Kwenu wanaume, matatizo mengine hayahitaji maombi

Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi.
Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana


Nawatakia sikukuu njema ya MEI MOSI


MUNGU NDIYE ANAYEJALIA WATU KUPATA PESA!!!!
 
Kama umesha fanya utafiti wakutosha kuhusu mambo hayo, utajua ukweli kuhusu jambo hilo kuwa wanaokwenda kwenye maombi wengi wanawake na sio wanaume, fanya utafiti utajua ukweli

NA UKIFANYA UTAFITI MWINGINE UTAGUNDUA WANAWAKE WENGI WANAOENDA MAOMBI NI WACHAWI....
 
aah wapi, hao ni wanaume wa mkoani waliokuja Dar hivi karibuni wakifikiri mambo ni kitonga


Kipindi cha utumwa, wazungu walipokwenda Dar kuchukua wanaume kufanya kazi....wakazi wa Dar (wazaramu, wakwere, wandengereko) na waliohamia baadaye, waliwaambia wazungu kuwa wanaume halisi wako mikoani si hapa Dar....na ndipo hapa wanaume wa Dar walipojionyesha kuwa wao si wanaume wa ukweli. Hili halina ubishi.
 
Kuachwa kuachwaa, kuachwa ni shughuli pevuu, hasa kwa Yule unayempendaa, yeye ananenepaaa wewe unakonda, kwa mawazoo.[emoji445]
Nimejikuta ninaimba
 
Kama umesha fanya utafiti wakutosha kuhusu mambo hayo, utajua ukweli kuhusu jambo hilo kuwa wanaokwenda kwenye maombi wengi wanawake na sio wanaume, fanya utafiti utajua ukweli
Tena shida yao kubwa ni wapate wanaume. Tehe tehe...
 
Mleta Mada Ungetoa Ushaurii Ningekuona wa Maan unakimbilia kutusema unatwanga maji Kwenye kinuuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…