Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
- Thread starter
-
- #201
[emoji122][emoji122][emoji122]Itakuwa unawaza wa kuxini nae, ila wa ndoa sio rahisi kihivyo.
Hata mwanamke hakuna anaekosa wa kuolewa nae bali anakosa mtu sahihi ambae yeye amemridhia.
Kwa niniNimecheka sana hii comment yako.
Kwa nini
Kwamba hujawahi pita jukwaa la love connect ukawaona wakilialia
Ujue mimi hum huwa nakomenti kutokana na mudi nilioyonayo muda huo, sinaga msimamo wa muda wote[emoji23][emoji23]Jinsi ambavyo umekoment kwa confidence halafu kiurahisi.
Mabaharia tu wale wanatafuta papuchi za mtelemkoKwamba hujawahi pita jukwaa la love connect ukawaona wakilialia
Ujue mimi hum huwa nakomenti kutokana na mudi nilioyonayo muda huo, sinaga msimamo wa muda wote[emoji23][emoji23]
Ukitumia akili muda wote hasa majukwaa yetu haya utajikuta kuna muda unagombana na watu.Ndiyo maana nimejikuta nacheka kwa sababu sikupata jibu kama ni mzaha au umemaanisha.
Humu ndani mimi nilishaacha kutumia akili, nimebaki naendana na upepo
Ukitumia akili muda wote hasa majukwaa yetu haya utajikuta kuna muda unagombana na watu.
Ila shemela tuseme ule ukweli...mwanaume unakosaje mwanamke? Sawa kulingana na hali yako labda kiuchumi unaweza ukashindwa kumpata exactly kama yule unayemtaka lakini ukose hata wa kumkaribia?
Kwa mwanamke ni kweli anaweza kukosa maana inawezekana wanaumfuata hawakidhi mahitaji yake na anaotamani wamfuate hawana habari, tofauti na mwanaume anayetoka mwenyewe kwenda kutafuta. Swali la kizushi, hivi mwanamke (ambae sio malaya) anaweza kuzini na mwanaume ambae anaona kabisa hafai kuwa numewe?Itakuwa unawaza wa kuzini nae, ila wa ndoa sio rahisi kihivyo.
Hata mwanamke hakuna anaekosa wa kuolewa nae bali anakosa mtu sahihi ambae yeye amemridhia.
Kwa mwanamke ni kweli anaweza kukosa maana inawezekana wanaumfuata hawakidhi mahitaji yake na anaotamani wamfuate hawana habari, tofauti na mwanaume anayetoka mwenyewe kwenda kutafuta.
Hapo nimekubaliana na wewe usemayoUnadhani kila mwanaume anapata yule anayemtaka? Nao ni hivyo hivyo, anaemtaka hamtaki and vice versa.
Wapo wengine kule wapo seriousMabaharia tu wale wanatafuta papuchi za mtelemko
Nzuri hiyoHabarini , hopefully mpo salama
Kumekuwa na malalamiko mengi hasa wakaka wanalalamika kutopata wenza ama wachumba sahihi
Wachumba wengi wamekuwa pasua kichwa[emoji27][emoji27]
Kwa dada/mwanamke aliyekamilika atazingatia yafuatayo:-
1 .Kazi
Mwanamke kabla hajaamua kujenga malengo na wewe ataangalia kwanza nini unafanya
Kwa hiyo kitu unachofanya Ni muhimu Sana katika kujenga mahusiano yaliyo mema
Rejea kwa Adamu,Mungu alimpa Adamu kazi ya kuitunza bustani ya edeni
Alimpa Adamu bustani ya Edeni ailime na kuitunza
Baadaye ndipo alipomfanyia msaidizi wa kufanana nae.Adamu hakupewa mwanamke kwanza kabla ya kupewa kazi Bali alipewa kazi ndipo akapewa mwanamke
Mwanzo2:15
Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu,akamweka katika bustani ya Edeni,ailime na kuitunza
Mwanzo2:18-25
Hapa Mungu anamtwaa mwanamke katika ubavu wa Adamu
2 .Maono
Una Maono gani juu ya maisha !?
Mithali23:7
"Maana aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"
Maono Ni Kama framework ya kila kitu unachokifanya
The more you see the more u succeed
Usipobadili unavyojiona huwezi badili unavyoishi.maono hutofautisha mtu mmoja na mwingine
Mith 29:18@
Pasipo Maono watu hushindwa kujizuia
Wanawake wengi pia huangalia
mwanaume aliye na maono,bila Maono huwez panga vizuri namna gani uishi.,lipi ufanye lipi usifanye
3.Akili
"Ishi na mwanamke wa akili"kifungu nitaleta.
