Kwenu nyie madada

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Ifike mahali muwe wawazi kila baada ya mda naona mnajipongeza mara hapy b.day to mee kwenye status mnaandika "asante mungu kwa kunifikisha miaka kadhaa'hapo hamsemi miaka hiyo mliofika mnaficha,kwani mkiwa wawazi kuna shida gani mkisema asante mungu kwa kunifikisha miaka labda 40.. 45..48 au 50 na kuendelea ?

Kuweni wawazi ili sisi wanaume tunapotaka kuja pm tuwe tunajua huyu ni mtu mzima mwenzetu au ni bibi yetu au ni mama yetu ili isijekuwa tunatongoza bibi zetu humu bila kujua.
 
Wema Sepetu tu ndiye huwa anaitaja miaka yake.
Ila haitoki kwenye 20's.
 
Umri was mtu ni privacy yake


Siyo lazima atangaze hadharani akishamshukuru Mungu inatosha...Siyo lazima atutangazie ss
Kama unataka kwenda pm we nenda itapendeza kama utauliza umri huko pm pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…