Kwenu viongozi wa Yanga, Hersi

Kwenu viongozi wa Yanga, Hersi

Hiyo ni fursa
Wanajua kabisa wanachofanya kibiashara iko poa mno
Mimi nawasifu watu wa habari wa yanga wamekuwa wabunifu mno
Anzia kwa
Max day
Azizi ki day
Supu day
Kila tukio hawaliachi
Kwa kifupi ni wabunifuno

Sent using Jamii Forums mobile app
Mihogo day,
Ugali na Sukari day,

Wananchi kila jambo kwetu ni fursa, wenye wivu walie tu kisha wavumilie.
 
Tulia dawa iwaingie. Wewe unataka tufuate kile simba wanachofanya? Au YANGA tufanye yetu,na nyie mufanye yenu?. VIPI SIMBA WALIVYOINGIA NA JENEZA UWANJANI...!. Ksbb ni Simba hilo lilikuwa sawa?. Hivi ndio tumeanza kusikia mlio. Bado
 
Ndio ni mazuzu FC...
Malimbukeni FC..
Supu FC...
vibudu FC....
Mabango FC....

Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.

Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.

It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.

Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?

It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".

Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Acha tushangilie
Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.

Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.

It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.

Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?

It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".

Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Acha tushangilie ushindi wewe. Tutaendelea kusherekea huu ushindi hadi Mseme po.
 
Plan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.

Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
Na sponsers wanapata mileage ya matangazo. Kwa Plan hii sponsers wanaweza miminika mwakani kwani wanapata uhakika wa publicity na kazi hito Yanga wanaiweza. Hongera kwa mikakati. Ndiyo uzuri wa kuwa na viongozi vijana.
 
Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.

Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.

It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.

Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?

It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".

Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Kwani hujui maana ya utopwinyo????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa Kenya last week hakuna media yoyote iliyozungumzia huo upuuzi, nilipita hata pale kwa Kagame nako kimya tu, juzi sasa nikashangaa pale kwa Madiba mabosi wa CAF hawana habari kabisa na hizo 5 za Uto [emoji23][emoji23]

Media zote za kwa Madiba zinaijua Simba pekee na zilitangaza na kupiga picha wakati Try Again akipokea tuzo

Cha ajabu hata mhandisi Hersi hakutengewa hata seat pale stadium wala kuitwa kwa jukwaa kupewa heko za 5[emoji23][emoji23]

Mzee hizi media za Mbagara ndio zimewafanya mjione mmezungumziwa kila pahali?

Hiyo supu ya comredi Bashite imeua kabisa bongo za wana Uto [emoji23][emoji23]

Hakika nimeamini wenye akili Uto ni Wawili tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bado hujathema. Nautathema tu[emoji1787]
 
Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.

Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.

It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.

Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?

It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".

Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Wewe utakuwa wa tatu huko Yanga waliobakia wote ni majuha tu ndiyo maana wamelishwa vibudu vya ng'ombe wa kafara
 
Hiyo ni fursa
Wanajua kabisa wanachofanya kibiashara iko poa mno
Mimi nawasifu watu wa habari wa yanga wamekuwa wabunifu mno
Anzia kwa
Max day
Azizi ki day
Supu day
Kila tukio hawaliachi
Kwa kifupi ni wabunifuno

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabwili Day wote mvae Shanga
Mama J Day wote mvae vijola
..............
...............
...............
 
Nasikia ziko kiwandani jirani...usiniache na mm bila kunipiga nayo niwe naogea japo 🤣 🤣 🤣
Yani ufanye ufutio wa maji ya kuogea 😂😂
Ukipigwa nayo unavaa na mosimo zako za kijani au njano mambo mswanu kabisa
 
Maana yake Club kwenye idara ya creativity haina watu wasomi wa kuumiza kichwa kuifanya Club iwe midomoni mwa watu kwa kubuni vitu vya msingi vinavyoenda kuifaidisha Club.
Club ya football, so creativity inaanzia kwenye mzinzi wa football ambao hizo 5 zimefaa sana.
Usitupangie matumizi ya bao zetu
 
Mpaka mtasema mkuu.

Sisi wenyewe hatuna tatizo, watuwekee Bango lingine huku Tunduma Boarder aisee
 
Back
Top Bottom