- Thread starter
- #21
Au ndo mnapenda mideko kama jina lako? 😁😀😂Hata sisi tunajishangaa na hatupendi kuwa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ndo mnapenda mideko kama jina lako? 😁😀😂Hata sisi tunajishangaa na hatupendi kuwa hivyo
Nakubaliana na wwTatizo siku hizi watu wanapenda kuwadekeza sana wake zao na wao wanatumia mwanya huo kuleta usumbufu usio wa lazima
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hata hatuelewi, napenda sana nyama nikiwa hali hiyo sizitamani hata kuziona napenda maharage na ukila nyama mbele yangu nakuona kama jini, chipsi napenda nile Kiporo nazinunu usiku nazilaza kwenye fridge mtu akila naweza lia msiba asubuhii yaani sielewi jaman hatujifanyishi .Sasa kwa nini mnaleta kisirani tu?Kwa nini isiwe kinyume chake?
Me nahisi ni wa kibongo tuHivi ni wanawake wa kibongo tu au mpaka ulaya ni hivo.
Nakutafuta mkuuHata sisi tunajishangaa na hatupendi kuwa hivyo
Yote kwa yote mimba sio ugonjwa mnajiendekez t bhnHiki kipengele cha mimba ilitakiwa Muumba afanye namna tuwe tunakishea kama tulivoshirikiana vema kuiweka hiyo mimba....kuna vitu hata ukielezwa huvielewi na hata anaefanya nae haelewi.
Hata sio kujiendekeza asee... muumba angewapa hata mkae nazo mwezi mmoja tu halafu minane tutamalizia sisi 😁 mbona tungepeana shkamoo kutwa mara tatuYote kwa yote mimba sio ugonjwa mnajiendekez t bhn
Km anatapika basi hamna maigizo hapo. Yaani mtu ajiendekeze au aigize kutapika!!!?Me nahic na kujiendekeza inachangia bhn
Wengine hujaaliwa kuwa kinyume chake.Tatizo siku hizi watu wanapenda kuwadekeza sana wake zao na wao wanatumia mwanya huo kuleta usumbufu usio wa lazima
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
No hatujazungumzia kuhuc kuumwa ama kutapika tunazungumzia kama ile hali ya kuforce chakula fulani na kama hujampatia mtu inakua ugomvi mkubwa na vilio juu so kama si kujiendekez ni nin? Kwan mtu akikosa icho kitu kwa mda uwo atakufa au?Km anatapika basi hamna maigizo hapo. Yaani mtu ajiendekeze au aigize kutapika!!!?
Mie ujauzito wa mwanzo nikitapiika mpk nyongo. Hizo perfume na lotion zote nilificha na nyengine nilizigawa wakati nilizinunua kwa mapenzi yangu tena bei ghali.
Maji nikinywa nisije nikafa tu.
Huyo mwenzio yupo kwenye subra kubwa Huna budi na wewe kuwa na subra kwa anayoyafanya
Ushanipata.....Nakutafuta mkuu
Na wewe unatafutwa sana...I mean sana[emoji1787]Nakutafuta mkuu
Temea chini wewe....Juu yatakurudia....Yote kwa yote mimba sio ugonjwa mnajiendekez t bhn
Ujauzito ni nusu ya kifo pale wakat wa kuzaa tu. Wanawake mupunguze midekoAsiyejua maana haambiwi maana....unadhani kuleta Maisha duniani ni jambo lelemama??mheshimu Sana mjazito na msaidie panapobidi......Ujauzito Ni nusu ya kifo