faida ambazo form 6 hawezi kuja kuzipata, Nasisitiza kama uwezo upo nendeni chuoni, form 6 nenda ikishindikana kwenda chuo

Kwenda chuo kuna faida ambazo form 6 hawezi kuja kuzipata, Nasisitiza kama uwezo upo nendeni chuoni, form 6 nenda ikishindikana kwenda chuo

Uzi wa kipumbavu utakaofurahiwa na wanaopenda shortcut. Aliyemaliza form six anapata admission kokote duniani endapo kafaulu vizuri. Huu upuuzi wa kupenda shortcut hauwezi kutupeleka popote. Watoto wenye akili hupita form 6 then chuo. Na sio lazima watu wasome ili waajiriwe serikalini. Wengine watajiajiri. Mtu anayeibeza form 6 ni mtu mvivu aliyekata tamaa ya maisha.
 
Mkuu umechambua vema sana hujaacha kitu.

Vyuoni waliopita form 4>>certificate >>diploma ni moto wa kuotea mbali wanawaacha mbali sana form 6 fresh from school.

Watoto wangu kamwe sitaruhusu wakapoteze muda form 6 isiyo na tija yoyote maana mtu anamaliza form 6 hana taaluma yoyote lakini mwenzake aliyepita diploma tayari ana taaluma.
Acha kujidanganya. Mwanafunzi wa diploma mara nyingi hakuwa na matokeo mazuri kama walioenda form 6. Hata wakikutana chuo yule wa form 6 atamburuza wa diploma. Sijawahi kuona best student chuo aliyetokea diploma.
 
1. Siwezi jidanganya naongelea uzoefu. Chuoni diploma walio graduate hawakuzidi watatu. Bado unataka niambia diploma wako vizuri kuliko form6?

2. Kuhusu mazoezi huwezi niambia mtu wa diploma kafanya mazoezi mda mrefu kuliko injinia anayepitia form6. Je unajua chuoni kuna field ya miaka 3?

3. Kuhusu diploma kusoma miaka 3 sio always the case. Chuo kikuu (nasema the like of udsm, sua, aru nk nk) haijalishi umesoma diploma au 6 wote lazima msome miaka minne. Naongelea uzoefu nilioona.

Narudia tena huwezi linganisha injinia wa form6 na injinia wa diploma. Form6 ni ishara ya mtu anayejiweza kielimu.
Huu ujinga watanzania wanaojazana ni kama miaka ile ya 2014 walipojazana ujinga kuhusu kilimo cha matikiti na wote wakaenda kulima matikiti. Shortcut is always a wrong cut.
 
Imekaa njema
wanaobeza wengi ni form 6 walio vyuoni kwa sasa ama ni fresh graduates, na mimi nilikuwa kama wao, ilikuwa inaniuma kukiri kwamba waliosoma form 4>>chuo wana advantage kuliko sisi tuliopiga six, nilikuwa najipa moyo kwamba njia wanazopita ni kuunga unga, n.k.

Muda ulivyosonga na kichwa kutulia nikapata picha safi kwamba kujua kitu ni uongo na ukakiamini ni ujinga, nikaweka ujinga pembeni na kukiri kwamba form 4>>chuo ni mtiririko mzuri zaidi kitaaluma, nimeandika hii post iwe faida kwa wadogo zetu na wazazi / walezi wao, hata mimi nawashauri sana ndugu zangu waende chuoni, watoto pia ningependa waanze kusomea taaluma zao mapema wakimaliz form 4.
 
wanaobeza wengi ni form 6 walio vyuoni kwa sasa ama ni fresh graduates, na mimi nilikuwa kama wao, ilikuwa inaniuma kukiri kwamba waliosoma form 4>>chuo wana advantage kuliko sisi tuliopiga six, nilikuwa najipa moyo kwamba njia wanazopita ni kuunga unga, n.k.

Muda ulivyosonga na kichwa kutulia nikapata picha safi kwamba kujua kitu ni uongo na ukakiamini ni ujinga, nikaweka ujinga pembeni na kukiri kwamba form 4>>chuo ni mtiririko mzuri zaidi kitaaluma, nimeandika hii post iwe faida kwa wadogo zetu na wazazi / walezi wao, hata mimi nawashauri sana ndugu zangu waende chuoni, watoto pia ningependa waanze kusomea taaluma zao mapema wakimaliz form 4.
Wewe una stress za maisha. Take it easy kwasababu kila mtu ana changamoto zake. Wewe unataka watu wapite njia yako ya shortcut wakati wengi wanawaza zaidi ya hapo. Kimsingi unataka watu wapate hizo diploma then ajira sehemu ambayo nyingi huwa ni za kukusaidia tu usife. Acha vijana wapite six ili waende kwenye malengo makubwa zaidi na sio kuishia kuwa fundi mchundo.
 
