Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki

Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki

Gono kitu gani bana PowerCef si zipo
UDBS kuna vyuma hatari sana, kama hazinyi vile
Tusubiri, soon mzigo mpya.

1000123079.jpg
 
Tusubiri, soon mzigo mpya.

View attachment 2743903
kipindi nasoma pale, wazee wa ndinga mnakuja mnapaki jioni , totoz kali zinaingia, zinaenda unga vikojoleo, mda huo niko zangu Hall-5 nimejilalia

Nasema hivi, Ntalipiza mda ule wote niliopoteza pale
UTI ya mtoto wa UD haiwezikua sawa na UTI ya demu wa Mwananyamala, Ebo
 
Kwenda kutoa msaada huku ikiwa na kundi la waandishi wa habari ni unafiki mkubwa.

Hivi ndivyo walivyofanya Paula na Kajala wakitoa misaada kwa watu wasiojiweza huko Arusha ambapo mpango huo kabambe unaongozwa na Irene Uwoya ikiwa ni moja ya hatua za kurudisha shukrani kwa wakazi wa Arusha baada ya kumpa ushirikiano mzuri katika maandalizi ya Filamu yake mpya ya OLEMA tangu ilipoanza mpaka kumalizika.

Ingekuwa sawa endapo wangetoa hiyo msaada kimya kimya, na Mungu angewabariki hakika. View attachment 2743348
Vipi wewe ushatoka kiasi gani bila media?
 
hao ni mastar kubali kataa camera zinawafuata wanataka kuuza habari vimba chukia pasuka ila ndio life yao...hao waandishio wanakula kwa kutuletea picha na habari kutoka kwa hao watu.....ungesema babako aende kutoa msaada awaite waandishi au apige picha na kupost ...hapo ungesema si sawa.... waandishi wanaomba na kulipa kuitwa kwenye matukio ya mastar...
 
hao ni mastar kubali kataa camera zinawafuata wanataka kuuza habari vimba chukia pasuka ila ndio life yao...hao waandishio wanakula kwa kutuletea picha na habari kutoka kwa hao watu.....ungesema babako aende kutoa msaada awaite waandishi au apige picha na kupost ...hapo ungesema si sawa.... waandishi wanaomba na kulipa kuitwa kwenye matukio ya mastar...
😂So anaumia kisa baba ake hafatwi na paparazzi
 
Back
Top Bottom