Kwenu wanaume

Polen sana wanaume wa dar sisi wa mikoani hatuna shida na nyie majukum tutawasaidia msijali tukija mjini mtupe kazi ya ushamba boy tupalilie na tuwapandie mbegu za mikoani kwa wanenu na wake zenu
 
Polen sana wanaume wa dar sisi wa mikoani hatuna shida na nyie majukum tutawasaidia msijali tukija mjini mtupe kazi ya ushamba boy tupalilie na tuwapandie mbegu za mikoani kwa wanenu na wake zenu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huu ni ugomvi wa wazi wazi
 
hahahah nimecheka hatar
 
Kuna thread niliona humu JF mwanaume wa dar akiulizia Shanga za yeye kuvaa sijui iliishia wapi aisee.,hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…