Acha kujidanganya. Mwanafunzi wa diploma mara nyingi hakuwa na matokeo mazuri kama walioenda form 6. Hata wakikutana chuo yule wa form 6 atamburuza wa diploma. Sijawahi kuona best student chuo aliyetokea diploma.
Umeongea ukweli ambao hawatataka kuusikia. Form6 ni ishara ya mwanafunzi anayejiweza kielimu.
 
Special cases mtu aende form 6

Bado ni mdogo sana kiumri
Hakuna uwezo wa kumlipia ada
Kutaka kuwa mwalimu,

Background yangu, Nilimaliza form 6 miaka ya 2009 nikapiga division 2 ya 10, baada ya kufaulu ikabidi nianze kufatilia chuo, Ni kipindi ambacho wanafunzi wengi sana wanachanganyikiwa wasomee kipi, mimi binafsin nilichagua kusomea nachokipenda lakini nilipofika chuoni uhalisia ulikuwa tofauti sana na nilivyodhani, niligundua nimekurupuka kuchagua kozi, Nachoshukuru nyumbani vijihela vipo, ilibidi nibadili chuo kusoma kozi nyingine upya.

Kwenda chuo kuna faida zifuatazo

UWANJA MPANA WA KUPATA AJIRA - form 4>>chuo wana uwanja wa ajira mkubwa, wao wanaweza kuomba kazi za certificate, diploma na degree lakini wale wa form 6>>chuo wanaomba kazi za degree na huwa wanakuwa wengi sana kwenye maombi sababu form 6 ni wengi sana na pia wale wa form 4>>chuo wanajumuika, mfano unakuta nafasi 10 kazi ya diploma zinatangazwa wanaomba 500, lakini kwenye kazi za degree ni kawaida kukuta nafasi 10 wanaoomba watu elf 10. Hivyo form 4>>chuo anaweza kukosa ajira ya degree pamoja na mwenzake wa form 6>>chuo lakini labda akabahatika kupata kazi ya diploma au certificate ambayo form 6>>chuo hawezi kuipata, Ni kweli kazi za diploma zina mishahara midogo waweza kuta degree analipwa take home laki 8, diploma laki 5, lakini ni heri upate kitu kuliko kukosa kabisa.

KUPATA KAZI KABLA YA DEGREE - Inaweza kutokea mzazi kafariki ama kuna matatizo mengine ya kiuchumi yametokea mtu akashindwa kwenda degree, Ni kwamba form 6 bila degree hana taaluma hawezi kuajiriwa lakini mwenzake aliyeanza chuo baada ya form 4 anaweza kuajiriwa, Vyuoni kuna vijana wanasoma degree hawategemei mkopo wala wazazi wao, tayari wameajiriwa kwa diploma wanajisomesha kwa mishahara yao, wao wanaongeza elimu kupanda madaraja.

ADVANTAGE YA CV - Kitu kingine ni kwamba form 4>>chuo wana cv inayovutia kiuzoefu kuzidi form 6>>chuo, ni kwamba form 4>>chuo wamesomea taaluma kwa muda mrefu zaidi darasani kuzi form 6>>chuo, wana vyeti vya kitaaluma vingi (certificate + diploma + degree) kuzidi form 6>>chuo mwenye degree pekee, na cv inaonyesha wamefanya kazi kwa vitendo maofisini (field work) mara nyingi zaidi kuliko form 6>>chuo.

URAHISI WA KUBADILI KOZI - Mtu kamaliza form 4 ana ndoto za kusomea kitu anachopenda mfano marketing, anaingia chuoni certificate mwaka moja anakuja kugudndua ni kozi anayoipenda lakini haina soko kwenye ajira, Diploma ya miaka miwili anabadili kozi kusomea labda accounting hasa ukizingatia masomo mengi walishasoma pamoja darasa moja akiwa certificate hivyo sio mgeni sana, Degree anaweza kubadilisha kozi kusomea nyingine mfano Accounting and IT ili kuongeza zaidi uwanja wa ajira za IT, Sasa tukija kwa hawa form 6>>chuo unakuta mtu anapenda kusomea insurance, anafika chuoni anakuja kugundua kitu anachokipenda kupata ajira zake ni ngumu, kubadili gia angani sio rahisi, yanabaki kuwa majuto.

KUYAZOEA MAISHA YA CHUO MAPEMA - form 4>>chuo na form 6>>chuo wote kwa pamoja wakiwa mwaka wa kwanza chuoni huwa wanapata changamoto ya uhuru wa maisha ya chuoni, style ya kusoma chuoni, kuandaa assignments, presentations, n.k. hii huwa inachangia wengi kufanya vibaya kwenye masomo mwaka wa kwanza. form 4>>chuo na form 6>>chuo wakiingia degee si ajabu kukuta Form 6 > chuo wapo wanaofaulu sana lakini muda huo huo wanaofeli zaidi na hata kudisco (kufukuzwa chuonu) ni hao hao wa Form 4.

