Mr. Django
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,830
- 2,428
Avatar yako inaonesha wewe ni mshari sana! Anza na hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daddy. Com hawa ndiyo wazee wa funky sasa,Unawazungumzia hawa akina Daddy? Wa kusema junior no noo...?
Hahaha hahahaWako busy na house girl,play station, tv na marafiki.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Unawazungumzia hawa akina Daddy? Wa kusema junior no noo...?
Funky ndio nini?Daddy. Com hawa ndiyo wazee wa funky sasa,
Happiness is a lifestyle
Sura yako labda inafanana na roho yako we mdaka chozi wa auntieMimi huwa nikirudi wanakimbia wote,tatizo huwa ni nini kwani Mkuu?
We si uliniambia sura yangu nzuri tena ukanisifia nina mdomo mzuri,ukasisitiza kabisa nisibadilishe Avatar,leo umenigeuka?Sura yako labda inafanana na roho yako we mdaka chozi wa auntie
Yani wazee wa kuvunja bega uchezaji mithili ya nyoka yani wazee wa yooo yooo ndiyo daddy. Com,Funky ndio nini?
Hahhaha ila ukali na mingurumo ndani ya nyumba yani humfanya dingi kuwa mtamu kama mcharo, kuna wanawake wanapenda baba awe a little bit harsher , yani ukifika ndani vimkwara fulani hiviThis is it
Mbona hatupo hivyoWako busy na house girl,play station, tv na marafiki.
Hahaha hahahaWe si uliniambia sura yangu nzuri tena ukanisifia nina mdomo mzuri,ukasisitiza kabisa nisibadilishe Avatar,leo umenigeuka?
Utakua umevaa mask [emoji624]Mimi huwa nikirudi wanakimbia wote,tatizo huwa ni nini kwani Mkuu?
@Sakayo on pointIlikuwa miaka ya nyuma sana! Saivi tena watoto wako busy na baba zao kuliko hata mama zao
Itabidi nijitafakari inawezekana sifa ninazopewa siyo sahihi labda ni kinyume chake!Hahaha hahaha
Hiyo sura ni nzuri jamani! Asa watoto wako watakuwa wanaogopa nini?!
Sanaaaa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tena mnoooooooo
Jiandae kukuza watoto wasiosikiawatoto wangu watapata raha sana tutabet wote, ubishani wa mpira kwenda mbele, nikiwaona nawapa 5 ila heshima kama baba waizingatie
Itabidi nijitafakari MkuuUtakua umevaa mask [emoji624]
Happiness is a lifestyle