Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

like like...waambie bwana..mambo mengine sio kabisa
 
kweli kabisa sijui vitv na viredio vya huyo mume vitatupwa wapi maskini
 

Mlifanya sahihi sana
 
Nakuambia, shida tupu. lakini hii yote ya kutokuwa na say na harusi yako inatokana na kuchangia hizi harusi. unafikiri kama nchi za wenzetu ambako hakuna kuchangia harusi nani atakulazimisha ufanye kufuru?
 
Mimi nina dada yangu mtoto wa shangazi...aliolewa mkubwa though sina hakika na umri kamili...ila tulishajua hawezi tena kuolewa.

Sasa huyu dada alikuwa ni milionea mdogo; ana nyumba kadhaa mpaka ma guest house. Afu mtu eti kaingia King.

Kwani walidumu? Huyo jamaa si kuwa alikuwa masikini sana ila alikuwa kwanza mdogo ki umri; pili ana ka umarioo ela zake zote kwenye pombe anajua wife anazo...na nadhani alikuwa hajatulia vile vile...kwa ufupi kila mtu alikuwa anamuona amefuata maslahi. Walitengana baada ya sijuhi miaka kumi ...ya uvumilivu uliotukuka kwa upande wa sister...lakini alibwanga manyanga...ameambulia watoto.

Tatizo laweza kuwa pande yeyote kwa mke kuleta dharau au mume kuwa mume maslahi from day one...a.k.a. tapeli alofuata ela na si penzi. Kwa sababu most of these rich girls ni wakubwa ki umri..ukitoa hao wa utajiri wa baba.


Kukujibu kama wanaoolewa aged ndoa zinadumu au hazidumu...jibu langu mimi kama NK ni kuwa uwezekano wa kudumu ni mdogo kama mume ni mdogo ila ni mkubwa akiolewa na mzee mwenzie...mostly mjane wa kiume au dovorcee.

Usilete mifano ya US sijuhi Mariah Kelly sijuhi nini naongelea utamaduni wa kiafrika ambao age is still everything.



Sugar mami inaanzia ngapi???

Je ni wote wanaoolewa aged ndoa zao hazidumu???

Na raha ya ndoa, imelala kwenye nani kachangia nini katika mali??
 
 
Last edited by a moderator:
Badili tabia nimekupenda real constructive comment wish mgekuwa wengi kwenye community.
 
 
Umenijibu kwa ufasaha kabisa
Na hiyo ndio ilikuwa point yangu kuwa kuachana kwa sababu tu ya pesa si lazima
Kama kuna sababu zingine ilikuwa halali yake huyo dada kubwaga manyanga.

Hiyo ya kudate mwanamme mdogo kuliko mie, hiyo ni marfuku kama mbwa kupanda darini.
Hao akina Maria Carey wakae nao wao, huku kwetu NO.
Kwanza napenda akija nimpokee, nimwamkie na goti, ntaamkia vipi kitoto lol

 

Halafu The Boss tutagombana, mambo gani hayo kumtaja laaziz wangu na kimwana Smile wakati mkewe nipo????!!!uacheeee.
:focus: Binafsi huwa sielewi hilo swala la kumtunza mama limeanzia wapi??anatunzwa kwaajili ya nini???kumlea binti mpaka kuolewa au???!!! Ni jukumu lake kumlea mwanae sasa anatunzwa ili iweje???!!!jamani kuna mambo siku hizi inabidi kuyaangalia tu na kuyaacha kama yalivyo. Mbona baba huwa hatunzwi?au huyo mtoto kalelewa na mama pekee?! Ngachoka kbsaaaa chaa!
 
Last edited by a moderator:
Asante The Boss.....
tulipofikia ni kubaya nilishahuhudia mama ameenda kumtukana mume wa mtoto wake na kumfukuza kisa tu support kubwa ya kifedha mpaka nyumba wanayoishi binti alipewa na wazazi.

 
Umeona eeh. Haya mambo watu hawaoni kuwa ni tatizo mpaka pale ndoa inapoanza migogoro...ndio utajua kama gari ni lako au walikupa wakwe. Lol.

Si kuna mtu alitimuliwa na mfuko wa rambo maana nyumba ya wife.

Afu wanawake wengi hatunaga huruma hasa mume akianza ukichehche...ni ngumu kuvumilia ushenzi wakati mtu yuko kama mkimbizi hana kitu.


Asante The Boss.....
tulipofikia ni kubaya nilishahuhudia mama ameenda kumtukana mume wa mtoto wake na kumfukuza kisa tu support kubwa ya kifedha mpaka nyumba wanayoishi binti alipewa na wazazi.
 

Hahahaaaaaa Kongosho nafwaaaaa........goti lina utamu wake ati haloooooo
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi maisha ya sasa yalivyo magumu, kama unamwoa mwanamke atakayekuja na vitu vyote hivyo ni jambo la kushukuru sana.
 
watu wanaongea tu...wanawake tulivo ni ngumu sana mimi nitaenda na chupi tu kwa kweli
 
Kwa jinsi maisha ya sasa yalivyo magumu, kama unamwoa mwanamke atakayekuja na vitu vyote hivyo ni jambo la kushukuru sana.
na vijana wa siku hizi mlivo iresponsible mnapenda kweli siku ukikutana na malboro ya voboksa vyako viwili getini usije kulia hapa
 
 
 
watu wanaongea tu...wanawake tulivo ni ngumu sana mimi nitaenda na chupi tu kwa kweli

Hahahaaaaaaaa Smile akhsante sana kwa huu msredi nimecheka leo aaahhhh hapana
 
Last edited by a moderator:
Wale wale kwa nini hufikiri kutafuta pamoja unafikiria kushukuru.... unafikiri kwa kujaziwa nyumba ndio ugumu wa maisha utakuwa umeisha jamani ndoa ni zaidi ya makochi masufuria na mazagazaga yote.

Kwa jinsi maisha ya sasa yalivyo magumu, kama unamwoa mwanamke atakayekuja na vitu vyote hivyo ni jambo la kushukuru sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…