KUYAZOEA MASOMO KWA KUYARUDIA - Na ndio sababu kubwa baadhi ya kozi za degree za miaka minne form 4>>chuo wataambiwa wasome miaka mitatu lakini form 6>>chuo watasoma minne, Ni kwamba chuoni huwa kuna kurudia rudia masomo kwenye ngazi tofauti sababu wanasomea taaluma sio vidato, kwa upande wa form 6>>chuo unakuta kasoma mambo mengi akiwa sekondari ambayo akifika chuoni hatayakuta sababu ni nje ya taaluma, atavikuta vitu vingi zaidi vipya vilivyojikita kwenye taaluma. Mfano unamkuta form 6 kasoma topics kibao za hesabu lakini wakifika chuoni wanarudia topics tatu tu na kukuta topics mpya nyingi zaidi, Muda huo form 4>>chuo kwao vitu vingi ni marudio walishavisoma sababu ni muhimu kuvijua katika taaluma, Lakini hii haimaanishi kwamba form 4>>chuo ndio wana uhakika wa kufaulu zaidi, LA HASHA !! kuna form 6 wanawakimbiza vizuri kabisa form 4>>chuo waliobweteka ama wasio na bidii.

UHURU WA KIUTU UZIMA - miaka 18+ tayari ni mtu mzima kisheria, Inashangaza kuona watu hawa wapo form 6 wana age 18+ wanatandikwa viboko, wanapangiwa mavazi, hawaruhusiwi simu, hawaruhusiwi kufuga ndevu, kusuka, n.k. ni kama watoto wadogo !! Chuoni ni tofauti uankuwa treated kama mtu mzima kisheria, hutakuja shikiwa bakora. Kuna wazazi husema wasipeleke watoto chuoni baada ya form 4 kwa kuogopa uhuru, Ukweli ni kwamba wakimaliza form 6 wataenda chuo na uhuru wataukuta, Ni suala la kuweza kuwajengea misingi watoto wajue namna ya kuishi hata wakiwa huru, hawa wanaobanwa sana ni kwaida sana wakifikaga chuoni lazima uhuru uwachanganye iwe ni form 4 ama form 6.

kwa ufupi
  • form 4>>chuo kasomea miaka mingi zaidi taaluma kuzidi form 6>>chuo
  • form 4>>chuo kafanya mazoezi ya kazi kwa vitendo mara nyingi zaidi kuzidi form 6>>chuo
  • form 4>>chuo ana vyeti vingi vya taaluma (certificate+diploma+degree)
  • form 4>>chuo badhi ya vyuo akiingia degree anasomea miaka mitatu tu, yule wa form 6>>chuo ni mgeni sana inabidi asomee miaka minne
  • form 4>>chuo anatambulika kitaaluma akihitimu diploma, cheti cha form 6 hakitambuliki kwa taaluma yoyote
  • ikitokea mzazi kaishiwa pesa, hakuna mkopo wa chuo, n.k. kwenda kusoma degree, form 4>>chuo anaweza kuajiriwa bila degree, form 6 hawezi kuajiriwa hata kama ana division 1.
hayo yote umeongea lkn Bahat inasimama pale pale nina mifano mingi hai , so ajira ni Bahat tu siku iz no matter what
 
Mimi nimesoma form 6 kawadanganye wengine

hebu tueleze form 6 inajenga vipi maturity wakati wanafunzi wanachukuliwa kama watoto wadogo wanatandikwa bakora kisa wamechelewa kuhesabiwa, wanapewa adhabu kisa hawajavaa tai, wanapangiwa muda wa kulala, hawaruhusiwi kumiliki simu za mawasiliano, n.k.

Chuo ndio kinamjenga mtu zaidi maturity na reasong capacity,

  • kujifunza kupangilia bajeti ya matumizi ya pesa za mkopo / pocket money
  • kujifunza kuweka mipaka kwenye uhuru
  • Kujinza kuwa accountable kwenye maamuzi yao ya maisha huru
  • Time management kubalance muda wa masomo na maisha binafsi yenye uhuru
  • kujifunza kufanya kazi maofisini na teamwork.
  • kufanya reseach
  • n.k.
Meuelewe aliyekwambia form six inamfanya kijana kuwa maturity kitaluma na kiakili na ndio maana baadhi ya taaluma hapa Tz hauwezi kupata degree yake kama hajasoma form five na six, sababu wanajua wanaitaji content siyo vyeti mfano degree ya uwalimu kwa bongo huwezi kuwa na degree ya uwalimu ujasoma form five na six hilo unalijua

