Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja kwanza nione kama hii matirio ipo kwenye rasimu ya katiba.
Kama ipo, bila kujali mengine yaliyomo, naipigia kura ya ndio katiba.
Itifaki imezingatiwa.
Ntarudi kwa majumuisho.
Heehehehhee...........na ukitaka kumpiku jambazi ,unakuwa?
ha ha ha nisingekuta hii comment yako basi ningeomba ban mwaka mzima jf
ndo mana kiinua mgongo chako nimekula kimya kimya
Kwa kuongeza pia msipende kusimulia mapungufu ya mkeo kwa nyumba ndogo e.g mke wangu hajui kupika, mke wangu mvivu, housegal ndio anafanya kila kazi nyumbani, mke wangu ni mtu wa vikao na kitchen party hana muda na mimi na bla bla kibao.
Kufanya hivi ni kuipa nafasi nyumba ndogo kucheza karata zake vizuri ili kukuteka kiakili baada ya kugundua nini hukipati kwa mkeo.
Ndio ile unaona dume zima sasa linaloea nyumba ndogo, na kusahau familia kwa sababu ya mambo ambayo baba kayasababisha.
Ukiwa na nyumba ndogo, ongeeni yenu, msifie pale anapofanya la kukufurahisha lakini huna sababu ya kulinganisha.
Epuka kumtaja taja mkeo ukiwa na nyumba ndogo, maana haimhusu, ulijua una mke lakini bado ulikuja kwangu, hivyo habari za mkeo hazina tija hata moja kwenye mahusiano yetu.
Kwa vile umeamua mwenyewe kua na nyumba ndogo, bila kulazimishwa na mtu na una sababu za msingi kufanya hivyo, basi nyumba ndogo ikikuheshimu, kukuthamini na kukupa unachostahili, basi na wewe lipa fadhila kwa kuitendea haki inayostahili.
Ni haya kwa sasa, nikikumbuka mengine nitaingezea.
Sent from my iPhone using JamiiForums
cc Kaizer nimekupenda bure da asia
Noted with thanks
cc: Kaizer
Umesahau moja..... ni marufuku nyumba ndogo kulia wivu wa kimapenzi. Ukumkuta mwizi mwenzio yuko na mwizi mwingine usianzishe zali..... badala yake ongeza juhudi umzidi mwizi mwenzio.
Ukitaka kumpiku mwizi, kuwa jambazi.
Ni marufuku pia baba kulia wivu kwa nyumba ndogo, peleka wivu kwa nyumba kubwa. Maadam nimejitoa mhanga kua na wewe wakati umeoa, basi ukiwa uko kwa mkeo niache na mimi nijiachie with friends.
Sio kutwa mawivu kwa mambo ambayo hayapo.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Usisahau nshapata na mafao ya wastaafu wa jumuiya ya Afrika Mashariki. wahi uje ujinome tena. ila safari hii uje without kabisa....
Sound like no string attached..........
hebu tia neno sio kupita kimya tu....
Wanaume kumbukeni kua nyumba ndogo ziko smart kushinda nyumba kubwa. Nina imani na nyie mnatekwa sababu hiyo. Tena kama uko busy sana na kazi au biashara, nyumba kubwa imebweteka maana ishaiona ndoa, pete kidoleni, wanajisahau.
Nyumba ndogo busy kufuatilia mambo ya baba yaende vyema. Nyumba ndogo ndio inatafuta shule za watoto wa baba, maongezi pia na baba yanaendana, wakati myumba kubwa iko busy kumueleza baba yaliyojiri ze comedy, nyumba ndogo inamueleza habari za eskrow na ndege iliyopotea.
Mlio kwenye ndoa zingatieni haya pia. Baba anakua busy kiasi hata gazeti kusoma anakosa muda, akija mpe ya maana yaliyojiri kwenye news, sio Joti alichofanya kwenye ze comedy show.
Sent from my iPhone using JamiiForums
hao wanahitaji sana hii eleimu sexologist...??? ngoja nikuitie kwa sauti kubwa.. lara 1 na Evelyn Salt hebu njoo pande za huku....Lara 1 anahusika zaidi mahala hapa... Bila kumsahau Evelyn salt..