The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
NI NETANYAHU SIYO JINA TU KUBADILIASHA PIA KUWAWAHISHA KUZIMU HUKU MKIBWEKA ALLAHUAKBAR BILA MSAADA MAAMAE.Nani mwenye haki ya kubadilisha jina la mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI NETANYAHU SIYO JINA TU KUBADILIASHA PIA KUWAWAHISHA KUZIMU HUKU MKIBWEKA ALLAHUAKBAR BILA MSAADA MAAMAE.Nani mwenye haki ya kubadilisha jina la mtu?
Hili neno kupekenyua ondoa,sijalipenda.Sasa unaonesha umekasirika.
Unaanzisha mada unaoewa elimu unakasirika?
Ushaanza kupiga kichwa ukuta? Si ndiyo kondoo mlivyo, funza wa vichwani mwenu wakianza kupekenyua?
Nataka nimpapase papase FaizaFoxyNI NETANYAHU SIYO JINA TU KUBADILIASHA PIA KUWAWAHISHA KUZIMU HUKU MKIBWEKA ALLAHUAKBAR BILA MSAADA MAAMAE.
Temana na hilo ligrannyNataka nimpapase papase FaizaFoxy
Anataka vijana tumtengue nyongaTemana na hilo ligranny
FaizaFoxy mswalie mtume, naona unamshushia vitu vizito huyo dogo kama vila israel inavyotoa kichapo kwa iranHicho unachitaka kusema pm hapa kinakushinda nini? Au kondoo wa rangi rangi wewe?
Mwaka 2024 bdo kuna watu wanagombea mambo ya dini? Ndo mana wazungu wanawaita nyani! StupidsMajina haya ya kiarabu asili yake original ni ya wayahudi yenye lugha ya kihebrania,
Kama una majina haya basi tambua kwamba asili ya jina lako ni kwa wayahudi
Shlomoh - Suleyman (Sulemani)
Mosheh - Musa
Amram - Imran
Chanokh - Idris
Dawid - Dawud
Yishmaʿel - Yahya (Yahaya)
HaSatan - Shaytan (Shetani)
Mariam - Maryam
Yosef - Yusuf
Iyyov - Ayyub (Ayubu)
Yeshua - Isa (Yesu)
Yakov - Yaqub
Yishmael - Ismail
Avraham - Ibrahim
Aaron - Harun (Haruna)
Hashemite - Hashim
ABDUL - Ni jina la kiarabu linalomaanisha "mtumwa wa", Ikiwa mtu ataitwa Abdul kisha jina lenye maana au uhusiano wa kitakatifu mfano Abdullah. Tatizo ni kwamba kuna wanaopewa majina ya kuwa watumwa wa watu wengine mfano Abdul Hussein, Abdul Simon, Abdul Mssanja, n.k. (Labda kuwe ufafanuzi wa ziada)
Kiasili sisi Jew, kondoo tunamwita KIHIBSAA.Kondoo anaitwaje kihebrania?
Mbona ombi langu haulijibu? Halafu ni heshima ya wapi mwanamke kujibizana na wanaume? Au umagharibi umekutawala?Sasa unaonesha umekasirika.
Unaanzisha mada unaoewa elimu unakasirika?
Ushaanza kupiga kichwa ukuta? Si ndiyo kondoo mlivyo, funza wa vichwani mwenu wakianza kupekenyua?
Heshima ya kondoo.Mbona ombi langu haulijibu? Halafu ni heshima ya wapi mwanamke kujibizana na wanaume? Au umagharibi umekutawala?
Wakiristo wa jf huwa nacheka sana napoona thread zikihusu uislam. Yaani utadhani std 7 kumbe wengine humu PhdKwanza weka sawa uelewa wako, hakuna lugha ya Kiyahuudi.
Kuna Kihebrania (Hebrew), Kiaramu (Aramaic) na Kiarabu (Arabic) ndizo lugha zilizoongewa na wayahudi.
Ana pepo la utambuziAfu nyuz za dini sijui huwa anazionaje mapema hvyo
Kwanza weka sawa uelewa wako, hakuna lugha ya Kiyahuudi.
Kuna Kihebrania (Hebrew), Kiaramu (Aramaic) na Kiarabu (Arabic) ndizo lugha zilizoongewa na wayahudi.
Nataka nikuoeHeshima ya kondoo.
Ombi lako lipi? Au unaanza harassment?
Hio ndio shida yenu, na siku mkristo akipata uelewa aidha awe muislamu au ata jitenga na mafundisho ya ukristo, uelewa wako mdogo sana, kiarabu na ki Hebrew ni lugha mbili tofauti, Sasa shida yako nini?, je vipi mtu akaitwa Abdul na mkristo au myahudi, lazima tuwaambie ukweli nyinyi mpo empty nakuthibitishia, nenda kaangalie majina ya waarabu wakristo kisha leta jibu, hebu thibitisha kuwa Ibrahim ni myahudi (according to bibilia)Majina haya ya kiarabu asili yake original ni ya wayahudi yenye lugha ya kihebrania,
Kama una majina haya basi tambua kwamba asili ya jina lako ni kwa wayahudi
Shlomoh - Suleyman (Sulemani)
Mosheh - Musa
Amram - Imran
Chanokh - Idris
Dawid - Dawud
Yishmaʿel - Yahya (Yahaya)
HaSatan - Shaytan (Shetani)
Mariam - Maryam
Yosef - Yusuf
Iyyov - Ayyub (Ayubu)
Yeshua - Isa (Yesu)
Yakov - Yaqub
Yishmael - Ismail
Avraham - Ibrahim
Aaron - Harun (Haruna)
Hashemite - Hashim
ABDUL - Ni jina la kiarabu linalomaanisha "mtumwa wa", Ikiwa mtu ataitwa Abdul kisha jina lenye maana au uhusiano wa kitakatifu mfano Abdullah. Tatizo ni kwamba kuna wanaopewa majina ya kuwa watumwa wa watu wengine mfano Abdul Hussein, Abdul Simon, Abdul Mssanja, n.k. (Labda kuwe ufafanuzi wa ziada)