Hata wale wanafunzi wanachukuliwa kutoka kidato cha nne kwenda kusomea diploma ya uwalimu siunajua uko chuoni pamoja na kusoma kozi ya uwalimu ila wanachagua combination na wanaanza kupiga topic za form five na six na paper ya form six ya necta wanafanya kabisa

Kingine mnatakiwa mjue siyo eti mtu aliyesoma certificate kisha diploma ni mzuri zaidi ya yule anayeanza first year degree fresh from from six hapana, kumbuka certificate na diploma unaanza somea taaluma uyu wa form six alipotoka alikuwa asomei taluma alikuwa anachukua msingi wa taaaluma kwaiyo akija darasani wewe wa certificate na diploma utamsumbua mwaka wa kwanza tu baada ya hapo humwambii kitu sababu yupo mature enough kuelewa vitu na anajua anachokifanya

Kingine nyie mnaoenda certificate sijui diploma mnaanza bado na akili za kitoto mnawaza bata na mademu na mabwana so wengi wenu huwa si wazuri mengi mnayojifunza hamzingatii

Ushauri wangu kwa vijana kama una sifa za kwenda form five na six nenda usikimbilie jitesa maana maisha ya chuo bwana kama fedha huna nikujitesa tu na kumbuka elimu ya certificate na diploma dunia ya sasa imebaki na deal kwenye mifugo, kilimo, afya na ufundi, na IT basi uko kwengine unapoteza muda wako tu nani anaitaji mhasibu wenye certificate ili iweje so ukianza certificate basi tambua unauwezo wa kwenda diploma to degree yanin sasa usome miaka sita wakati unaweza kusoma miaka mitano,

Maika miwili form five na six miaka mitatu chuo kikuu uku unakula boom lako safi
 
Meuelewe aliyekwambia form six inamfanya kijana kuwa maturity kitaluma na kiakili na ndio maana baadhi ya taaluma hapa Tz hauwezi kupata degree yake kama hajasoma form five na six, sababu wanajua wanaitaji content siyo vyeti mfano degree ya uwalimu kwa bongo huwezi kuwa na degree ya uwalimu ujasoma form five na six hilo unalijua

Hata wale wanafunzi wanachukuliwa kutoka kidato cha nne kwenda kusomea diploma ya uwalimu siunajua uko chuoni pamoja na kusoma kozi ya uwalimu ila wanachagua combination na wanaanza kupiga topic za form five na six na paper ya form six ya necta wanafanya kabisa

Kingine mnatakiwa mjue siyo eti mtu aliyesoma certificate kisha diploma ni mzuri zaidi ya yule anayeanza first year degree fresh from from six hapana, kumbuka certificate na diploma unaanza somea taaluma uyu wa form six alipotoka alikuwa asomei taluma alikuwa anachukua msingi wa taaaluma kwaiyo akija darasani wewe wa certificate na diploma utamsumbua mwaka wa kwanza tu baada ya hapo humwambii kitu sababu yupo mature enough kuelewa vitu na anajua anachokifanya

Kingine nyie mnaoenda certificate sijui diploma mnaanza bado na akili za kitoto mnawaza bata na mademu na mabwana so wengi wenu huwa si wazuri mengi mnayojifunza hamzingatii

Ushauri wangu kwa vijana kama una sifa za kwenda form five na six nenda usikimbilie jitesa maana maisha ya chuo bwana kama fedha huna nikujitesa tu na kumbuka elimu ya certificate na diploma dunia ya sasa imebaki na deal kwenye mifugo, kilimo, afya na ufundi, na IT basi uko kwengine unapoteza muda wako tu nani anaitaji mhasibu wenye certificate ili iweje so ukianza certificate basi tambua unauwezo wa kwenda diploma to degree yanin sasa usome miaka sita wakati unaweza kusoma miaka mitano,

Maika miwili form five na six miaka mitatu chuo kikuu uku unakula boom lako safi
Uzi ufungwe. Umemaliza kila kitu. Pia mtu mwenye ndoto kubwa za siku moja kusoma vyuo vikubwa vya nje na hata kufanya kazi huko hawezi kuacha kupita form six. Kijana aliyemaliza form six anaweza kujiunga chuo kikuu USA ila kijana wa diploma ni ngumu kueleweka.
 
Meuelewe aliyekwambia form six inamfanya kijana kuwa maturity kitaluma na kiakili na ndio maana baadhi ya taaluma hapa Tz hauwezi kupata degree yake kama hajasoma form five na six, sababu wanajua wanaitaji content siyo vyeti mfano degree ya uwalimu kwa bongo huwezi kuwa na degree ya uwalimu ujasoma form five na six hilo unalijua
Acha kuongea maneno matupu

MATURITY ? form 6 bado inam treat mwanafunzi kama mtoto wa form 1, anatandikwa viboko kama mtoto watoto wa form 1, anapewa adhabu kisa hajavaa tai kama form 1, haruhusiwi hata kumiliki laptop wala simu kama form 1, hio maturity iko wapi ?

