Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Mihogo day,Hiyo ni fursa
Wanajua kabisa wanachofanya kibiashara iko poa mno
Mimi nawasifu watu wa habari wa yanga wamekuwa wabunifu mno
Anzia kwa
Max day
Azizi ki day
Supu day
Kila tukio hawaliachi
Kwa kifupi ni wabunifuno
Sent using Jamii Forums mobile app
π zinatoka lini nikampge nazo mtuSamalekooo majirani....mwaka wenu huu nasikia mmekuja na khanga za 5G ila mna shughuli jamani khaaa π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
Ndio ni mazuzu FC...
Malimbukeni FC..
Supu FC...
vibudu FC....
Mabango FC....
Acha tushangilieMimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Acha tushangilie ushindi wewe. Tutaendelea kusherekea huu ushindi hadi Mseme po.Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Na sponsers wanapata mileage ya matangazo. Kwa Plan hii sponsers wanaweza miminika mwakani kwani wanapata uhakika wa publicity na kazi hito Yanga wanaiweza. Hongera kwa mikakati. Ndiyo uzuri wa kuwa na viongozi vijana.Plan ya Yanga ni kuhakikisha club haikauki midomoni mwa watu na kupitia mabango hilo wame-win.
media kibao-online, tv, radio, magazet, blogs, vijiweni (daladala, bodaboda, migahawa,tax, pool table, vibanda-umiza), maofisini, sokoni na bar kote huko issue ya mabango imezungumzwa, Hii kibiashara ni bonge moja la Bingo askwambie mtu.
Good enough, hii imefika hadi upande wa simba ref: Aden Rage
Kwani hujui maana ya utopwinyo????Mimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Na Mimi mwana Yanga,Apigwe na Nani Kwa mfano?
Sio kufungwa sema wakidhalilika je kufungwa kawaida mkuu.wakifungwa jee?
Bado hujathema. Nautathema tu[emoji1787]Nilikuwa Kenya last week hakuna media yoyote iliyozungumzia huo upuuzi, nilipita hata pale kwa Kagame nako kimya tu, juzi sasa nikashangaa pale kwa Madiba mabosi wa CAF hawana habari kabisa na hizo 5 za Uto [emoji23][emoji23]
Media zote za kwa Madiba zinaijua Simba pekee na zilitangaza na kupiga picha wakati Try Again akipokea tuzo
Cha ajabu hata mhandisi Hersi hakutengewa hata seat pale stadium wala kuitwa kwa jukwaa kupewa heko za 5[emoji23][emoji23]
Mzee hizi media za Mbagara ndio zimewafanya mjione mmezungumziwa kila pahali?
Hiyo supu ya comredi Bashite imeua kabisa bongo za wana Uto [emoji23][emoji23]
Hakika nimeamini wenye akili Uto ni Wawili tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe utakuwa wa tatu huko Yanga waliobakia wote ni majuha tu ndiyo maana wamelishwa vibudu vya ng'ombe wa kafaraMimi kama mwana Yanga, nafurahi mno kwa ushindi wa tarehe 5 kaa goli 5.
Lakini naona sasa inakua kama si sawa hadi kuchonga mabango na kuliweka kisa goli 5.
It's enough sasa utani uendelee lakini hii inaenda kutufanya kama mazuzu wa huu ushindi.
Mbona simba walitufunga 5 kwenye bonanza la 2012 na goli 4 - 1 hawakuzuzuka kiasi hiki?
It's enough, mimi binafsi naona inakua "too much".
Ishieni hapo hapo kwenye Bango tugange kimataifa mwisho wa mwezi
Kabwili Day wote mvae ShangaHiyo ni fursa
Wanajua kabisa wanachofanya kibiashara iko poa mno
Mimi nawasifu watu wa habari wa yanga wamekuwa wabunifu mno
Anzia kwa
Max day
Azizi ki day
Supu day
Kila tukio hawaliachi
Kwa kifupi ni wabunifuno
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasikia ziko kiwandani jirani...usiniache na mm bila kunipiga nayo niwe naogea japo π€£ π€£ π€£π zinatoka lini nikampge nazo mtu
Yani ufanye ufutio wa maji ya kuogea ππNasikia ziko kiwandani jirani...usiniache na mm bila kunipiga nayo niwe naogea japo π€£ π€£ π€£
Mbona hio sio logo ya 5imba?
Club ya football, so creativity inaanzia kwenye mzinzi wa football ambao hizo 5 zimefaa sana.Maana yake Club kwenye idara ya creativity haina watu wasomi wa kuumiza kichwa kuifanya Club iwe midomoni mwa watu kwa kubuni vitu vya msingi vinavyoenda kuifaidisha Club.
Chaos inakuwa upande wa pili na ndio lengo hasa la bango.It's enough, kila kitu kikiwa hakina kiasi ni chaos