Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
haha niko!Hahaha.
Kaka ake upo??
Nilikumiss Sana[emoji7][emoji8]
miss you sana pia.
Punguza kujificha basi.
ama shule imeanza kuchanganya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha niko!Hahaha.
Kaka ake upo??
Nilikumiss Sana[emoji7][emoji8]
Mbona mie nipo Sana tu.haha niko!
miss you sana pia.
Punguza kujificha basi.
ama shule imeanza kuchanganya.
Mnagusa watoto wa wanaume wenzenu halafu baadaye mnawaacha mnataka wasiotumika.Sasa ndugu unaoa mtu hujamgusa ? ukikuta havieleweki tena utachuma dhambi za kujilaan tu, sio vizuri aisee...
Unajua venye na hamu ya kusafisha macho.Mbona mie nipo Sana tu.
Sema tunapishana
Kila nikiingia kule Kwenye selfika nakuta ushafuta picha,naambulia maumivu tu[emoji18]
Nasubiri kusafisha yangu.Unajua venye na hamu ya kusafisha macho.
Hahaha embu nenda afu ni tag.
hahaha basi sawa I will do that for you baadae baadae kidogoNasubiri kusafisha yangu.
Weka Basi jamani nikuone[emoji7]
Baadaye sitaona.hahaha basi sawa I will do that for you baadae baadae kidogo
hahaha Leo umeniamuliaBaadaye sitaona.
Weka sahizi..au nitumie tu pm nikuone full[emoji85]
Nasubiri[emoji7][emoji7]hahaha Leo umeniamulia
Daaaah mkuu umelenga mule mule sema ndo vile wanaume huwa hatuongeiMwanamke wa hivyo ambaye huwa hawazi hela ya kidume kabisa huwa ni mvumilivu sana kwenye mahusiano na hababishwi na tamaa za kishamba kama wale omba omba type.
Yeye focus ni umuoneshe mapenzi umkaze freshi tu anafurahia mahusiano na hii ndio aina ya mwanamke ambaye wengi tunaota kuwapata ila tunaishia kuwapata wale wa tuma na ya kutolea, kuwalipia kodi, saluni na ada za vyuo!🤣🤣🤣
Yah uhakika yani.Daaaah mkuu umelenga mule mule sema ndo vile wanaume huwa hatuongei
Mnagusa watoto wa wanaume wenzenu halafu baadaye mnawaacha mnataka wasiotumika.
Sasa sijui wanatoka wapi Maana watumiaji Ni nyinyi wenyewe
Muache hiyo tabiaEbu tushauriane tufanyaje sasa, njoo na solution mbadala...
Muache hiyo tabia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yah uhakika yani.
[emoji120]sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtoa mada unakosea hao walikuwa kipindi cha adamu
hawa sasa ili umuoe inabidi nyumbani uwe na tawi la benk kama crdb exim kbc barcly utaoa wote kasoro ndugu tu
Na mziki unaanzia hapo hapo, yaani inakuwa kinyume chake unapenda usipopendwa halafu unapendwa usipopenda. Lugha gongana