Kwenu Ustawi wa Jamii, Mshughulikieni huyu mama, huu ni unyanyasaji kwa watoto

Kwenu Ustawi wa Jamii, Mshughulikieni huyu mama, huu ni unyanyasaji kwa watoto

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Mama huyu ni mpumbavu sana, anaanzaje kumkatili mtoto kiasi hiki?

Mtoto siku yake ya kuzaliwa ni siku ya furaha lakini kinachofanyika hapa ni tofauti kabisa.

Mtoto anavutwa, anawekwa sakafuni kwa nguvu, anamwagiwa maji yabaridi na analia kwa nguvu kuonyesha kuchukizwa na kinachoendelea lakini huyu mama imekuwa ni burudani kwake.

Mama alivyo haendani na ujinga anaoufanya, hapa ndo nimekumbuka kauli ya kuwa "na wajinga wanazeeka
🤔
"


 
Katika upumbavu ambao sijaukubali ni huu wa birthday.

Yaani mtu umri wake unaisha hlf ety anasherekea kumalizika umri wake

Tafakarini jmni sio kila kitu cha kuiga
 
Nikisikia mchango kuhusu birthday sipokei cm.
 
mama huyu ni mpumbavu sana, anaanzaje kumkatili mtoto kiasi hiki?

mtoto siku yake ya kuzaliwa ni siku ya furaha lakini kinachofanyika hapa ni tofauti kabisa...
Halafu kuna watu wameshiba magimbi wanalaumu tukiwapiga vibao hawa viumbe.
 
Hakika huu ni unyanyasaji kabisa, Haikubaliki na Mama anafurahia hivi. Ni aibu kubwa sana kufikia hali kama hii
 
Back
Top Bottom