blessed chiqqah
Senior Member
- May 19, 2024
- 105
- 291
- Thread starter
-
- #21
ndiio🥹Jamaa amekudinya hajakuachia hela ? Unawaza Lodge alilipaje sio
kumbe ehKila mtu anahelaa ila tu kweny matumiz na priorities ndo tunatofautiana mtu na mtu
kwasababu sijapewa🌚Tuachane na ishu za pesa ya lodge.
Wewe kwanini huna hela sasa?
Embu tuliweke sawa hili kwanzaNimekaa hapa sina cha kufanya hela sina nikaanza kuwaza😂😂 kwenu wanaume naomba mniambie leo
ndo nawaza ametoa wap sasaUsikute kanyimwa hela ya kuliwa, ila mwamba ya loji anayo..!!
sina kaka wala baba 🙄Kaka na Baba zako wao wamekupa jibu gani lisiloridhisha mpaka ukaamua kuja huku?
niache bamdogo😂😂Mamdogo umeongea kwa hisia na uzoefu wa kileleni..!!
Sasa si uombe kuliko kujizungusha.kwasababu sijapewa🌚
naomba hela 😊Sasa si uombe kuliko kujizungusha.
Sh ngapinaomba hela 😊
yoyote tu🌚Sh ngapi
Sijaingia Jfs siku nyingi!Nilidhan pamebadilika!... Ila ukwel ni kwamba waTz wengi ni wendawazimu.
Wewe ni uyoga.sina kaka wala baba 🙄
ndioWewe ni uyoga.
ntakununulia sodaHata mimi nimeshangaa [emoji41]sijaingia siku nyingi leo nimeingia nimekutana na wewe punguani
Full Fungus Miss Fungi.ndio
hadi rahaFull Fungus Miss Fungi.