Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

Unamwona wife wangu cacico? Punguza wivu basi


esther-baxter_b5f8bac8.jpg
Babu umeanza kulete mambo eeeh
Lete ya Yummy
 
Last edited by a moderator:
welcome back smile...duh, long tyme!!mi sioni tatizo kwa kuwa ataenda kusshirikiana na mumewe maisha yake yote so si vibaya kwani kashapata mwenza huyo...
Helo my dears
kwanza nianze na story hii
juzi nilienda kwenye kitchen party ya rafiki .wakati wa zawadi mamayake kumbe alienda china kafungasha contena lina kila kitu cha ndani kilazagazaga
vitanda,magodoro ,sofa ,majiko ,friji ,radio ,matv, taulo …yaaanikila kitu ambacho kinatakiwa kiwe ndani ya nyumba ya mtu hadi kijiko
kijana aliemuoa huyo dada ni mtu wa kawaida tu kwa kweli ,hata kujenga bado
sasa najiuliza hili limekaaje wadau
hivi ni sawa kwa mwanamke ukiolewa kwenda na kila kitu kwamume… au ni vizuri kwenda na begi lako la nguo tu?
 
Asprin kila siku tukiwa kitandani nakwambia usiwe unatingisha kibiriti kilichojaa mpenzi,sasa sijui nani anakutia kiburi? Nani KARIA???mwambie ntamchapa!

Kumbuka ule usemi mtu mzima hatishiwi.........
Hapo kwenye red umeshajijibu la aziz! siogopi kuchapwa na wewe ngo! tena ukinichapa nitashangilia! Yummy nichape haraka.
 
Last edited by a moderator:
Hawako wawili Asprin in infiiii kwa hiyo hana mamlaka kama Mzee wa nyumba Mr. Rocky right???

Baelezeee hili njemba linataka kweli kutukorofisha........na akicheza ntamsemelea kwa Asprin na Mr Rocky kuwa huwa ananitongozaga kila siku na amesema atawafanyizia waote vijipu uchungu kwenye naniliu
 
Last edited by a moderator:
Hawako wawili Asprin in infiiii kwa hiyo hana mamlaka kama Mzee wa nyumba Mr. Rocky right???
Heheheeee sawa ila mi na Mamndenyi tunakagua mahusiano ili kupunguza idadi kubwa kwa mtu mmoja so ngoja aje awakague chap
 
Last edited by a moderator:
Una kesi ya kujibu ujue.............kisa cha kumdalilisha Mume wetu kumlinganisha na hicho kibabu kizeee ni nini??? Omba radhi kabla sijakusemea................

Nsameeeeee ai weeeeee usisemeee ntakuletea upande wa wax......mwaaaaaah
 
Last edited by a moderator:
welcome back smile...duh, long tyme!!mi sioni tatizo kwa kuwa ataenda kusshirikiana na mumewe maisha yake yote so si vibaya kwani kashapata mwenza huyo...
thax mkuuu....sio lazima kwenda na kila kitu bwana
 
Unamwona wife wangu cacico? Punguza wivu basi
esther-baxter_b5f8bac8.jpg

Najua hukosei unapochagua my wife wako lakini suala la wivu wapi na wapi wakati mi wa kiumeni mzee mzima?
Ukiona nina wivu na cacico basi ujue siku za ufalme wako zinahesabika...
 
Last edited by a moderator:
Hii kitu nilishaapa kabisa siwezi kukaa nyumba ya baba au mama mkwe
Wewe hujui kuna wakwe wengine ni machizi kuna wazazi ambao wanampa mtoto wao wa kike nyumba alafu kasheshe huyo mwanaume anazopata ndani ya nyumba mh But naweza kukuambia sidhani kama huyo mwanaume au familia yake iko totally Ok with the situation
 
Back
Top Bottom