KITAALUMA ? Form 6 Inamjenga vipi kitaaluma mwanafunzi wakati hatambuliki kwa taaluma yoyote akihitimu ?

Hata wale wanafunzi wanachukuliwa kutoka kidato cha nne kwenda kusomea diploma ya uwalimu siunajua uko chuoni pamoja na kusoma kozi ya uwalimu ila wanachagua combination na wanaanza kupiga topic za form five na six na paper ya form six ya necta wanafanya kabisa
Hao ni kama wameenda kusomea form 5 na 6, ndio maana nimeandika kwenye post wale wanaotaka kuwa waalimu ni vema wapitie form 5 na 6

Kingine nyie mnaoenda certificate sijui diploma mnaanza bado na akili za kitoto mnawaza bata na mademu na mabwana so wengi wenu huwa si wazuri mengi mnayojifunza hamzingatii
Ndio ugeni wa uhuru wa chuoni huo, form 4>>chuo na form 6>>chuo huwa wanafanana kwenye ugeni wa chuo, lakini form 4>>chuo ana advantage anautolea ushamba akiwa certificate, wenzake wa form 6 wanautolea wakiwa degree.
Ushauri wangu kwa vijana kama una sifa za kwenda form five na six nenda usikimbilie jitesa maana maisha ya chuo bwana kama fedha huna nikujitesa tu na kumbuka elimu ya certificate na diploma dunia ya sasa imebaki na deal kwenye mifugo, kilimo, afya na ufundi, na IT basi uko kwengine unapoteza muda wako tu nani anaitaji mhasibu wenye certificate ili iweje so ukianza certificate basi tambua unauwezo wa kwenda diploma to degree yanin sasa usome miaka sita wakati unaweza kusoma miaka mitano,
Hujui unachoongea, Hao wahasibu kenrye vyeo vya assistant accountants wanahitaji wenye diploma, kazi kibao za assistant kwa taaluma nyingi zinahitaji diploma,

Hili ni tangazo la ajira TANROADS cheo cha assistant accountant wanahitaji mwenye diploma au vertifivate


Maika miwili form five na six miaka mitatu chuo kikuu uku unakula boom lako safi
Hata diploma wanapata mikopo, nina ndugu zangu wapo vyuoni wamepitia dip, wazazi wao hawahangaiki
 
Acha kuongea maneno matupu

MATURITY ? form 6 bado inam treat mwanafunzi kama mtoto wa form 1, anatandikwa viboko kama mtoto watoto wa form 1, anapewa adhabu kisa hajavaa tai kama form 1, haruhusiwi hata kumiliki laptop wala simu kama form 1, hio maturity iko wapi ?

KITAALUMA ? Form 6 Inamjenga vipi kitaaluma mwanafunzi wakati hatambuliki kwa taaluma yoyote akihitimu ?


Hao ni kama wameenda kusomea form 5 na 6, ndio maana nimeandika kwenye post wale wanaotaka kuwa waalimu ni vema wapitie form 5 na 6


Ndio ugeni wa uhuru wa chuoni huo, form 4>>chuo na form 6>>chuo huwa wanafanana kwenye ugeni wa chuo, lakini form 4>>chuo ana advantage anautolea ushamba akiwa certificate, wenzake wa form 6 wanautolea wakiwa degree.

Hujui unachoongea, Hao wahasibu kenrye vyeo vya assistant accountants wanahitaji wenye diploma, kazi kibao za assistant kwa taaluma nyingi zinahitaji diploma,

Hili ni tangazo la ajira TANROADS cheo cha assistant accountant wanahitaji mwenye diploma au vertifivate



Hata diploma wanapata mikopo, nina ndugu zangu wapo vyuoni wamepitia dip, wazazi wao hawahangaiki
Kwanini umeifungia akili yako yote kwenye kuajiriwa tena hata sio nchi za nje yaani hapahapa Tanzania? Yaani wewe unawaza maisha mazuri yapatikana kwenye kuajiriwa kwa kutumia hizo diploma. Inaonekana huna exposure kabisa.
 
Kwanini umeifungia akili yako yote kwenye kuajiriwa tena hata sio nchi za nje yaani hapahapa Tanzania? Yaani wewe unawaza maisha mazuri yapatikana kwenye kuajiriwa kwa kutumia hizo diploma. Inaonekana huna exposure kabisa.
Ni kwasababu uhalisia wa hali ya mfumo wa elimu ya nchi yetu inaandaa zaidi wanafunzi kuajiriwa na hilo wala halina kupepesa macho, System ya elimu inabidi ibadilishwe ili kujengea vijana mindset ya kutamani kujiajiri zaidi na mazingira wezeshi yawepo mfano mikopo kwajili ya mitaji yenye riba ndogo kwa wahitimu, Kuandaa utaratibu wa kuwapleka wahiitimu wapate uzoefu kwa waliojiajiri, misamaha ya kodi kwa wahitimu wanaojiajiri kwa miaka miwili ya mwanzo, n.k.
 
