hasa 5-0Wewe tulia bao 5 sio ndogo usichukulie poa ukipigwa bao 5 unatembea ukiwa unachechemea
Ila Mkuu kile kichapo kilikuwa heavy. Jamaa waliwaotea sana. Sidhani kama ulilala na kupata usingizi siku ile!Club ya kizaramo hiyo haijawahi kuishiwa shughuli.
Mkitoka kwenye mabango zitashonwa khanga na wavaaji wapo hata humu tunawajua.
Mnataka kuwaona hao wavaaji wa kanga ambao watakuwa tayari kuvaa bila kujali jinsia zao?
Basi chunguzeni kwa makini watao reply hii post yangu mtawajua.
Imeshakuwa updated Mkuu tumia hii 1-5, ile ya 5-0 ni outdated.hasa 5-0
hasa 5-0
Tatizo mtani alikuwa anasema yanga inacheza na timu mbovu sasa wao wametandikwa mwana ukomeHaujawahi kuwa yanga wewe,wewe ni kolo muhani
wakifungwa jee?Mi naona wangesubiri wamalizane na al ahly kwanza halafu ndio wafanye huo ujinga wao.
5 nyingi wacha muwehuke kwa uchunguClub ya kizaramo hiyo haijawahi kuishiwa shughuli.
Mkitoka kwenye mabango zitashonwa khanga na wavaaji wapo hata humu tunawajua.
Mnataka kuwaona hao wavaaji wa kanga ambao watakuwa tayari kuvaa bila kujali jinsia zao?
Basi chunguzeni kwa makini watao reply hii post yangu mtawajua.
Labda kadi ya kliniki.Kadi yako namba ngapi
Na bado, mnara unasoma Manzese leo.Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Kuna utawala fulan unawekwa, yaan yanga inakuwa kama ipo peke yakePlan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.
Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
Hata hvyo hatufanyi kwa ajili ya South,Rwanda au kenyaNilikuwa Kenya last week hakuna media yoyote iliyozungumzia huo upuuzi, nilipita hata pale kwa Kagame nako kimya tu, juzi sasa nikashangaa pale kwa Madiba mabosi wa CAF hawana habari kabisa na hizo 5 za Uto [emoji23][emoji23]
Media zote za kwa Madiba zinaijua Simba pekee na zilitangaza na kupiga picha wakati Try Again akipokea tuzo
Cha ajabu hata mhandisi Hersi hakutengewa hata seat pale stadium wala kuitwa kwa jukwaa kupewa heko za 5[emoji23][emoji23]
Mzee hizi media za Mbagara ndio zimewafanya mjione mmezungumziwa kila pahali?
Hiyo supu ya comredi Bashite imeua kabisa bongo za wana Uto [emoji23][emoji23]
Hakika nimeamini wenye akili Uto ni Wawili tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kolo kolo koloooooo,Tulia dawa ifanyekaziMimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Apigwe na Nani Kwa mfano?Wewe tulia bao 5 sio ndogo usichukulie poa ukipigwa bao 5 unatembea ukiwa unachechemea
Kibiashara zaidi!Plan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.
Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
Haya ni maandalizi dhidi ya Al Ahly.Mi naona wangesubiri wamalizane na al ahly kwanza halafu ndio wafanye huo ujinga wao.