Kwenu wanawake: Hakika, hakuna mstari wowote katika Biblia unaomwadhibu wanaume mwenye wake wengi

Kwenu wanawake: Hakika, hakuna mstari wowote katika Biblia unaomwadhibu wanaume mwenye wake wengi

Hua mnasoma biblia za wapi ndugu zangu?

Wakorintho wa kwanza 7:1-4 inasema hivi

1. Basi kuhusu mambo ambayo mliandika habari zake, ni vema mwanamume asimguse mwanamke

2. lakini, kwa sababu ya kuenea kwa uasherati, kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

3. Mume na ampe mke wake haki yake; lakini mke pia na amfanyie vivyo hivyo mume wake.

4. Mke hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mume wake anayo; vivyo hivyo, pia, mume hana mamlaka juu ya mwili wake mwenyewe, bali mke wake anayo
Kweli umenena
 
kidogo nimesahahu andiko ila naahidi kulileta once nikilipata

linasema hiv waziwazi wala mwasherati wala mzinzi hawatourithi ufalme Wa Mungu hakutaja jinsia hapa alisema in general

nini maana ya uasherati?
Na nini maana ya uzinzi?
1Wakorintho 6:9
 
Hizi zote ulizoandika tunaziita Mboyoyo....!

Naam... kwasababu ni mtazamo wako.

Mimi sijahitaji Mboyoyo...nimehitaji Mistari ya Biblia inayomuamuru Mwanamke kumuacha Mume wake kwa ajili ya uzinzi.
🤣🤣🤣🤣
Nimekuelewa .
Yani mawazo yako ni haya.

Mume anaweza kumuacha mke kwa sababu ya uzinzi.
Ila mke Haruhusiwi kumuacha mume kwa sababu ya uzinzi.

Shortly BIBLIA TAKATIFU maneno yake yamekataza uzinzi,
Na pia MUME kumuacha mke wake kwa sababu yoyote na mke kumuacha mume wake kwa sababu yoyote Hilo hapana.
 
🤣🤣🤣🤣
Nimekuelewa .
Yani mawazo yako ni haya.

Mume anaweza kumuacha mke kwa sababu ya uzinzi.
Ila mke Haruhusiwi kumuacha mume kwa sababu ya uzinzi.

Shortly BIBLIA TAKATIFU maneno yake yamekataza uzinzi,
Na pia MUME kumuacha mke wake kwa sababu yoyote na mke kumuacha mume wake kwa sababu yoyote Hilo hapana.
Unamaanisha hakuna mahala au mstari wa Biblia unaompa ruhusa Mume kumuacha Mke kwaaababu ya Uzinzi?
 
Back
Top Bottom