Form six ni mihimu kujenga maturity na reasoning capacity ya mtoto, sio kila mtu anasoma kuajiriwa, vyuo vibaki kwa watoto kutako kaya masikini
Umejibu vizuri, kutana na mtu alifeli sa saba alafu nenda kwa mmoja alifeli form four na zero..hao ni watu wawili tofauti, kwenye mitizamo mingi..shule ina vingi zaidi ya ajira
 
Umejibu vizuri, kutana na mtu alifeli sa saba alafu nenda kwa mmoja alifeli form four na zero..hao ni watu wawili tofauti, kwenye mitizamo mingi..shule ina vingi zaidi ya ajira
Ni wanafunzi wengi tu wenye division 1 wanachaguliwa kwenda kusoma vyuoni, sijajua unatumia kigezo kipi, waweza kuangalia selection zilizotoka juzi, wanafunzi ni wengi tu wliofaulu vizuri wamechaguliwa vyuoni.

Mfano hawa ni wahitimu wa form 4 Ilboru Secondary wamechaguliwa vyuoni, wana division 1 zao safi tu.

ilboru.png
 
Ni kwasababu uhalisia wa hali ya mfumo wa elimu ya nchi yetu inaandaa zaidi wanafunzi kuajiriwa na hilo wala halina kupepesa macho, System ya elimu inabidi ibadilishwe ili kujengea vijana mindset ya kutamani kujiajiri zaidi na mazingira wezeshi yawepo mfano mikopo kwajili ya mitaji yenye riba ndogo kwa wahitimu, Kuwapeleka wanafunzi kwenye apprenticeship, n.k.

Pia kwa uhalisia ni kwamba watanzania wengi hawapendi kusoma, wanasoma kwajili ya vyeti wapate ajira, ni wachache huwa wana malengo ya kujiajiri ama hulazimika kujiajiri wakikosa ajira (plan b), Ukitaka kuamini kwamba watanzania hawana interest ya kusom fatilia ni wangapi wamejisomea vitabu nje ya vile vya darasani, ni wachache sana, ulizia mhitimu kama amewahi kusoma kitabu chochochote baada ya kumaliza chuo, utawatafuta kwa tochi. Elimu kwa Tanzania inaangaliwa kama fursa zaidi sio kwajili ya kuelimika.
Acha kueneza stress kwa vijana.
 
Acha kuongea maneno matupu

MATURITY ? form 6 bado inam treat mwanafunzi kama mtoto wa form 1, anatandikwa viboko kama mtoto watoto wa form 1, anapewa adhabu kisa hajavaa tai kama form 1, haruhusiwi hata kumiliki laptop wala simu kama form 1, hio maturity iko wapi ?

KITAALUMA ? Form 6 Inamjenga vipi kitaaluma mwanafunzi wakati hatambuliki kwa taaluma yoyote akihitimu ?


Hao ni kama wameenda kusomea form 5 na 6, ndio maana nimeandika kwenye post wale wanaotaka kuwa waalimu ni vema wapitie form 5 na 6


Ndio ugeni wa uhuru wa chuoni huo, form 4>>chuo na form 6>>chuo huwa wanafanana kwenye ugeni wa chuo, lakini form 4>>chuo ana advantage anautolea ushamba akiwa certificate, wenzake wa form 6 wanautolea wakiwa degree.

Hujui unachoongea, Hao wahasibu kenrye vyeo vya assistant accountants wanahitaji wenye diploma, kazi kibao za assistant kwa taaluma nyingi zinahitaji diploma,

Hili ni tangazo la ajira TANROADS cheo cha assistant accountant wanahitaji mwenye diploma au vertifivate



Hata diploma wanapata mikopo, nina ndugu zangu wapo vyuoni wamepitia dip, wazazi wao hawahangaiki
Hili ndio tatizo lenu wanafunzi ujuaji juaji mwingi at the end mnashia kubet
 
Hili ndio tatizo lenu wanafunzi ujuaji juaji mwingi at the end mnashia kubet
hoja yako ni hewa, Jibu kama msomi ambaye ni matured mwenye reasoning capacity

Mimi nimeweka hoja kwa facts, na wewe jibu facts iwe ni kwa kukosoa, ku approve, nyongeza, n.k
 
Special cases mtu aende form 6

Bado ni mdogo sana kiumri
Hakuna uwezo wa kumlipia ada
Kutaka kuwa mwalimu,

Background yangu, Nilimaliza form 6 miaka ya 2009 nikapiga division 2 ya 10, baada ya kufaulu ikabidi nianze kufatilia chuo, Ni kipindi ambacho wanafunzi wengi sana wanachanganyikiwa wasomee kipi, mimi binafsin nilichagua kusomea nachokipenda lakini nilipofika chuoni uhalisia ulikuwa tofauti sana na nilivyodhani, niligundua nimekurupuka kuchagua kozi, Nachoshukuru nyumbani vijihela vipo, ilibidi nibadili chuo kusoma kozi nyingine upya.

