waache wapenda bure washabikie mkuu,,,hawatujui wanawake tulivo? hadi kitanda ulalie cha mamamkwe?Nilipokuwa bachela nilikuwa na GF kila akija kunitembelea lazima aache kitu....baada ya mwezi nyumba imejaa makorokoro yake.....Tuliposhindwana akaja na FUSO kuhamisha mali zake....hapo hatujaoana wala hakuhamia rasmi kwangu
Mwita Maranya, kwani kule kwenu mmeacha tabia ya kupiga wanawake na kuwakata masikio? Mie naogopa kukatwa masikio na hata kuchapwa makofi. Nahofia hayo kwa sababu najijua mie ni mbishi flani hivi. Sasa nisije nikakubishia kitu ikala kwangu. Naenda salon nikirudi natumai ntakuta maelezo yanayoeleweka.
Shem nitake radhi nani kanitolea nje??? My Husband??? Wewe nakupa ten minute uwe umeomba radhi la sivyo na report abuse Mr. Rocky hebu mwambie huyu jamaa
nakuunga mkono mwaJ.Mwita Maranya shauri yako! Utauziwa mbuzi kwenye gunia ohoooooo! Babu Asprin hajatu consult kujua kama tutakubali au la! Mambo ya kulazimishana hakuna siku hizi. Labda Blue G lakini mie mmmh! Kupangiwa bila maelezo sitaki.
waache wapenda bure washabikie mkuu,,,hawatujui wanawake tulivo? hadi kitanda ulalie cha mamamkwe?
Dah na wivu umenijaa kwa Yummy coz tangu nimkague huwa namuwaza sana aiseeMpaka hapo kashachemsha
mtu anatongoza toka mwezi januari mpaka leo hajapata KARIA kaogee vumbi aise Dena Amsi achana na babu Asprin bana anakuonea wivu mpaka roho inataka kutoka Yummy acha ukigeugeu mara leo uko lushoto kesho uko mbeya Erickb52 we wivu utakuua utapata brain konkosheni very soon Asprin wazee wazima huwa hawabishani kwenye umati mbele ya watoto kama akina KARIA na Erickb52 mambo yetu huwa tunamalizia kwenye viti virefu na tunashikana mikono ya amani
Ukibishana hapa akina Erickb52 wanapata wasi wasi
Ha ha haa kweli mapenzi ni upofu.
Huyu jamaa unayemlilia hapa si ametangaza waziwazi kwamba yeye na Yummy hata kwa ndumba hawaachani? mi nilikuwa natoa ushauri wa bure tu, ukitaka unaacha!!!
Potelea mbali.... wale wajanja hata kama wanaiba wanaiba responsibly. We hata vichochoroni kila mtu kishajua.... khaa!
mwaJ achana na propaganda za magazeti ya udaku. Nchi hii hakuna mwanaume anayejua kumpenda na kumlinda mke wake kama mkurya, wala asikudanganye mtu katika hilo.Mwita Maranya, kwani kule kwenu mmeacha tabia ya kupiga wanawake na kuwakata masikio? Mie naogopa kukatwa masikio na hata kuchapwa makofi. Nahofia hayo kwa sababu najijua mie ni mbishi flani hivi. Sasa nisije nikakubishia kitu ikala kwangu. Naenda salon nikirudi natumai ntakuta maelezo yanayoeleweka.
mkuu Mr Rocky mimi huyo Dena Amsi ni shemeji yangu kwahiyo sina maslahi yoyote ya kunifanya niingie kwenye ligi. Mimi namhurumia tu anavyohangaika pamoja na kumhakikishia kwamba hata kwa grader hatoki. Mimi sijui na sitaki kujua unampa nini hadi awe king'ang'anizi kiasi hicho pamoja na kutambua wako wangapi!!
Tatizo lako we Mwita Maranya hapo unataka Dena Amsi achukie mmewe ili we uchukue nafasi.Ha ha haa kweli mapenzi ni upofu.
Huyu jamaa unayemlilia hapa si ametangaza waziwazi kwamba yeye na Yummy hata kwa ndumba hawaachani? mi nilikuwa natoa ushauri wa bure tu, ukitaka unaacha!!!
Tatizo lako we Mwita Maranya hapo unataka Dena Amsi achukie mmewe ili we uchukue nafasi.
Huo ushungi niliovaa unahalalisha wake wanne so wawili si issue wala sina wivu wowote
Ha ha haa kweli mapenzi ni upofu.
Huyu jamaa unayemlilia hapa si ametangaza waziwazi kwamba yeye na Yummy hata kwa ndumba hawaachani? mi nilikuwa natoa ushauri wa bure tu, ukitaka unaacha!!!
Unaongea umekariri au unaelewa?? Yummy muulize vizuri akueleze kuwa yeye ni mdogo kwangu. Mimi Dena Amsi na Yummy(my lovely mdogo(mke mwee)) ni wakeze Mr Rocky na ndoa yetu ina upendo na ushirikiano mkubwa.
Tatizo lako we Mwita Maranya hapo unataka Dena Amsi achukie mmewe ili we uchukue nafasi.
Huo ushungi niliovaa unahalalisha wake wanne so wawili si issue wala sina wivu wowote