Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki

Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki

Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki mkubwa.

Hivi ndivyo walivyofanya Paula na Kajala wakitoa misaada kwa watu wasiojiweza huko Arusha ambapo mpango huo kabambe unaongozwa na Irene Uwoya ikiwa ni moja ya hatua za kurudisha shukrani kwa wakazi wa Arusha baada ya kumpa ushirikiano mzuri katika maandalizi ya Filamu yake mpya ya OLEMA tangu ilipoanza mpaka kumalizika.

Ingekuwa sawa endapo wangetoa hiyo msaada kimya kimya, na Mungu angewabariki hakika. View attachment 2743348
Na ni ushamba pia
 
Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki mkubwa.

Hivi ndivyo walivyofanya Paula na Kajala wakitoa misaada kwa watu wasiojiweza huko Arusha ambapo mpango huo kabambe unaongozwa na Irene Uwoya ikiwa ni moja ya hatua za kurudisha shukrani kwa wakazi wa Arusha baada ya kumpa ushirikiano mzuri katika maandalizi ya Filamu yake mpya ya OLEMA tangu ilipoanza mpaka kumalizika.

Ingekuwa sawa endapo wangetoa hiyo msaada kimya kimya, na Mungu angewabariki hakika. View attachment 2743348
Wivu tu
 
Kama katumia gharama zake na kaamua iwe hvo basi tumuache afanye, ww nae fanya mpanga uza vitunguu vyako kusanya kibunda katoe msaada kimya kimya.

Ni uhuru wa mtu binafsi kama maandiko yanakataza huenda yy haamini huko inakuaje we umhukumu kwa ambacho hakiamini? Dunia iko huru kila mtu afanye anachojiskia kikubwa asivunje sheria
 
Kwangu haina shida yoyote as long as kuna watu wanasaidika.
 
images (15).jpeg
 
Mi sioni tatizo wakifanya hivyo.Ipo misaada mingi Sana ambayo wameshawahi kuitoa nyuma ya camera.
 
Mi sioni tatizo wakifanya hivyo.Ipo misaada mingi Sana ambayo wameshawahi kuitoa nyuma ya camera.
Kama hipi? Na wapi walifanya hivyo, au waliposaidiwa na mmakonde ndio hawakuita waandishi.
 
Back
Top Bottom