Kwenda chuo kuna faida zifuatazo

UWANJA MPANA WA KUPATA AJIRA - form 4>>chuo wana uwanja wa ajira mkubwa, wao wanaweza kuomba kazi za certificate, diploma na degree lakini wale wa form 6>>chuo wanaomba kazi za degree tu, lakini pia form 4>>chuo akipata changamoto za kushindwa kusoma degree mfano kakosa ada, anaweza kuajirika tofauti na form 6 ambae hajaweza kwenda degree hawezi kuajiriwa. form 4>>chuo na form 6>>chuo wote wanaweza kuomba ajira ya degree na wakakosa lakini form 4>>chuo anaweza kubahatika kupata kazi ya diploma au certificate, Ni kweli kazi za diploma zina mishahara midogo waweza kuta degree analipwa take home laki 8, diploma laki 5, lakini ni heri upate kitu kuliko kukosa kabisa.

Kuna kazi nyingi tu wahahitaji Diploma, Mfano nimeweka tangazo la TANROADS kuhitaji mhasibu msaidizi mwenye diploma au certificate.



ADVANTAGE YA CV - Kitu kingine ni kwamba form 4>>chuo wana cv inayovutia kiuzoefu kuzidi form 6>>chuo, ni kwamba form 4>>chuo wamesomea taaluma kwa muda mrefu zaidi darasani kuzi form 6>>chuo, wana vyeti vya kitaaluma vingi (certificate + diploma + degree) kuzidi form 6>>chuo mwenye degree pekee, na cv inaonyesha wamefanya kazi kwa vitendo maofisini (field work) mara nyingi zaidi kuliko form 6>>chuo.

URAHISI WA KUBADILI KOZI - Mtu kamaliza form 4 ana ndoto za kusomea kitu anachopenda mfano marketing, anaingia chuoni certificate mwaka moja anakuja kugudndua ni kozi anayoipenda lakini haina soko kwenye ajira, Diploma ya miaka miwili anabadili kozi kusomea labda accounting hasa ukizingatia masomo mengi walishasoma pamoja darasa moja akiwa certificate hivyo sio mgeni sana, Degree anaweza kubadilisha kozi kusomea nyingine mfano Accounting and IT ili kuongeza zaidi uwanja wa ajira za IT, Sasa tukija kwa hawa form 6>>chuo unakuta mtu anapenda kusomea insurance, anafika chuoni anakuja kugundua kitu anachokipenda kupata ajira zake ni ngumu, kubadili gia angani sio rahisi, yanabaki kuwa majuto.

KUYAZOEA MAISHA YA CHUO MAPEMA - form 4>>chuo na form 6>>chuo wote kwa pamoja wakiwa mwaka wa kwanza chuoni huwa wanapata changamoto ya uhuru wa maisha ya chuoni, style ya kusoma chuoni, kuandaa assignments, presentations, n.k. hii huwa inachangia wengi kufanya vibaya kwenye masomo mwaka wa kwanza. form 4>>chuo na form 6>>chuo wakiingia degee si ajabu kukuta Form 6 > chuo wapo wanaofaulu sana lakini muda huo huo wanaofeli zaidi na hata kudisco (kufukuzwa chuonu) ni hao hao wa Form 4.

KUYAZOEA MASOMO KWA KUYARUDIA - Na ndio sababu kubwa baadhi ya kozi za degree za miaka minne form 4>>chuo wataambiwa wasome miaka mitatu lakini form 6>>chuo watasoma minne, Ni kwamba chuoni huwa kuna kurudia rudia masomo kwenye ngazi tofauti sababu wanasomea taaluma sio vidato, kwa upande wa form 6>>chuo unakuta kasoma mambo mengi akiwa sekondari ambayo akifika chuoni hatayakuta sababu ni nje ya taaluma, atavikuta vitu vingi zaidi vipya vilivyojikita kwenye taaluma. Mfano unamkuta form 6 kasoma topics kibao za hesabu lakini wakifika chuoni wanarudia topics tatu tu na kukuta topics mpya nyingi zaidi, Muda huo form 4>>chuo kwao vitu vingi ni marudio walishavisoma sababu ni muhimu kuvijua katika taaluma, Lakini hii haimaanishi kwamba form 4>>chuo ndio wana uhakika wa kufaulu zaidi, LA HASHA !! kuna form 6 wanawakimbiza vizuri kabisa form 4>>chuo waliobweteka ama wasio na bidii.

