Kwenu wanaume

Kwa hiyo icho chakula cha wanaume wa mjini kinamtosha Bae!!?
 
Hiyo Ratiba ya wanaume wa Dar w/end ungeigeuza na iwe Ratiba ya wanawake wa Dar kila siku...

Hiyo Ratiba ya wanaume wa mikoani ungeigeuza na iwe Ratiba ya mashamba boy Dar...


Cc: mahondaw
Mashamba boi ndo wanakulaga hivyo?
 
Huku kuna distribution of labour, kuna wanaolipwa ujira kwa kumenya miwa nao wakasaidia familia zao. Wote tukimenya miwa wengine wataishije?
Wanaweza kuuza muwa bila kumenya ili kila mtu akamenye kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…