Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

Wanatoa adharani ili kutoa karipio (warning)....hakuna cha kuwatakia mema maharusi wala nini ...ni mbwembwe na kutishiana amani tuuu.

Gotcha u bro! Umeongea vizuri sana imeniingia maana hata wakinunulia nguo zao za ndani nyie hamtajua kama mkwe wetu leo kavaa ile pichu....lol
Na kama hivyo ndivyo haina haja ya kuwakabidhi hizo hela mbele ya umati wa watu si wapeane nyumbani tu kwamba wanetu sisi kama wazazi tumeonelea tuwape hizi pesa zitawasaidia kuanzia maisha,uamuzi ni wao kununua Kuger ama kuzinywea chibuku shauri yao!
 
Zawadi nzuri ni ile unayopewa nyumbani mkiwa ndugu tu
au watu wa karibu
sio zawadi inaletwa na matarumbeta na mc mishipa imemtoka....
hiyo sio zawadi
hiyo ni 'show off'

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiii mie leo mnanivunja mbavu zangu jamaniiii..............ndo hapo mi nsipoelewa!!!!! Inakua kama mashindano.
Halafu watu mimacho na masikio imewatoka wanasubiri kupiga vigelegele, upande huu wamewapa nyumba mbili,viwanja na magari tena ya maana....sijui ze aza side watatoa nini ngoja tuone. Mara wanasikia sie tunawapa mbuzi jike na dume lol
 
Wanatoa adharani ili kutoa karipio (warning)....hakuna cha kuwatakia mema maharusi wala nini ...ni mbwembwe na kutishiana amani tuuu.

Umenena vyema nyumba kubwa

Jamani kwani leo hizi quotation zimekuwaje????mbona naona mvurugano tu hapa.....
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiii mie leo mnanivunja mbavu zangu jamaniiii..............ndo hapo mi nsipoelewa!!!!! Inakua kama mashindano.
Halafu watu mimacho na masikio imewatoka wanasubiri kupiga vigelegele, upande huu wamewapa nyumba mbili,viwanja na magari tena ya maana....sijui ze aza side watatoa nini ngoja tuone. Mara wanasikia sie tunawapa mbuzi jike na dume lol


Kwanza ni 'ushenzi'
kuleta mashindano siku ya harusi...
mfano najua kabisa Ymmy kwenu baba 'kinyozi' baba mkubwa 'dobi'
Halafu siku nakuo Ndugu zangu hadharani wanasema upande wa mume
'tunatoa zawadi ya gari' na funguo zinaletwa kwa mbwembwe...
halafu mc anasema sasa upande wa bibi harusi....huku najua nyie kwenu
mjasiriamali mkubwa ana genge la embe uwanja wa Taifa....
sasa hapo nimekuoa nikusitiri?au kukuoa nikuumbue?...
 
Kwanza ni 'ushenzi'
kuleta mashindano siku ya harusi...
mfano najua kabisa Ymmy kwenu baba 'kinyozi' baba mkubwa 'dobi'
Halafu siku nakuo Ndugu zangu hadharani wanasema upande wa mume
'tunatoa zawadi ya gari' na funguo zinaletwa kwa mbwembwe...
halafu mc anasema sasa upande wa bibi harusi....huku najua nyie kwenu
mjasiriamali mkubwa ana genge la embe uwanja wa Taifa....
sasa hapo nimekuoa nikusitiri?au kukuoa nikuumbue?...
ahahaaaa The Boss kwa kuthink big.... waambie bwana Kongosho njoo uone ....watu wabaya kweli
 
Last edited by a moderator:
Wale wale kwa nini hufikiri kutafuta pamoja unafikiria kushukuru.... unafikiri kwa kujaziwa nyumba ndio ugumu wa maisha utakuwa umeisha jamani ndoa ni zaidi ya makochi masufuria na mazagazaga yote.
Kwa ulivyo comment, nina uhakika wewe haupo kwenye ndoa.
Turudi kwenye mada. kwanini ukatae mwanamke uliyemuoa asije na vitu vya ndani?
 
Kwa ulivyo comment, nina uhakika wewe haupo kwenye ndoa.
Turudi kwenye mada. kwanini ukatae mwanamke uliyemuoa asije na vitu vya ndani?
hatujasema vitu vya ndani ...tumesema kuja na kila kitu hadi kitanda chako cha kulalia ..kila kitu tv maradio sofa kila kitu humo ndani wewe ubaki tu na nguo zako labda?
 
Kwanza ni 'ushenzi'
kuleta mashindano siku ya harusi...
mfano najua kabisa Ymmy kwenu baba 'kinyozi' baba mkubwa 'dobi'
Halafu siku nakuo Ndugu zangu hadharani wanasema upande wa mume
'tunatoa zawadi ya gari' na funguo zinaletwa kwa mbwembwe...
halafu mc anasema sasa upande wa bibi harusi....huku najua nyie kwenu
mjasiriamali mkubwa ana genge la embe uwanja wa Taifa....
sasa hapo nimekuoa nikusitiri?au kukuoa nikuumbue?...

