Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #21
Barabarani ni sahihi piaKwani wale wanaohubiri barabarani hawayaoni makanisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barabarani ni sahihi piaKwani wale wanaohubiri barabarani hawayaoni makanisa?
Kazi yangu masaa kumi na mbili nipo kwenye kompyuta,nikipata break napita kwenye threads zozote zile kuondoa stress,afu muache kudharau watu wa sengerema.
Karibu Sengerema mkuu!Sengerema mmeendelea, mnalima mahindi kwa kompyuta? Mayo gogo!
Viazi mviringoMtu anamsema mwenzie mbea ila yeye hakauki jukwaa hili. Bora umewapa vidonge vyao wakimeza wakitema shauri yao
Wajinga tu utadhani huwa wanaitwa wanakuja kama nzi vileKuna wanafiki sana humu jf mimi huwa nawashangaa wanavyo mnyanyasa Mtanashati wakati wao ndio wanaingia hili jukwaa...... Jf inaongoza kwa watu wanafiki
Wengi wao wanapenda habari hizi ...huwa nawashangaa wanataka kupanga cha kuandika kwenye hii forum na kujifanya wako serious wakati kule majukwaa ya uchumi na biashara huwa hawapo...Wajinga tu utadhani huwa wanaitwa wanakuja kama nzi vile
Ni unafiki tuu yani mtu ana fikiri kumtukana mwenzie kuwa ni mwanamke ndio kutamfanya yeye aonekane mwanaume kamili au kutokuja jf celebrity kutamfanya awe mwanaume zaidi...Tatizo lipo hapa wengi wao wanaojifanya wanadiss watu wakileta habari za ubuyu ni wanaume wa mikoani na waleta ubuyu ni wanaume wa Dar sasa zile inferiority complexities zao wanashindwa kujizuia inabidi wazilete hadharani mara ooh mtoto wa kiume hivi mara vile..ndo vile tu hawawezi ishi bila wanaume wa Dar
Nakumbuka alikuwepo money stuna alivosepa jukwaa likaota kutu, mwezi unakata hakuna habari na zikija ni comments mbili ubuyu hauna ladha.Wengi wao wanapenda habari hizi ...huwa nawashangaa wanataka kupanga cha kuandika kwenye hii forum na kujifanya wako serious wakati kule majukwaa ya uchumi na biashara huwa hawapo...
Hili jukwaa na kumbuka 2012 lilikuwa limepooza sana lakini watu walianza kulibadilisha likachangamka sana kupitia watu wengi sana wakina warumi na wengi waliopita na watu tukapata pakuondolea stress sasa nashangaa watu walivyo wanafiki kumnyanyasa mtanashati wakati analipamba jukwaa.....lakini kiboko yao warumi...Mtanashati asijali sana maana hakuna aliyekuwa ana andamwa kama Warumi humu na wanao muandama kila leo wamo na akinyamaza wana anza kumuulizia... Hata mtanashati akiacha kuleta habari wataanza unafiki wa kumuulizia ...
Kuna wanafiki sana humu...
Money Stunna na mpenzi wake Badibey kitu kama hichoNakumbuka alikuwepo money stuna alivosepa jukwaa likaota kutu, mwezi unakata hakuna habari na zikija ni comments mbili ubuyu hauna ladha.
Sasa hawa shoga vidawa sijui wanataka nini huku wamuache Hance atuletee burudani
hahahahahahaMoney Stunna na mpenzi wake Badibey kitu kama hicho
Wamepotea sana hawa waliishiaga kwenye engagement sijui nani anaenda kumuona mzazi wa nani mpaka leo...hahahahahaha
Yeah jamaa alikua anaburudisha sana na umbea wa mastaa alivoishia jukwaa likafaMoney Stunna na mpenzi wake Badibey kitu kama hicho
Wakuache upumuehuwa wanakera balaa, sema siku hizi hawanipi tabu kabisa ,wakianza matusi yao tu nabonyeza kitufe cha report then navunga.