Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,478
we Dena ww!!!..............umepotea sana mzima lakini.
Kwanza kuna ndoa siku hizi nijibebeshe mivitu siku mbili kibuti mnaanza kugombania ya nini mimi nakwenda na begi langu kikinuka natimka timu kama nasafiri vile kumbe ndo nitoleee (Wasichana ambao hamjaolewa kazi kwenu)