Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

Naandika kwa msisitizo hebu nyie wanaume wawili niambieni mnataka nini???!!!!nani amekubali kumuachia mwenzake mzigo wallaih atakae baki na huu mzigo tunakutana saa kumi na mbili robo kuhalalisha infii ya JF.
Halafu ntarudi kuwasimulia wake wenzangu hawa wafuatao yaliyojiri Kongosho(kubwa lao), BADILI TABIA(kipenzi changu hata Asprin akinitema usiwe na wasiwasi ntakuja pande zile nikusaidie kwa yule mwingine), Dena Amsi(msiri wangu hata @Mr Rock akinitema utanipatia yule muuza kashata anaekusumbua kila kukicha kuwa kanidondokea), cacico(mke mwee wa ukwee,utaendelea kuniletea viwalo vya kusumbua mitaa ya yetu ileeee)

Ngoja nizisubirie kura zinasemaje. Na wewe pia niusikie msimamo wako. Mi sipendi vigeugeu ujue.
 
Helo my dears
kwanza nianze na story hii
juzi nilienda kwenye kitchen party ya rafiki .wakati wa zawadi mamayake kumbe alienda china kafungasha contena lina kila kitu cha ndani kilazagazaga
vitanda,magodoro ,sofa ,majiko ,friji ,radio ,matv, taulo …yaaanikila kitu ambacho kinatakiwa kiwe ndani ya nyumba ya mtu hadi kijiko
kijana aliemuoa huyo dada ni mtu wa kawaida tu kwa kweli ,hata kujenga bado
sasa najiuliza hili limekaaje wadau
hivi ni sawa kwa mwanamke ukiolewa kwenda na kila kitu kwamume… au ni vizuri kwenda na begi lako la nguo tu?
apo kwenye bold apo....

nachukua fursa hii kukujibu kwa kiinjinia zaidi na lugha za saiti....

HAPO KWENYE BOLD HAPO NI THINKING KWA KUTUMIA AKILI YA KIBARUA
 
Naandika kwa msisitizo hebu nyie wanaume wawili niambieni mnataka nini???!!!!nani amekubali kumuachia mwenzake mzigo wallaih atakae baki na huu mzigo tunakutana saa kumi na mbili robo kuhalalisha infii ya JF.
Halafu ntarudi kuwasimulia wake wenzangu hawa wafuatao yaliyojiri Kongosho(kubwa lao), BADILI TABIA(kipenzi changu hata Asprin akinitema usiwe na wasiwasi ntakuja pande zile nikusaidie kwa yule mwingine), Dena Amsi(msiri wangu hata @Mr Rock akinitema utanipatia yule muuza kashata anaekusumbua kila kukicha kuwa kanidondokea), cacico(mke mwee wa ukwee,utaendelea kuniletea viwalo vya kusumbua mitaa ya yetu ileeee)

Halalisha Asprin kashakutema na kwangu karibu kwa mikono yote na miguu yote mpaka na ule mwingine wa siri cacico na BADILI TABIA endeleeni kukaa na babu Asprin Dena Amsi hapa unajua mambo yetu na Yummy so wake zangu wawili karibuni mpaka ndani maana nyie hamna ugomvi kabisa
 
Last edited by a moderator:
Hajammwaga tuko wawili una swali lingine??? Halafu mimi ndio Mkubwa Yummy mdogo upo hapo???


hebu mwambie huyu dogo naona anaona makengeza hajui hata kusoma
Au na wewe ni mwanafunzi wa ile shule ya janja janja Erickb52 umefaulu la saba ila hata kusoma hujui Dena Amsi my wife kiss kiss
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaaaaaaaa......yeruaaaa nimechekaaaaa jamani aaahhh usubui ya leo tamu sana naona siku yangu itaisha vyema!

Una kesi ya kujibu ujue.............kisa cha kumdalilisha Mume wetu kumlinganisha na hicho kibabu kizeee ni nini??? Omba radhi kabla sijakusemea................
 
Ngoja nizisubirie kura zinasemaje. Na wewe pia niusikie msimamo wako. Mi sipendi vigeugeu ujue.
Asprin kila siku tukiwa kitandani nakwambia usiwe unatingisha kibiriti kilichojaa mpenzi,sasa sijui nani anakutia kiburi? Nani KARIA???mwambie ntamchapa!

Kumbuka ule usemi mtu mzima hatishiwi.........
 
Last edited by a moderator:
Nimesikia mtaani kwako wanakuita babu lakini kwa jinsi unavyomwaga verse kwa dogodogo mtaa huu nimekuaminia!!:spy:
Unamwona wife wangu cacico? Punguza wivu basi


esther-baxter_b5f8bac8.jpg
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom