Kwenu waislam wenye majina ya kiarabu, Haya ndiyo majina yenu original yenye asili ya kiyahudi

Kwenu waislam wenye majina ya kiarabu, Haya ndiyo majina yenu original yenye asili ya kiyahudi

Sasa unaonesha umekasirika.

Unaanzisha mada unaoewa elimu unakasirika?

Ushaanza kupiga kichwa ukuta? Si ndiyo kondoo mlivyo, funza wa vichwani mwenu wakianza kupekenyua?
Hili neno kupekenyua ondoa,sijalipenda.
 
Huu uzi ulivyoanza, na vile unavyoenda kuisha, ni vitu viwili tofauti.
Nikama wote mko Ghaza, full kutupiana mabomu.
 
Hicho unachitaka kusema pm hapa kinakushinda nini? Au kondoo wa rangi rangi wewe?
FaizaFoxy mswalie mtume, naona unamshushia vitu vizito huyo dogo kama vila israel inavyotoa kichapo kwa iran
 
Majina haya ya kiarabu asili yake original ni ya wayahudi yenye lugha ya kihebrania,

Kama una majina haya basi tambua kwamba asili ya jina lako ni kwa wayahudi

Shlomoh - Suleyman (Sulemani)
Mosheh - Musa
Amram - Imran
Chanokh - Idris
Dawid - Dawud
Yishmaʿel - Yahya (Yahaya)
HaSatan - Shaytan (Shetani)
Mariam - Maryam
Yosef - Yusuf
Iyyov - Ayyub (Ayubu)
Yeshua - Isa (Yesu)
Yakov - Yaqub
Yishmael - Ismail
Avraham - Ibrahim
Aaron - Harun (Haruna)
Hashemite - Hashim

ABDUL - Ni jina la kiarabu linalomaanisha "mtumwa wa", Ikiwa mtu ataitwa Abdul kisha jina lenye maana au uhusiano wa kitakatifu mfano Abdullah. Tatizo ni kwamba kuna wanaopewa majina ya kuwa watumwa wa watu wengine mfano Abdul Hussein, Abdul Simon, Abdul Mssanja, n.k. (Labda kuwe ufafanuzi wa ziada)
Mwaka 2024 bdo kuna watu wanagombea mambo ya dini? Ndo mana wazungu wanawaita nyani! Stupids
 
Sasa unaonesha umekasirika.

Unaanzisha mada unaoewa elimu unakasirika?

Ushaanza kupiga kichwa ukuta? Si ndiyo kondoo mlivyo, funza wa vichwani mwenu wakianza kupekenyua?
Mbona ombi langu haulijibu? Halafu ni heshima ya wapi mwanamke kujibizana na wanaume? Au umagharibi umekutawala?
 
Kwanza weka sawa uelewa wako, hakuna lugha ya Kiyahuudi.

Kuna Kihebrania (Hebrew), Kiaramu (Aramaic) na Kiarabu (Arabic) ndizo lugha zilizoongewa na wayahudi.
Wakiristo wa jf huwa nacheka sana napoona thread zikihusu uislam. Yaani utadhani std 7 kumbe wengine humu Phd
 
Kama ilivyo Dini za kikafiri hazina hoja mpaka waumini wake hawana hoja kutwa propaganda dhidi ya Uislamu.
 
Huwezi kuwa na Akili timamu ukabaki kuwa Mkristo wazee wa kuoteshwa na kuuziwa matunda kutoka mbinguni wanayaogopa mpaka masanamu yaliyochongwa na wamakonde Wakiristo bure kabisa.
 
Kwanza weka sawa uelewa wako, hakuna lugha ya Kiyahuudi.

Kuna Kihebrania (Hebrew), Kiaramu (Aramaic) na Kiarabu (Arabic) ndizo lugha zilizoongewa na wayahudi.

Na kiswahili, wewe ndio mwalimu wao kupitia DP World
 
Majina haya ya kiarabu asili yake original ni ya wayahudi yenye lugha ya kihebrania,

Kama una majina haya basi tambua kwamba asili ya jina lako ni kwa wayahudi

Shlomoh - Suleyman (Sulemani)
Mosheh - Musa
Amram - Imran
Chanokh - Idris
Dawid - Dawud
Yishmaʿel - Yahya (Yahaya)
HaSatan - Shaytan (Shetani)
Mariam - Maryam
Yosef - Yusuf
Iyyov - Ayyub (Ayubu)
Yeshua - Isa (Yesu)
Yakov - Yaqub
Yishmael - Ismail
Avraham - Ibrahim
Aaron - Harun (Haruna)
Hashemite - Hashim

ABDUL - Ni jina la kiarabu linalomaanisha "mtumwa wa", Ikiwa mtu ataitwa Abdul kisha jina lenye maana au uhusiano wa kitakatifu mfano Abdullah. Tatizo ni kwamba kuna wanaopewa majina ya kuwa watumwa wa watu wengine mfano Abdul Hussein, Abdul Simon, Abdul Mssanja, n.k. (Labda kuwe ufafanuzi wa ziada)
Hio ndio shida yenu, na siku mkristo akipata uelewa aidha awe muislamu au ata jitenga na mafundisho ya ukristo, uelewa wako mdogo sana, kiarabu na ki Hebrew ni lugha mbili tofauti, Sasa shida yako nini?, je vipi mtu akaitwa Abdul na mkristo au myahudi, lazima tuwaambie ukweli nyinyi mpo empty nakuthibitishia, nenda kaangalie majina ya waarabu wakristo kisha leta jibu, hebu thibitisha kuwa Ibrahim ni myahudi (according to bibilia)
 
Back
Top Bottom