KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Sasa tuanze kuweka mipakio ya rununu ya uwoya sikuwahi kujua kuwa yupo hivi! Am now interested!..😅Na picha zifutwe mtandaoni 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tuanze kuweka mipakio ya rununu ya uwoya sikuwahi kujua kuwa yupo hivi! Am now interested!..😅Na picha zifutwe mtandaoni 😂
Very good pointbila kutangazwa hata hiyo Biblia isingejulikana
Na ni ushamba piaKwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki mkubwa.
Hivi ndivyo walivyofanya Paula na Kajala wakitoa misaada kwa watu wasiojiweza huko Arusha ambapo mpango huo kabambe unaongozwa na Irene Uwoya ikiwa ni moja ya hatua za kurudisha shukrani kwa wakazi wa Arusha baada ya kumpa ushirikiano mzuri katika maandalizi ya Filamu yake mpya ya OLEMA tangu ilipoanza mpaka kumalizika.
Ingekuwa sawa endapo wangetoa hiyo msaada kimya kimya, na Mungu angewabariki hakika. View attachment 2743348
NAKAZIANa ni ushamba piah
Wivu tuKwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki mkubwa.
Hivi ndivyo walivyofanya Paula na Kajala wakitoa misaada kwa watu wasiojiweza huko Arusha ambapo mpango huo kabambe unaongozwa na Irene Uwoya ikiwa ni moja ya hatua za kurudisha shukrani kwa wakazi wa Arusha baada ya kumpa ushirikiano mzuri katika maandalizi ya Filamu yake mpya ya OLEMA tangu ilipoanza mpaka kumalizika.
Ingekuwa sawa endapo wangetoa hiyo msaada kimya kimya, na Mungu angewabariki hakika. View attachment 2743348
Wewe acha kutamani mke wa mtu ni dhambi mbayaSasa tuanze kuweka mipakio ya rununu ya uwoya sikuwahi kujua kuwa yupo hivi! Am now interested!..😅
Hapana sio wivuWivu tu
Kwani kuna mwanamke anayeficha mimba????? Muache wivu wa kijinga.Hapana sio wivu
Mkuu adabu uwe nayo tafadhari Mimi sio ng'ombe,halafu nani kakuambia Mimi naogopa dhambi...?Wewe acha kutamani mke wa mtu ni dhambi mbaya
Sawa mkuu, Majani producer namkumbuka sana.Ni mke na mwana wa rmwamba Majani mkazi wa chuga 😂
Kama hipi? Na wapi walifanya hivyo, au waliposaidiwa na mmakonde ndio hawakuita waandishi.Mi sioni tatizo wakifanya hivyo.Ipo misaada mingi Sana ambayo wameshawahi kuitoa nyuma ya camera.
Akikupa ghono unaanza kukojoa misumali.Paula anakojoa berries
mtoto mkali sana huyo, Gono yao ni soft soft, sawa na wale wa UDBSAkikupa ghono unaanza kukojoa misumali.