UHURU WA KIUTU UZIMA - miaka 18+ tayari ni mtu mzima kisheria, Inashangaza kuona watu hawa wapo form 6 wana age 18+ wanatandikwa viboko, wanapangiwa mavazi, hawaruhusiwi simu, hawaruhusiwi kufuga ndevu, kusuka, n.k. ni kama watoto wadogo !! Chuoni ni tofauti uankuwa treated kama mtu mzima kisheria, hutakuja shikiwa bakora. Kuna wazazi husema wasipeleke watoto chuoni baada ya form 4 kwa kuogopa uhuru, Ukweli ni kwamba wakimaliza form 6 wataenda chuo na uhuru wataukuta, Ni suala la kuweza kuwajengea misingi watoto wajue namna ya kuishi hata wakiwa huru, hawa wanaobanwa sana ni kwaida sana wakifikaga chuoni lazima uhuru uwachanganye iwe ni form 4 ama form 6.

kwa ufupi
  • form 4>>chuo kasomea miaka mingi zaidi taaluma kuzidi form 6>>chuo
  • form 4>>chuo kafanya mazoezi ya kazi kwa vitendo mara nyingi zaidi kuzidi form 6>>chuo
  • form 4>>chuo ana vyeti vingi vya taaluma (certificate+diploma+degree)
  • form 4>>chuo badhi ya vyuo akiingia degree anasomea miaka mitatu tu, yule wa form 6>>chuo ni mgeni sana inabidi asomee miaka minne
  • form 4>>chuo anatambulika kitaaluma akihitimu diploma, cheti cha form 6 hakitambuliki kwa taaluma yoyote
  • ikitokea mzazi kaishiwa pesa, hakuna mkopo wa chuo, n.k. kwenda kusoma degree, form 4>>chuo anaweza kuajiriwa bila degree, form 6 hawezi kuajiriwa hata kama ana division 1.
Kuna baadhi ya hoja zako nakuunga mkono ila naku-challenge kwakushindwa kwako kueleza negatives/mapungufu ya kupitia form 4- chuo cha kati.
Changamoto mojawapo ya kupita form 4-chuo ni kwamba anabanwa kwenye nafasi za kwenda kusoma shahada(degree) kwakuwa wanapewa nafasi chache na pia wanataka GPA ya kuanzia 3.0 au zaidi, kitu ambacho kinafanya diploma holders wengi hasa wa afya na engineering washindwe kusoma degree.
Zipo pia changamoto zingine ulipaswa kutuambia kuliko kuegemea upande mmoja wa positives/faida tu.
 
Kuna baadhi ya hoja zako nakuunga mkono ila naku-challenge kwakushindwa kwako kueleza negatives/mapungufu ya kupitia form 4- chuo cha kati.
Changamoto mojawapo ya kupita form 4-chuo ni kwamba anabanwa kwenye nafasi za kwenda kusoma shahada(degree) kwakuwa wanapewa nafasi chache na pia wanataka GPA ya kuanzia 3.0 au zaidi, kitu ambacho kinafanya diploma holders wengi hasa wa afya na engineering washindwe kusoma degree.
Zipo pia changamoto zingine ulipaswa kutuambia kuliko kuegemea upande mmoja wa positives/faida tu.
Kubanwa kwenda chuo inategemeana na chuo unachoomba, vyuo vinavyogombaniwa kama Udsm, Mzumbe, DIT, Muhimbili, n.k. ni ngumu sana kupenya hata kwa wahitimu wa form 6 ambao ni wengi zaidi ya mara 10 kuzidi wahitimu wa diploma, Tena siku hizi division 1 na 2 zilivyo nyingi form 6 ishakuwa kawaida kusikia wanakosa nafasi inabidi wasome vyuo private, lakini bado hata Diploma wapo wengi tu wanaodahiliwa degree, advantage ni kwamba ukisomea diploma chuo flani inakuwa rahisi zaidi kudahiliwa degree ila ukitaka kubadili chuo hasa vinavyogombaniwa ni shida,

GPA ya 3.0 ndio mchujo wa kusonga mbele, Wanaoshindwa kuifikisha wapo ila sio kiasi cha kushangaza, ikizidi sana kwa wastani ni almost wanafunzi wawili katika kila wanafunzi kumi (20 %). kwenye darasa la watu mia, 80 wanapita, wapo wataoishia diploma kushindwa kusonga mbele kama ilivyo kwa form 4, form 6, n.k.

Changamoto zipo kila sehemu, ni suala la kuziweka kwenye mzani kupima if its worth it.
 
Back
Top Bottom