Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Jaribu google translator huenda utapata jibu
Jaribu google translator huenda utapata jibu
unatumia simu kwa shughuli gani usiku huu wa manane hadi umekuta hayo maneno ? 😀
inaonekana unachofanyaga usiku huu ishakuwa tabia sugu
kuwa muwazi ulikuwa unatumia simu kwa shughuli gani hadi ukakutana na hayo maneno.Nilikuwa napitapita tu kuangalia habari fulani mjini X sasa nakutana na post au comments zina hayo maneno na sio mara ya kwanza.
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara leo nikaona nililete hili kwenu
Na nimeleleta hapa MMU kwa sababu leo ndiyo nimegundua kwenye post za mahusiano huwa yanatumika sana
kuwa muwazi ulikuwa unatumia simu kwa shughuli gani hadi ukakutana na hayo maneno.
huna haja ya kuona aibu, ni kawaida kwa wakataa ndoa kama wewe
View attachment 3231483
Vipi mzee? Wataa ni nini?Wataa 🤣🤣🤣🙌
Rudi X uangalie post zenye neno "wataa"Vipi mzee? Wataa ni nini?
Kama umeona huyaelewi achana nayo hayakuhusu na hayakusaidii kitu.
Endelea na mambo mengine.
Kivipi mkuu?Uzi wa wapiga nyeto huu
🤣🤣🤣Rudi X uangalie post zenye neno "wataa"
Wazee wa kukwea mnazi mnajiteteaga sana 😂😂Sasa mkuu mimi nimeshaeleza kila kitu soma meseji #6