Hahahaaaaaaaaaaa uwiiiiii nimetoa licheko kwa sautiiiii........khaaaa! Hapo nikuumbuana kabsaaaa,tena mie hasira zooote ntakumalizia wewe maana ningetegemea wewe unisitiri kwahiyo ungewapiga warning mapema huko kwenu wasilete mambo yao ya kihaya hapa(nna utani na Bishanga jamani, msije mkaniua bure)!
Ilinisikitisha sana nilienda kwenye harusi moja mama(mzazi wa mume) akasimama kutoa zawadi akasema anawapa viwanja kimoja kigamboni kingine Mbezi(ya Kimara) akawapa 2m za kuanzia maisha na atawasomesha nje ya nchi. Upande wa mwanamke wakasimama baba na mama wakatoa ng'ombe mmoja na bible. The Boss iliniumaaaaa yaani nikasema kweli binadamu tuna kazi. Well, huyu mama hakua mhaya....lol
 
Last edited by a moderator:
Umenijibu kwa ufasaha kabisa
Na hiyo ndio ilikuwa point yangu kuwa kuachana kwa sababu tu ya pesa si lazima
Kama kuna sababu zingine ilikuwa halali yake huyo dada kubwaga manyanga.

Hiyo ya kudate mwanamme mdogo kuliko mie, hiyo ni marfuku kama mbwa kupanda darini.
Hao akina Maria Carey wakae nao wao, huku kwetu NO.
Kwanza napenda akija nimpokee, nimwamkie na goti, ntaamkia vipi kitoto lol

Kongosho kumbe we mtamu hivyo eenh? Ninavyopenda goti hadi nimekudondokea ghafla! lol
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni nani alafu aliye introduce haya mambo ya michango jamani????
Mi nilivyokuwa mdogo haya mambo hayakuwepo kabisa...ukialikwa kwenye harusi wewe unabeba zawadi tu...hakuna kuchangia...siku hizi mpaka birthday watu wanataka michango..ptuuu.

Kumbe wenzetu hata Nigeria pamoja na kupenda show off hawana michango ya harusi.

Imeshakuwa culture kubadilika inakuwa ngumu. Ningekuwa waziri wa utamaduni ningepiga marufuku maana naona wengi hawataki lakini wanashindwa waanzie wapi kuacha. Hili ni janga na ni moja ya mila potofu (mila mpya lol._
 
Hahahaaaaaaaaaaa uwiiiiii nimetoa licheko kwa sautiiiii........khaaaa! Hapo nikuumbuana kabsaaaa,tena mie hasira zooote ntakumalizia wewe maana ningetegemea wewe unisitiri kwahiyo ungewapiga warning mapema huko kwenu wasilete mambo yao ya kihaya hapa(nna utani na Bishanga jamani, msije mkaniua bure)!
Ilinisikitisha sana nilienda kwenye harusi moja mama(mzazi wa mume) akasimama kutoa zawadi akasema anawapa viwanja kimoja kigamboni kingine Mbezi(ya Kimara) akawapa 2m za kuanzia maisha na atawasomesha nje ya nchi. Upande wa mwanamke wakasimama baba na mama wakatoa ng'ombe mmoja na bible. The Boss iliniumaaaaa yaani nikasema kweli binadamu tuna kazi. Well, huyu mama hakua mhaya....lol
heri ni upande wa mume ebu geuza iyo case? huyo mume si angezimia ukumbini?
 
ahahaaaa The Boss kwa kuthink big.... waambie bwana Kongosho njoo uone ....watu wabaya kweli

Yaani achaaaa mie nimechekaaaa, kweli lakini inabidi tujifunze jamani sio mambo ya kwenda kuumbuana kwenye umati wa watu sio ustaarabu hata kidogo. Misifa mingine ya kipuuzi kwelkwel. We Asprin usirudie tena kufanya haka kamchezo ulikofanya kwa cacico sio kazuri na kalikushushia hadhi.
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni nani alafu aliye introduce haya mambo ya michango jamani????
Mi nilivyokuwa mdogo haya mambo hayakuwepo kabisa...ukialikwa kwenye harusi wewe unabeba zawadi tu...hakuna kuchangia...siku hizi mpaka birthday watu wanataka michango..ptuuu.

Kumbe wenzetu hata Nigeria pamoja na kupenda show off hawana michango ya harusi.

Imeshakuwa culture kubadilika inakuwa ngumu. Ningekuwa waziri wa utamaduni ningepiga marufuku maana naona wengi hawataki lakini wanashindwa waanzie wapui kuacha.
mtu anabatiza mtoto anaomba mchango eti? shame
 
Mi naona upande wa mke wakiwa masikini sio noma wala nini...si wameolewa.Lol.

Inshu pale upande wa mume wawe hawana kitu.

Hahahaaaaaaaaaaa uwiiiiii nimetoa licheko kwa sautiiiii........khaaaa! Hapo nikuumbuana kabsaaaa,tena mie hasira zooote ntakumalizia wewe maana ningetegemea wewe unisitiri kwahiyo ungewapiga warning mapema huko kwenu wasilete mambo yao ya kihaya hapa(nna utani na Bishanga jamani, msije mkaniua bure)!
Ilinisikitisha sana nilienda kwenye harusi moja mama(mzazi wa mume) akasimama kutoa zawadi akasema anawapa viwanja kimoja kigamboni kingine Mbezi(ya Kimara) akawapa 2m za kuanzia maisha na atawasomesha nje ya nchi. Upande wa mwanamke wakasimama baba na mama wakatoa ng'ombe mmoja na bible. The Boss iliniumaaaaa yaani nikasema kweli binadamu tuna kazi. Well, huyu mama hakua mhaya....lol
 
Back
Top Bottom