Kujikuna?hadi raha
Mekuacha mamdogo..!!niache bamdogo😂😂
Jibu la hili unalowaza lipo kwenye post #27 ya mamdogo wangu Amehlondo nawaza ametoa wap sasa
Dadaniache bamdogo😂😂
We kuweza?akope na yakunipa
ndio🥹We kuweza?
Uzi ufungwewanaazimanaga na hawanyimani
Mwendawazimu hawez kunisumbua kichwaHata mimi nimeshangaa [emoji41]sijaingia siku nyingi leo nimeingia nimekutana na wewe punguani
Leta acc no pmyoyote tu🌚
Takwimu zilisemaga 1 kati ya 4 mwendawazimu tizii hii hii 💀🤣Sijaingia Jfs siku nyingi!Nilidhan pamebadilika!... Ila ukwel ni kwamba waTz wengi ni wendawazimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mambo ya wanaume yanakuhusu nini? Subiri uitwe loji watu wafanye yao
Uzi ufungwee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanaazimanaga na hawanyimani
Mimi hata lodge sijui zikoje kwa ndanihabari za weekend wana Jf, hope mko salama wote
Nimekaa hapa sina cha kufanya hela sina nikaanza kuwaza😂😂 kwenu wanaume naomba mniambie leo
hivi kuna mwanaume ashawahi kosa hela ya lodge?
yaani mwanaume anaweza kusema hana hela hata mia lakini hela ya kwenda lodge na manzi au mwanamke akapata au akawa nayo….
huwa mnaziwekaga pembeni au ndo kichwa cha chini kinawazaga fasta pa kupata hela panapatikana….
hebu mje mniambie 😂
habari za weekend wana Jf, hope mko salama wote
Nimekaa hapa sina cha kufanya hela sina nikaanza kuwaza😂😂 kwenu wanaume naomba mniambie leo
hivi kuna mwanaume ashawahi kosa hela ya lodge?
yaani mwanaume anaweza kusema hana hela hata mia lakini hela ya kwenda lodge na manzi au mwanamke akapata au akawa nayo….
huwa mnaziwekaga pembeni au ndo kichwa cha chini kinawazaga fasta pa kupata hela panapatikana….
hebu mje mniambie 😂
HahahahahaaaaaaaaMimi hata lodge sijui zikoje kwa ndani