Wanaume wengi hawana akili kabisa ya kuishi na mwanamke
Imeandikwa mwanamke ishi nae kwa akili
Wengi hawajui kuishi na wanawake kwa akili,matokeo yake Ni mahusiano kuvunjika
Jitahidi mnapoomba ombeni pia akili za kuishi na mwanamke kwa akili
4.upendo
Mwanamke anahitaji upendo
Anahitaji kupendwa haswaa
Wanawake tunapenda wanaume wanaotupenda kwa dhati .katika upendo Kuna mambo mengi..Kuna uvumilivu,upendo haujivuni,haujisifu,hautakabari,haukosi kuwa na adabu,haufurahii udhalimu,hustahimili yote,hufurahi pamoja na kweli nk
Ukiona mwanamke amefanya kitu ambacho si kizuri
Unashindwa kumuelekeza unakaa kimya Basi wewe huna upendo
Ukiwa na upendo hutaweza mdharirisha mwanamke wako kwa namna yoyote (kuwa na Adabu ambayo Ni moja ya sifa za upendo)
Itaendelea
Nawapenda[emoji8]View attachment 1005565
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado sijawa tayari [emoji23]Naomba niwe mtu wako
wanawake huwa wanaangalia tu status ya mtu basi. Hamna kingine chochote. Na ndio maana wengi hawaolewi.Habarini , hopefully mpo salama
Kumekuwa na malalamiko mengi hasa wakaka wanalalamika kutopata wenza ama wachumba sahihi
Wachumba wengi wamekuwa pasua kichwa[emoji27][emoji27]
Kwa dada/mwanamke aliyekamilika atazingatia yafuatayo:-
1 .Kazi
Mwanamke kabla hajaamua kujenga malengo na wewe ataangalia kwanza nini unafanya
Kwa hiyo kitu unachofanya Ni muhimu Sana katika kujenga mahusiano yaliyo mema
Rejea kwa Adamu,Mungu alimpa Adamu kazi ya kuitunza bustani ya edeni
Alimpa Adamu bustani ya Edeni ailime na kuitunza
Baadaye ndipo alipomfanyia msaidizi wa kufanana nae.Adamu hakupewa mwanamke kwanza kabla ya kupewa kazi Bali alipewa kazi ndipo akapewa mwanamke
Mwanzo2:15
Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu,akamweka katika bustani ya Edeni,ailime na kuitunza
Mwanzo2:18-25
Hapa Mungu anamtwaa mwanamke katika ubavu wa Adamu
2 .Maono
Una Maono gani juu ya maisha !?
Mithali23:7
"Maana aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"
Maono Ni Kama framework ya kila kitu unachokifanya
The more you see the more u succeed
Usipobadili unavyojiona huwezi badili unavyoishi.maono hutofautisha mtu mmoja na mwingine
Mith 29:18@
Pasipo Maono watu hushindwa kujizuia
Wanawake wengi pia huangalia
mwanaume aliye na maono,bila Maono huwez panga vizuri namna gani uishi.,lipi ufanye lipi usifanye
3.Akili
"Ishi na mwanamke wa akili"kifungu nitaleta.
Wanaume wengi hawana akili kabisa ya kuishi na mwanamke
Imeandikwa mwanamke ishi nae kwa akili
Wengi hawajui kuishi na wanawake kwa akili,matokeo yake Ni mahusiano kuvunjika
Jitahidi mnapoomba ombeni pia akili za kuishi na mwanamke kwa akili
4.upendo
Mwanamke anahitaji upendo
Anahitaji kupendwa haswaa
Wanawake tunapenda wanaume wanaotupenda kwa dhati .katika upendo Kuna mambo mengi..Kuna uvumilivu,upendo haujivuni,haujisifu,hautakabari,haukosi kuwa na adabu,haufurahii udhalimu,hustahimili yote,hufurahi pamoja na kweli nk
Ukiona mwanamke amefanya kitu ambacho si kizuri
Unashindwa kumuelekeza unakaa kimya Basi wewe huna upendo
Ukiwa na upendo hutaweza mdharirisha mwanamke wako kwa namna yoyote (kuwa na Adabu ambayo Ni moja ya sifa za upendo)
Itaendelea
Nawapenda[emoji8]View attachment 1005565
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini si mwanaume anapaswa kuoa pure isiyo tumika sasa utajuaje radha kama huo utamu ni kigezo utajuaje? Kama hutaangalia hivyo unavyo vipuuza?Furaha ..kwamba tako sio kigezo cha ndoa ..weupe sio kigezo cha ndoa ...hips sio kigezo cha ndoa maana wengi wenu ndo mna mentality hyo kumbe wala
Hivi ile dhana ya ndoa kabla ya mapenzi hivi bado ipo?