Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #41
Wanapenda mnooo uzuri hicho nacho ni kipaji tu kama vingineWanaopenda umbea namba moja ni wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapenda mnooo uzuri hicho nacho ni kipaji tu kama vingineWanaopenda umbea namba moja ni wanaume
Ndo muache, mnaboaHapa umetuweza kwa kweli😀😀😀😀
Unawashwa washwa sehemu gani Evelyn?!Huwa nawashangaa hadi nimechoka kuwashangaa, nawashwa washwa kuwauliza..
Upo umbea standard hata kwa wanaume lakini kuna umbea mwingine... hapana kwa kweli, labda tumetofautiana!!Wanaopenda umbea namba moja ni wanaume
KoteeeeeeeeUnawashwa washwa sehemu gani Evelyn?!
Umbea umbea tu hakuna cha standard wala nini, kisa we huupendi ndo uone haufai, we nakujua unapenda umbea wa WCBUpo umbea standard hata kwa wanaume lakini kuna umbea mwingine... hapana kwa kweli, labda tumetofautiana!!
Ah!! Mi sio kwamba napenda umbea wa WCB bali napenda habari za burudani na crew mzima ya burudani huku nikiwa fun wa WCB baada ya King aliyejivika mwenyewe u-King kuzingua! Na usisahau kwamba, sio kila celebrity news ni umbea na hiyo inajibu hoja yako kwamba:Umbea umbea tu hakuna cha standard wala nini, kisa we huupendi ndo uone haufai, we nakujua unapenda umbea wa WCB
All in all, nafahamu kwamba gossips ni sehemu ya celebrity forum na ndio maana huwezi kunikuta namkejeli mtu kwa kupenda umbea! Nikiona umbea umekaka kidada mno, naupotezea tu... hata kufungua uzi sifungui! Wanaonishangaza ni wale, wanakuta habari ni full celeb news, iwe umbea au vinginevyo, halafu utawasikia "...stori gani hiz!" as if walitarajia wakute habari za siasa kwenye jukwaa la celebs!......sasa hampendi umbea jukwaa la story za umbea mmefata nini, mmeambiwa huku kunauzwa vifaa vya bodaboda?
Dah! Sijui kwanini nafikiria mambo mengine...Koteeeeeeee
Ah!! Mi sio kwamba napenda umbea wa WCB bali napenda habari za burudani na crew mzima ya burudani huku nikiwa fun wa WCB baada ya King aliyejivika mwenyewe u-King kuzingua! Na usisahau kwamba, sio kila celebrity news ni umbea na hiyo inajibu hoja yako kwamba:All in all, nafahamu kwamba gossips ni sehemu ya celebrity forum na ndio maana huwezi kunikuta namkejeli mtu kwa kupenda umbea! Nikiona umbea umekaka kidada mno, naupotezea tu... hata kufungua uzi sifungui! Wanaonishangaza ni wale, wanakuta habari ni full celeb news, iwe umbea au vinginevyo, halafu utawasikia "...stori gani hiz!" as if walitarajia wakute habari za siasa kwenye jukwaa la celebs!
Ila Evelyn kama una bf halafu usiku kitandani mnashdindana kumegeana ubuyu halafu we unaona poa tu, basi kazi unayo!!
We fikiria tu mi sina nomaDah! Sijui kwanini nafikiria mambo mengine...
hahahahaWanaopenda umbea namba moja ni wanaume
Dah! Yaani hii sauti imeenda kudukua milango yangu ya fahamu...We fikiria tu mi sina noma
KagoogleKwan celebrity maana ke ni umbea?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaopenda umbea namba moja ni wanaume
Hili jukwaa inabidi lifutwe linasababisha viwanda havijengwi na korosho Isinunuliwe...!