Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 766
Mmmmmmmhhhhh! Yangu macho
mamaafacebook...😱 maiti ndo anakata tamaa banaa
Nina maana kwamba kupenda(pamoja na mambo mengine ya kiuchumi) ndiko kunaweza kumfika mtu akaingia kwenye mchepuko bila kujitambua. Wahenga walisema Mwenye mapenzi haoni ingawa macho anayo..
Ukweli mtupu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Na we we unachepukaga?