Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Huwa nawashangaa hadi nimechoka kuwashangaa, nawashwa washwa kuwauliza...UNAPOINGIA CELEBRITIES FORUM UNAJUA NI NINI UNAKUJA KUSOMA? au huwa hamuelewi maana yake?kuna mtu huwa anawatag mje kusoma umbea wa hili jukwaa???
Mi huwa nawashangaa mno na kuwaona malofa msiojielewa, Hance Mtanashati akileta ubuyu hapa mnakuja kama nzi kwenye mavvvv "mwanaume hupendezi kuwa mbea" kawaambia anataka kupendeza? "mara mna wasiwasi na jinsia yake" mnataka muijue jinsia yake ili iweje nyie jinsia zenu nani kawauliza, sasa hampendi umbea jukwaa la story za umbea mmefata nini, mmeambiwa huku kunauzwa vifaa vya bodaboda? alieweka majukwaa tofauti tofauti alikua na akili alijua interests hazifanani kama hampendi umbea nendeni huko jf garage mkaangalie aina za magari na spana zake, nendeni intelligence forum huko mkiingia huku wote ni wambea mwandishi, wasomaji wachangiaji wote wambea. Majukwaa zaidi ya 30 yooote umeyaacha umekuja celebrities forum na unasema hupendi umbea, kenge!!!!
Hance Mtanashati binafsi nakukubali sana, nakukubali kwa ubuyu ila pia una roho ya kipekee pamoja na kuandamwa na hawa vidudu watu haujali maneno yao unaleta tu ubuyu na wala hauna hasira hata chembe warumi ye hadi hasira huwa zinampanda ila we upo cool, nakupenda bureeee. Usiache kutuchangamsha na ubuyu ikibidi tumia umbea kama fursa si unawacheki kina soudy na kwisa umbea unawaweka mjini, afu vitumbili vinakuja huku kudiss tu kifalafala shwain.
Mi huwa nawashangaa mno na kuwaona malofa msiojielewa, Hance Mtanashati akileta ubuyu hapa mnakuja kama nzi kwenye mavvvv "mwanaume hupendezi kuwa mbea" kawaambia anataka kupendeza? "mara mna wasiwasi na jinsia yake" mnataka muijue jinsia yake ili iweje nyie jinsia zenu nani kawauliza, sasa hampendi umbea jukwaa la story za umbea mmefata nini, mmeambiwa huku kunauzwa vifaa vya bodaboda? alieweka majukwaa tofauti tofauti alikua na akili alijua interests hazifanani kama hampendi umbea nendeni huko jf garage mkaangalie aina za magari na spana zake, nendeni intelligence forum huko mkiingia huku wote ni wambea mwandishi, wasomaji wachangiaji wote wambea. Majukwaa zaidi ya 30 yooote umeyaacha umekuja celebrities forum na unasema hupendi umbea, kenge!!!!
Hance Mtanashati binafsi nakukubali sana, nakukubali kwa ubuyu ila pia una roho ya kipekee pamoja na kuandamwa na hawa vidudu watu haujali maneno yao unaleta tu ubuyu na wala hauna hasira hata chembe warumi ye hadi hasira huwa zinampanda ila we upo cool, nakupenda bureeee. Usiache kutuchangamsha na ubuyu ikibidi tumia umbea kama fursa si unawacheki kina soudy na kwisa umbea unawaweka mjini, afu vitumbili vinakuja huku kudiss tu kifalafala shwain.